< Salmos 57 >
1 Tem misericórdia de mim, ó Deus, tem misericórdia de mim, porque a minha alma confia em ti; e na sombra das tuas asas me abrigo, até que passem as calamidades.
Unihurumie, Mungu, unihurumie mimi, kwa maana ninakukimbilia wewe mpaka matatizo haya yaishe. Ninakaa chini ya mbawa za zako kwa ajili ya ulinzi mpaka huu uharibifu utakapoisha.
2 Clamarei ao Deus altíssimo, ao Deus que por mim tudo executa.
Nitakulilia Mungu uliye hai, kwa Mungu, afanyaye mambo yote kwa ajili yangu.
3 Ele enviará desde os céus, e me salvará do desprezo daquele que procurava devorar-me (Selah) Deus enviará a sua misericórdia e a sua verdade.
Yeye atatuma msaada kutoka mbinguni na kuniokoa, ana hasira na wale wanaonishambulia. (Selah) Mungu atanitumia upendo wake mwema na uaminifu wake.
4 A minha alma está entre leões, e eu estou entre aqueles que estão abrazados, filhos dos homens, cujos dentes são lanças e flechas, e a sua língua espada afiada.
Uhai wangu uko katikati ya simba; niko katikati ya wale walio tayari kunila. Niko katikati ya watu ambao meno yao ni mikuki na mishale, na ambao ndimi zao ni kali kama upanga.
5 Sê exaltado, ó Deus, sobre os céus; seja a tua glória sobre toda a terra.
Uinuliwe, Mungu, juu ya mbingu, utukufu wako uwe juu ya nchi yote.
6 Armaram uma rede aos meus passos; a minha alma está abatida; cavaram uma cova diante de mim, porém eles mesmos cairam no meio dela (Selah)
Wao walisambaza nje wavu kwa ajili ya miguu yangu; nilikuwa na shida sana. Walichimba shimo mbele yangu. Wao wenyewe wameangukia katikati ya shimo! (Selah)
7 Preparado está o meu coração, ó Deus, preparado está o meu coração; cantarei, e direi salmos.
Moyo wangu umeponywa, Mungu, moyo wangu umeponywa, nitaimba, ndiyo, nitaimba sifa.
8 Desperta, glória minha, desperta, alaude e harpa; eu mesmo despertarei ao romper da alva.
Inuka, moyo wa thamani; inuka, kinanda na kinubi; nitaamka alfajiri.
9 Louvar-te-ei, Senhor, entre os povos; eu te cantarei entre as nações.
Nitakushukuru wewe, Bwana, kati ya watu; Kati ya mataifa nitakuimbia sifa.
10 Pois a tua misericórdia é grande até aos céus, e a tua verdade até às nuvens.
Maana upendo wako usiokwisha, huzifikia mbingu; na uaminifu wako mawinguni.
11 Sê exaltado, ó Deus, sobre os céus; e seja a tua glória sobre toda a terra.
Uinuliwe, Mungu, juu ya mbingu; na utukufu wako uinuliwe juu ya nchi yote.