< 12 >

1 Então Job respondeu, e disse:
Ndipo Ayubu akajibu na kusema,
2 Na verdade, que só vós sois o povo, e convosco morrerá a sabedoria.
“Hakuna shaka ninyi wanadamu; Hekima mtakufa nayo.
3 Também eu tenho um coração como vós, e não vos sou inferior: e quem não sabe tais coisas como estas?
Lakini nina ufahamu kama vile ninyi; Mimi siyo duni kwenu. Ni dhhiri, ni nani asiyefahamu vitu hivyo kama hivi?
4 Eu sou irrisão aos meus amigos; eu, que invoco a Deus, e ele me responde; o justo e o reto servem de irrisão.
Mimi ni kitu cha kuchekwa na jirani-Mimi, ni mmoja aliyemwita Mungu na ambaye alijibiwa na yeye! Mimi, ni mwenye haki na mtu asiyekuwa na hatia-Mimi sasa nimekuwa kitu cha kuchekwa.
5 Tocha desprezível é na opinião do que está descançado, aquele que está pronto a tropeçar com os pés.
Katika mawazo yake mtu fulani aliye katika kufurahi, kuna kudharau kwa mashaka; hufikiri katika njia ambayo huleta mambo mabaya zaidi kwa wale ambao miguu yao inateleza.
6 As tendas dos assoladores tem descanço, e os que provocam a Deus estão seguros; nas suas mãos Deus lhes põe tudo.
Hema za wezi hufanikiwa, na wale ambao humkasirisha Mungu huhisi salama; mikono yao wenyewe ni miungu wao.
7 Mas, pergunta agora às bestas, e cada uma delas to ensinará: e às aves dos céus, e elas to farão saber;
Lakini sasa waulize hao wanyama wa mwituni, na watakufundisha wewe; waulize ndege wa angani, na watakuambia wewe.
8 Ou fala com a terra, e ela to ensinará: até os peixes do mar to contarão.
Au iambie ardhi, na itakufundisha wewe; samaki wa baharini watakutangazia wewe.
9 Quem não entende por todas estas coisas que a mão do Senhor faz isto?
Ni myama yupi miongoni mwa hawa asiyefahamu kuwa mkono wa Yahwe umetenda haya?
10 Em cuja mão está a alma de tudo quanto vive, e o espírito de toda a carne humana.
Katika mkono wake mna uzima wa kila kiumbe hai na pumzi ya wanadamu wote.
11 Porventura o ouvido não provará as palavras, como o paladar gosta as comidas?
Je, sikio haliyajaribu maneno kama vile kaakaa lionjavyo chakula chake?
12 Com os idosos está a sabedoria, e na longura de dias o entendimento.
Kwa wazee mna hekima; katika wingi wa siku mna ufahamu.
13 Com ele está a sabedoria e a força: conselho e entendimento tem.
Pamoja na Mungu mna hekima na ukuu; yeye anayo mashauri na ufahamu.
14 Eis que ele derriba, e não se reedificará: encerra o homem, e não se lhe abrirá.
Tazama, yeye huangusha chini, na haiwezekani kujengwa tena; kama yeye akimtia gerezani mtu yeyote, hakutakuwa tena kufunguliwa.
15 Eis que ele retém as águas, e se secam; e as larga, e transtornam a terra.
Tazama, kama yeye akiyazuia maji, yanakauka; na kama akiyaachilia nje yanaitaabisha ardhi.
16 Com ele está a força e a sabedoria: seu é o errante e o que o faz errar.
Pamoja na yeye mna nguvu na hekima; watu ambao wamedanganywa na mdanganyi wote pamoja wako katika nguvu zake.
17 Aos conselheiros leva despojados, e aos juízes faz desvairar.
Yeye huwaongoza washauri mbali bila kuvaa viatu katika huzuni; huwarudisha hakimu katika upumbavu.
18 Solta a atadura dos reis, e ata o cinto aos seus lombos.
Yeye Huondoa minyororo ya mamlaka kutoka kwa wafalme; yeye hufunika viuno vyao kwa nguo.
19 Aos príncipes leva despojados, aos poderosos transtorna.
Yeye huwaongoza makuhani mbali bila kuvaa viatu na kuwapindua watu wakuu.
20 Aos acreditados tira a fala, e toma o entendimento aos velhos.
Yeye huondoa hotuba ya wale waliokuwa wameaminiwa na huondoa mbali ufahamu wa wazee.
21 Derrama desprezo sobre os príncipes, e afrouxa o cinto dos violentos.
Yeye humwaga aibu juu ya binti za wafalme na hufungua mishipi ya watu wenye nguvu.
22 As profundezas das trevas manifesta, e a sombra da morte traz à luz.
Yeye huweka wazi vitu vya kina kutoka katika giza na kuvileta nje kumuika vivuli mahali ambapa watu waliokufa wapo.
23 Multiplica as gentes e as faz perecer; espalha as gentes, e as guia.
Yeye huyafanya mataifa kuwa na nguvu, na pia huyaharibu; Yeye pia huyakuza mataifa, na pia yeye huyaongoza mbali kama wafungwa.
24 Tira o coração aos chefes das gentes da terra, e os faz vaguear pelos desertos, sem caminho.
Yeye huondoa mbali ufahamu kutoka kwa viongozi wa watu wa nchi; huwafanya wao kutangatanga msituni mahali pasipo na njia.
25 Nas trevas andam às apalpadelas, sem terem luz, e os faz desatinar como ébrios.
Wao wanapapasa katika giza bila kuwa na mwanga; yeye huwafanya wao kuweweseka kama mtu mlevi.

< 12 >