< 2 Reis 21 >

1 Tinha Manasseh doze anos de idade quando começou a reinar, e cincoênta e cinco anos reinou em Jerusalém: e era o nome de sua mãe Hephsiba.
Manase alikuwa na umri wa miaka kumi na mbili wakati alipoanza kutawala; alitawala miaka hamsini na tano katika Yerusalemu. Mama yake alikuwa anaitwa Hefziba.
2 E fez o que parecia mal aos olhos do Senhor, conforme as abominações dos gentios que o Senhor desterrara de suas possessões de diante dos filhos de Israel.
Alifanya maovu usoni kwa Yahwe, kama machukizo ya mataifa ambayo Yahwe aliyafukuza nje mbele ya wana wa Israeli.
3 Porque tornou a edificar os altos que Ezequias, seu pai, tinha destruído, e levantou altares a Baal, e fez um bosque como o que fizera Achab, rei de Israel, e se inclinou diante de todo o exército dos céus, e os serviu.
Kwa kupajenga tena mahala pa juu ambapo Hezekia baba yake alipaharibu, na akajenga madhabahu kwa ajili ya Baali, akafanya Ashera, kama Ahabu mfalme wa Israeli alivyofanya, akasujudu kwa nyota zote za mbinguni na kuwaabudu wao.
4 E edificou altares na casa do Senhor, de que o Senhor tinha dito: Em Jerusalém porei o meu nome.
Manase akajenga madhabahu za kipagani kwenye nyumba ya Yahwe, ingawaje Yahwe aliamuru, “Jina langu litakuwa Yerusalemu daima.”
5 Também edificou altares a todo o exército dos céus em ambos os átrios da casa do Senhor.
Akajenga madhabahu kwa ajili ya nyota zote za mbinguni katika behewa mbili za nyumba ya Yahwe.
6 E até fez passar a seu filho pelo fogo, e adivinhava pelas nuvens, e era agoureiro, e ordenou adivinhos e feiticeiros: e proseguiu em fazer mal aos olhos do Senhor, para o provocar à ira.
Akamuweka mtoto wake wa kiume kwenye moto; akatazama bao ushirikina na kujishuhulisha pamoja wale ambao wenye pepo wa utambuzi na wale wachawi. Akafanya maovu mengi usoni kwa Yahwe na kuchochea hasira kwa Mungu.
7 Também pôs uma imagem de escultura, do bosque que tinha feito, na casa de que o Senhor dissera a David e a Salomão, seu filho: nesta casa e em Jerusalém, que escolhi de todas as tribos de Israel, porei o meu nome para sempre.
Sanamu ya kuchongwa ya Ashera ambayo aliitnegeneza, akaiweka kwenye nyumba ya Yahwe. Nyumba hii ndiyo ambayo Yahwe alimwambia Daudi na Sulemani mwanawe; alisema: “Ni nyumba hii na katika Yerusalemu, ambayo nimeichagua kutoka makabila yote ya Isaraeli, ambako nitaliweka jina langu milele.
8 E mais não farei mover o pé de Israel desta terra que tenho dado a seus pais; contanto somente que tenham cuidado de fazer conforme tudo o que lhes tenho ordenado, e conforme toda a lei que Moisés, meu servo, lhes ordenou.
Sintofanya miguu ya Israeli kushindwa tena nje ya nchi ambayo niliwapa babu zao, kama tu watakuwa makini kutii yale yote niliyowaamuru, na kufuata sheria zote ambazo mtumishi wangu Musa aliwaamuru.”
9 Porém não ouviram; porque Manasseh de tal modo os fez errar, que fizeram pior do que as nações, que o Senhor tinha destruído de diante dos filhos de Israel.
Lakini watu hawakusikia, na Manase akawaongoza kufanya maovu zaidi kuliko yale ya mataifa ambayo Yahwe aliyaharibu mbele ya watu wa Israeli.
10 Então o Senhor falou pelo ministério de seus servos, os profetas, dizendo:
Basi Yahwe akaongea na watumishi wake manabii, akisema,
11 Porquanto Manasseh, rei de Judá, fez estas abominações, fazendo pior do que quanto fizeram os amorreus, que antes dele foram, e até também a Judá fez pecar com os seus ídolos;
Kwasababu Manase mfalme wa Yuda amefanya haya machukizo, na kutenda maovu zaidi kuliko yote waliyoyatenda Waamori ambao walikuwa mbele yake walikubali, na pia aliwafanya Yuda kuasi kwa sanamu zake,
12 Por isso assim diz o Senhor Deus de Israel: Eis que hei de trazer um mal sobre Jerusalém e Judá, que qualquer que ouvir, lhe ficarão retinindo ambas as orelhas.
kwa hiyo Yahwe, Mungu wa Israeli, akasema hivi: Tazama, nakaribia kuleta uovu juu ya Yerusalemu na Yuda ambayo kila mtu asikiapo kuhusu hilo, masikio yake yote yatang'aa.
13 E estenderei sobre Jerusalém o cordel de Samaria e o prumo da casa de Achab: e limparei a Jerusalém, como quem limpa a escudela, a limpa e a vira sobre a sua face.
Nitanyoosha juu ya Yerusalemu kipimo kilichotumika dhidi ya Samaria, na kuangusha msatari utakaotumika dhidi ya nyumba ya Ahabu; Nitaifuta Yerusalemu safi, kama kufuta sahani, kuifuta na kuifunika juu chini.
14 E desampararei o resto da minha herança, entrega-los-ei na mão de seus inimigos; e far-se-ão roubo e despojo para todos os seus inimigos.
Nitawatupa masalia ya urithi wangu na kuwaweka mikononi mwa maadui zao. Watakuwa nyara na mateka kwa maadui zao wote,
15 Porquanto fizeram o que parecia mal aos meus olhos, e me provocaram à ira, desde o dia em que seus pais sairam do Egito até hoje.
kwa sababu wamefanya yaliyo maovu usoni kwangu, na kunichochea hasira, tangu siku babu zao walipotoka Misri, hadi leo.”
16 De mais disto, também Manasseh derramou muitíssimo sangue inocente, até que encheu a Jerusalém de um ao outro extremo, a fora o seu pecado, com que fez pecar a Judá, fazendo o que parecia mal aos olhos do Senhor.
Aidha, Manase akazimwaga damu nyingi za wasio na hatia, hadi alipoijaza Yerusalemu kutoka upande huu kwenda mwingine kwa kifo. Hii ilikuwa ni kuongeza kwenye dhambi ambayo aliifanya Yuda kuasi, wakati walipofanya uovu mbele za Yahwe.
17 Quanto ao mais dos filhos de Manasseh, e a tudo quanto fez mais, e ao seu pecado, que pecou, porventura não está escrito no livro das crônicas dos reis de Judá?
Kama kwa mambo mengine yamhusuyo Manase, yote aliyoyafanya, na dhambi ambayo aliyoifanya, je haya hayajaandikwa kwenye kitabu cha matukio cha wafalme wa Yuda?
18 E Manasseh dormiu com seus pais, e foi sepultado no jardim da sua casa, no jardim de Uza: e Amon, seu filho, reinou em seu lugar.
Manase akalala pamoja na babu zake na alizikwa kwenye bustani ya nyumba yake, katika bustani ya Uza. Amoni mwanawe akawa mfalme katika sehemu yake.
19 Tinha Amon vinte e dois anos de idade quando começou a reinar, e dois anos reinou em Jerusalém: e era o nome de sua mãe Mesullemeth, filha d'Harus, de Jotba.
Amoni alikuwa na miaka kumi na mbili alipoanza kutawala; alitawala miaka miwili katika Yerusalemu. Mama yake alikuwa anaitwa Meshlemethi; alikuwa binti wa Haruzi wa Yotba.
20 E fez o que parecia mal aos olhos do Senhor, como fizera Manasseh, seu pai.
Alifanya yaliyo maovu usoni mwa Yahwe, kama manase baba yake alivyofanya.
21 Porque andou em todo o caminho em que andara seu pai: e serviu os ídolos, a que seu pai tinha servido, e se inclinou diante deles.
Amoni alifuata njia zote ambazo baba yake alizotembelea na kuabudu sanamu ambazo baba yake aliziabudu, na kuzisujudia.
22 Assim deixou ao Senhor, Deus de seus pais, e não andou no caminho do Senhor.
Akajitenga na Yahwe, Mungu wa baba zake, na hakutembea katika njia ya Yahwe.
23 E os servos de Amon conspiraram contra ele, e mataram o rei em sua casa.
Watumishi wa Amoni wakafanya njama dhidi yake na kumuua mfalme kwenye nyumba yake mwenyewe.
24 Porém o povo da terra feriu a todos os que conspiraram contra o rei Amon: e o povo da terra pôs a Josias, seu filho, rei em seu lugar.
Lakini watu wa nchi wakawaua watu wote waliofanya njama dhidi ya mfalme Amoni, na wakamfanya Yosia mtoto wake kuwa mfalme katika sehemu yake.
25 Quanto ao mais dos sucessos de Amon, que fez, porventura não está escrito no livro das crônicas dos reis de Judá?
Kama ilivyo kwa mambo mengine yamhusuyo Amoni yale aliyoyafanya, je hayajaandikwa kwenye kitabu cha matukio ya wafalme wa Yuda?
26 E o sepultaram na sua sepultura, no jardim de Usa: e Josias, seu filho, reinou em seu lugar.
Watu wakamzika kwenye kaburi lake katika bustani ya Uza, na Yosia mwanawe akawa mfalme katika sehemu yake.

< 2 Reis 21 >