< Salmos 111 >

1 Louvae ao Senhor. Louvarei ao Senhor de todo o meu coração, na assembléa dos justos e na congregação.
Msifuni Bwana. Nitamtukuza Bwana kwa moyo wangu wote, katika baraza la wanyofu na katika kusanyiko.
2 Grandes são as obras do Senhor, procuradas por todos os que n'elles tomam prazer.
Kazi za Bwana ni kuu, wote wanaopendezwa nazo huzitafakari.
3 A sua obra tem gloria e magestade, e a sua justiça permanece para sempre.
Kazi zake zimejaa fahari na utukufu, haki yake hudumu daima.
4 Fez com que as suas maravilhas fossem lembradas: piedoso e misericordioso é o Senhor.
Amefanya maajabu yake yakumbukwe, Bwana ni mwenye neema na huruma.
5 Deu mantimento aos que o temem; lembrar-se-ha sempre do seu concerto.
Huwapa chakula wale wanaomcha, hulikumbuka agano lake milele.
6 Annunciou ao seu povo o poder das suas obras, para lhe dar a herança das nações.
Amewaonyesha watu wake uwezo wa kazi zake, akiwapa nchi za mataifa mengine.
7 As obras das suas mãos são verdade e juizo, seguros todos os seus mandamentos.
Kazi za mikono yake ni za uaminifu na haki, mausia yake yote ni ya kuaminika.
8 Permanecem firmes para sempre, e sempre; e são feitos em verdade e rectidão.
Zinadumu milele na milele, zikifanyika kwa uaminifu na unyofu.
9 Redempção enviou ao seu povo; ordenou o seu concerto para sempre; sancto e tremendo é o seu nome.
Aliwapa watu wake ukombozi, aliamuru agano lake milele: jina lake ni takatifu na la kuogopwa.
10 O temor do Senhor é o principio da sabedoria: bom entendimento teem todos os que cumprem os seus mandamentos: o seu louvor permanece para sempre.
Kumcha Bwana ndicho chanzo cha hekima, wote wanaozifuata amri zake wana busara. Sifa zake zadumu milele.

< Salmos 111 >