< Hioba 13 >

1 Oto te wszystkie rzeczy widziało oko moje, słyszało ucho moje, i zrozumiało.
Tazama, jicho langu limeyaona haya yote; sikio langu limeyasikia na kuyaelewa hayo.
2 Jako wy to wiecie, tak ja też wiem, i nie jestem podlejszym niźli wy.
Kile mnachokifahamu, ndicho hicho mimi pia ninachokifahamu; Mimi siyo duni kwenu ninyi.
3 Wszakże radbym z Wszechmocnym mówił, i radbym się z Bogiem rozpierał.
Hata hivyo, Mimi ningeweza kuzungumza na mwenye nguvu; Mimi natamani kusemezana na Mungu.
4 Boście wy sprawcy kłamstwa: wszyscyście wy lekarze nikczemni.
Lakini ninyi mnauficha ukweli kwa uongo; ninyi nyote ni tabibu msiokuwa na thamani.
5 Byście wy raczej milczeli, a poczytanoby wam to za mądrość.
Laiti, kwamba kwa pamoja mngeshikilia amani yenu! Hilo lingekuwa hekima yenu ninyi.
6 Słuchajcież teraz odporu mego, a dowody ust moich obaczcie.
Sikia sasa kuhoji kwangu; Sikiliza kusihi kwa midomo yangu mwenyewe.
7 Izali broniąc Boga mówić będziecie nieprawość? albo za nim mówić będziecie fałsz?
Ninyi mtazungumza visivyo haki kwa ajili ya Mungu, na ninyi mtazungumza udanganyifu kwa yeye? Ni kweli ninyi mngeonyesha ukarimu kwa yeye?
8 Czy się na osobę jego oglądać będziecie? Czy się o Boga będziecie spierać?
Ni kweli ninyi mngetetea katika mahakama kama mawakili wa Mungu?
9 Zaż to dobrze będzie, gdy on was będzie próbował? Zaż, jako człowiek oszukany bywa, tak wy go oszukacie?
Je, kweli ingekuwa vizuri kwenu wakati yeye akiwatafuta ninyi? Mngeweza ninyi kumdanganya yeye kama mlivyoweza kuwadanganya watu?
10 Zaiste karać was będzie, jeźlibyście skrycie twarz jego przyjmowali.
Yeye kwa hakika angewathibitisha upya ninyi ikiwa katika siri ninyi mmeonyesha kutokukamilika.
11 Izali zacność jego nie ustraszy was? a strach jego nie przypadnie na was?
Je, ukuu wake usingewafanya ninyi muogope? Je, utisho wake usingeshuka juu yenu?
12 Pamiątki wasze podobne są popiołowi, a wyniosłość wasza kupie błota.
Hadithi zenu za misemo ya kukariri, ni mithali zimetengenezwa kwa majivu; utetezi wenu ni utetezi uliotengenezwa kwa udongo wa mfinyanzi.
13 Milczcież, zaniechajcie mię, a ja mówić będę; a niech przyjdzie na mię, co chce.
Shikilieni amani yenu, mniache peke yangu, ili ya kwamba nipate kusema, acheni yaje yale yanayoweza kuja kwangu.
14 Czemuż mam szarpać ciało moje zębami mojemi, i duszę moję kłaść w ręce swe?
Nitaichukua nyama yangu mwenywewe katika meno yangu; Nitayachukua maisha yangu katika mikono yangu.
15 Oto, choćby mię i zabił, przecię w nim będę ufał; wszakże dróg moich przed obliczem jego będę bronił.
Tazama, ikiwa ataniua mimi, sitakuwa na tumaini lililobakia; hata hivyo, nitazitetea njia zangu mbele zake yeye.
16 Onci sam będzie zbawieniem mojem, ale przed oblicze jego obłudnik nie przyjdzie;
Hiki kitakuwa sababu ya kutohesabiwa hatia, kwamba mimi sikuja mbele zake kama mtu asiyemcha Mungu.
17 Słuchajcież z pilnością mowy mojej, a powieść moja niech przyjdzie w uszy wasze.
Mungu, sikiliza kwa makini kuzungumza kwangu; ruhusu kutangaza kwangu kuje kwenye masikio yako.
18 Oto się teraz gotuję do prawa, i wiem, że usprawiedliwiony będę.
Tazama sasa, Nimeuweka utetezi wangu katika mpangilio, Mimi ninafahamu kwamba mimi sina hatia.
19 Któż się będzie spierał ze mną, tak abym umilknął i umarł?
Ni nani anayeweza kushindana na mimi katika mahakama? Ikiwa mlikuja kufanya hivyo, na kama mimi nilithibitishwa kukosea, ndipo ningekuwa kimya na kuyatoa maisha yangu.
20 Tylko dwóch rzeczy, o Boże! nie czyń ze mną, przed oblicznością twoją nie skryję się.
Mungu, fanya mambo mawili kwa ajili yangu, na tena Mimi sitajificha kutoka katika uso wako.
21 Rękę twoję odemnie oddal, a strach twój niech mną nie trwoży.
Ondoa kutoka kwangu mkono wako unaotesa, na usiache utisho wako unifanye mimi kuogopa.
22 Potem zawołaj mię, a ja tobie odpowiem; albo ja niech mówię, a ty mnie odpowiedz.
Ndipo niite mimi, na mimi nitakujibu; au uniache mimi niseme na wewe na wewe unijibu mimi.
23 Wieleż jest nieprawości i grzechów moich? przestępstwo moje, grzech mój pokaż mi.
Je, maovu yangu na dhambi zangu ni ngapi? Nijulishe kosa langu na dhambi yangu.
24 Przeczże oblicze twoje zakrywasz, a poczytasz mię sobie za nieprzyjaciela?
Kwa nini unaficha uso wako kutoka kwangu mimi na kunitendea mimi kama adui yako?
25 Izali skruszysz liść chwiejący się? a źdźbło suche gonić będziesz?
Je, wewe utalitesa jani linalopeperushwa? Je, utaendelea kulifuatilia bua kavu?
26 Albowiem piszesz przeciwko mnie gorzkości, a przywłaszczasz mi nieprawość młodości mojej;
Kwa maana wew unaandika chini vitu vichungu dhidi yangu mimi; wewe unanifanya mimi kurithi uovu wa ujana wangu.
27 I włożyłeś w pęta nogi moje, a podstrzegasz wszystkich ścieżek moich, i na ślad nóg moich następujesz.
Wewe pia unaiweka miguu yangu katika nguo nyembamba; wewe waangalia njia zangu zote; wewe wachunguza chini mahali ambapo nyayo za miguu yangu zimekanyaga.
28 Choć jako spróchniałe drzewo niszczeję; a jako szata, którą mól psuje.
japokuwa mimi ni kama kitu kilichooza ambacho hutupwa mbali, kama vazi lile ambalo nondo wamelila.

< Hioba 13 >