< Hioba 12 >

1 Zatem odpowiedział Ijob i, rzekł:
Ndipo Ayubu akajibu na kusema,
2 Wieraście wy sami ludźmi? i z wamiż umrze mądrość?
“Hakuna shaka ninyi wanadamu; Hekima mtakufa nayo.
3 Teżci ja mam serce jako i wy, anim jest podlejszym niżeli wy; a któż i tego nie wie, co i wy?
Lakini nina ufahamu kama vile ninyi; Mimi siyo duni kwenu. Ni dhhiri, ni nani asiyefahamu vitu hivyo kama hivi?
4 Pośmiewiskiem jestem przyjacielowi memu, który gdy woła do Boga, ozywa mu się; naśmiewiskiem jest sprawiedliwy i doskonały.
Mimi ni kitu cha kuchekwa na jirani-Mimi, ni mmoja aliyemwita Mungu na ambaye alijibiwa na yeye! Mimi, ni mwenye haki na mtu asiyekuwa na hatia-Mimi sasa nimekuwa kitu cha kuchekwa.
5 Ten, co jest upadku bliski, jest pochodnią wzgardzoną człowiekowi, według myśli pokoju zażywającemu.
Katika mawazo yake mtu fulani aliye katika kufurahi, kuna kudharau kwa mashaka; hufikiri katika njia ambayo huleta mambo mabaya zaidi kwa wale ambao miguu yao inateleza.
6 Spokojne i bezpieczne są namioty zbójców tych, którzy draźnią Boga, którym Bóg daje w ręce dobre rzeczy.
Hema za wezi hufanikiwa, na wale ambao humkasirisha Mungu huhisi salama; mikono yao wenyewe ni miungu wao.
7 A nawet pytaj się proszę bydląt, a one cię nauczą; i ptastwa niebieskiego, a oznajmi tobie.
Lakini sasa waulize hao wanyama wa mwituni, na watakufundisha wewe; waulize ndege wa angani, na watakuambia wewe.
8 Albo się rozmów z ziemią, a ona cię nauczy, i rozpowiedząć ryby morskie.
Au iambie ardhi, na itakufundisha wewe; samaki wa baharini watakutangazia wewe.
9 Któż nie wie z tych wszystkich rzeczy, że to ręka Pańska sprawiła?
Ni myama yupi miongoni mwa hawa asiyefahamu kuwa mkono wa Yahwe umetenda haya?
10 W którego ręku jest dusza wszelkiej rzeczy żywej, i duch wszelkiego ciała ludzkiego.
Katika mkono wake mna uzima wa kila kiumbe hai na pumzi ya wanadamu wote.
11 Azaż nie ucho mowy doświadcza, jako usta pokarmu smakują?
Je, sikio haliyajaribu maneno kama vile kaakaa lionjavyo chakula chake?
12 W ludziach starych jest mądrość, a w długich dniach roztropność.
Kwa wazee mna hekima; katika wingi wa siku mna ufahamu.
13 Dopieroż u Pana jest mądrość, i siła, i rada, i umiejętność.
Pamoja na Mungu mna hekima na ukuu; yeye anayo mashauri na ufahamu.
14 Oto on burzy, a nikt nie zbuduje; zamknie człowieka, a nikt mu nie otworzy.
Tazama, yeye huangusha chini, na haiwezekani kujengwa tena; kama yeye akimtia gerezani mtu yeyote, hakutakuwa tena kufunguliwa.
15 On gdy zatrzyma wody, wyschną; a gdy je wypuści, podwracają ziemię.
Tazama, kama yeye akiyazuia maji, yanakauka; na kama akiyaachilia nje yanaitaabisha ardhi.
16 U niego jest moc i mądrość. Jego jest błądzący, i w błąd zawodzący.
Pamoja na yeye mna nguvu na hekima; watu ambao wamedanganywa na mdanganyi wote pamoja wako katika nguvu zake.
17 On obiera radców z mądrości, a sędziów przywodzi do głupstwa.
Yeye huwaongoza washauri mbali bila kuvaa viatu katika huzuni; huwarudisha hakimu katika upumbavu.
18 On pas królów rozwiązuje, i znowu przepasuje pasem biodra ich.
Yeye Huondoa minyororo ya mamlaka kutoka kwa wafalme; yeye hufunika viuno vyao kwa nguo.
19 Podaje książęta na łup, a mocarze podwraca.
Yeye huwaongoza makuhani mbali bila kuvaa viatu na kuwapindua watu wakuu.
20 Odejmuje usta krasomówcom, a rozsądek starym odbiera.
Yeye huondoa hotuba ya wale waliokuwa wameaminiwa na huondoa mbali ufahamu wa wazee.
21 Wylewa wzgardę na książęta, a mdli siły mocarzów.
Yeye humwaga aibu juu ya binti za wafalme na hufungua mishipi ya watu wenye nguvu.
22 On odkrywa głębokie rzeczy z ciemności, a wywodzi na jaśnię cień śmierci.
Yeye huweka wazi vitu vya kina kutoka katika giza na kuvileta nje kumuika vivuli mahali ambapa watu waliokufa wapo.
23 Rozmnaża narody, i wytraca je; rozszerza lud, i umniejsza go.
Yeye huyafanya mataifa kuwa na nguvu, na pia huyaharibu; Yeye pia huyakuza mataifa, na pia yeye huyaongoza mbali kama wafungwa.
24 On odejmuje serca przełożonym ludu ziemi, a czyni, że błądzą po pustyni bezdrożnej;
Yeye huondoa mbali ufahamu kutoka kwa viongozi wa watu wa nchi; huwafanya wao kutangatanga msituni mahali pasipo na njia.
25 Że macają w ciemnościach, gdzie nie masz światłości, a sprawuje, że błądzą jako pijani.
Wao wanapapasa katika giza bila kuwa na mwanga; yeye huwafanya wao kuweweseka kama mtu mlevi.

< Hioba 12 >