< Iyyoob 18 >

1 Bildaad Shuhaahichi akkana jedhee deebise:
Ndipo Bildadi Mshuhi alijibu na kusema, “
2 “Isin haasaa kana yoom fixxu? Mee qalbeeffadhaa; ergasii dubbachuu dandeenya.
Je, lini utaacha kusema kwako? Fikiri, na baadaye tutazungumza.
3 Nu maaliif akka looniitti hedamna? Maaliifis fuula kee duratti akka gowwaatti ilaalamna?
Kwa nini sisi tumehesabiwa kama wanyama mwitu; kwa nini tumekuwa wapumbavu machoni pako?
4 Ati kan aariidhaan of ciccirtu, lafti sababii keetiif duwwaatti haftii? Yookaan kattaan iddoo isaatii ni buqqifamaa?
Wewe ambaye wajirarua mwenyewe katika hasira yako, nchi haipaswi kuachwa kwa ajili yako au miamba inapaswa kuondolewa kutoka mahali pake?
5 “Ibsaan nama hamaa ni dhaama; arrabni ibidda isaa ifa hin kennu.
Ni dhahiri, nuru ya watu waovu itawekwa nje; cheche ya moto wake haitanga'ra.
6 Ifni dunkaana isaa keessaa ni dukkanaaʼa; ibsaan isa bira jirus ni dhaama.
Nuru itakuwa giza katika hema yake; taa yake juu yake yeye itawekwa nje.
7 Jabinni tarkaanfii isaa ni dadhaba; malli isaas isuma kuffisa.
Hatua za nguvu zake yeye zitafanywa kuwa fupi; mipango yake yeye mwenyewe itamwangusha yeye chini.
8 Miilli isaa kiyyoo keessa isa buusa; inni boolla kiyyeeffame irra ni joora.
Kwa maana yeye atatupwa katika mtego kwa miguu yake mwenyewe; yeye atatembea katika mahangaiko.
9 Kiyyoon kottee isaa qaba; futtaasaanis jabeessee isa qaba.
Tanzi litamchukua yeye kwa kisigino; mtego utabaki kushikilia juu yake.
10 Lafa irra funyoon isaaf dhokfameera; karaa isaa irras kiyyoon kaaʼameera.
Tanzi limefichwa kwa ajili yake chini ya ardhi; na mtego kwa ajili yake katika njia.
11 Naasuun karaa hundaan isa sodaachisa; faana isaa buʼees isa ariʼa.
Watishao watamfanya yeye aogope juu ya sehemu zote; wao watamkimbiza yeye kwenye visigino vyake.
12 Badiisni afaan itti banateera; balaanis qophaaʼee jiguu isaa eeggata.
Utajiri wake utageuka kuwa njaa, na majanga yatakuwa tayari upande wake.
13 Gogaan isaa dhukkubaan nyaatamee dhuma; ilmi duʼaa hangaftichi harkaa fi miilla isaa nyaata.
Sehemu za mwili wake zitakuwa zimemezwa; Hakika, mzaliwa wa kwanza wa kifo atazila sehemu zake yeye.
14 Inni dunkaana abdate keessaa buqqifamee gara mootii sodaatti geeffama.
Yeye ameraruliwa kutoka kwenye usalama wa hema yake na hakuweza kutembea kwenda kwa mfalme mwenye utisho.
15 Waan kan isaa hin taʼinis dunkaana isaa keessa jiraata; dinyiin bobaʼus iddoo inni jiraatu irra faffacaʼa.
Watu ambao siyo wa kwake wataishi kwenye hema yake baada ya kuona ule moto mesambaa ndani ya nyumba yake yeye.
16 Jalaan hiddi isaa ni goga; irraan immoo dameen isaa ni coollaga.
Mizizi yake itanyauka chini yake; juu tawi lake yeye litakatwa.
17 Yaadannoon isaa lafa irraa ni bada; maqaan isaas lafa irraa ni dhabama.
Kumbukumbu lake yeye litapotea kutoka katika nchi; yeye hatakuwa na jina katika mtaa.
18 Inni ifa keessaa gara dukkanaatti darbatama; addunyaa irraas ni dhabama.
Yeye atafukuzwa kutoka katika nuru mpaka kwenye giza na kuwa amefukuzwa nje na ulimwengu huu.
19 Inni saba isaa gidduutti ijoollee yookaan sanyii, biyya duraan jiraate keessatti hambaa hin qabaatu.
Hatakuwa na mtoto wa kiume wala mjukuu miongonni mwa watu wake, wala kizazi chochote kitakachobakia mahali alipokuwa amekaa.
20 Namoonni dhiʼaa waaʼee isaa dhagaʼanii rifatu; warri baʼaas sodaadhaan guutamu.
Wale wanaoishi upande wa magharibi watakuwa wametiwa hofu kwa kile kitakachotokea kwake siku moja; wale wanaoishi upande wa mashariki watakuwa wameogopeshwa kwa hicho.
21 Iddoon jireenya nama hamaa, dhugumaan akkana taʼa; iddoon nama Waaqa hin beeknees kanuma taʼa.”
Hakika hizo ni nyumba za watu wasio haki, ni sehemu ya wale wasiomjua Mungu.”

< Iyyoob 18 >