< Tito 3 >

1 Vakumbusa vandu kuvya ngolongondi palongolo ya vankosi na vanauhotola, kuvayidakila na kujitendekela mukukita mambu goha gabwina.
Wakumbushe watu kuwanyenyekea watawala na kuwatii wenye mamlaka, wawe tayari kutenda kila lililo jema.
2 Vajovela vakotoka kumliga mundu yoyoha, ndi vatama kwa uteke na kuyuwanilana, vavya ngolongondi kwa kila mundu.
Wasimnenee mtu yeyote mabaya, wasiwe wagomvi, bali wawe wapole, wakionyesha unyenyekevu kwa watu wote.
3 Muni, lukumbi lumonga tete tavili vayimu, na tangayidakila na vabudaji. Tavili vavanda va mnogo na kugana kujisangalusa neju tavete. Tatamili chauhakau na wihu, vandu vatiganili lepi na tete tavaganili lepi.
Maana sisi wenyewe wakati fulani tulikuwa wajinga, wasiotii, tukiwa watumwa wa tamaa mbaya na anasa za kila aina. Tuliishi katika uovu na wivu, tukichukiwa na kuchukiana sisi kwa sisi.
4 Nambu pewagubukuliwi ubwina na uganu wa Chapanga msangula witu,
Lakini wema na upendo wa Mungu Mwokozi wetu ulipofunuliwa,
5 atisangwili lepi ndava ya lijambu loloha labwina letakitili, muni ndava ya lipyana laki. Atisanjili kumbudila kwitu Chapanga, akutikita tivelekewa mupya na kutipela wumi wamupya kwa njila ya Mpungu Msopi.
alituokoa, si kwa sababu ya matendo ya haki tuliyotenda, bali kwa sababu ya rehema zake. Alituokoa kwa kutuosha kwa kuzaliwa mara ya pili na kwa kufanywa wapya kwa njia ya Roho Mtakatifu,
6 Chapanga atiyitili tete kwa ubwina waki Mpungu Msopi kwa njila ya Yesu Kilisitu, Msangula witu,
ambaye Mungu alitumiminia kwa wingi kwa njia ya Yesu Kristo Mwokozi wetu,
7 muni kwa ubwina waki utiyidakiwa palongolo ya Chapanga kuvya tavabwina na kuupokela wumi wa magono goha gangali mwishu wehuvalila. (aiōnios g166)
ili kwamba, tukiisha kuhesabiwa haki kwa neema yake, tupate kuwa warithi tukiwa na tumaini la uzima wa milele. (aiōnios g166)
8 Lijambu lenili ndi la chakaka. Nikugana ulijova kwa makakala, muni vala voha vevakumsadika Chapanga vakasindimala kukita gabwina. Mambu aga gana yati gakuvatangatila vandu voha.
Hili ni neno la kuaminiwa. Nami nataka uyasisitize mambo haya, ili wale ambao wamemwamini Mungu wapate kuwa waangalifu kujitoa kwa ajili ya kutenda mema wakati wote. Mambo haya ni mazuri tena ya manufaa kwa kila mtu.
9 Nambu jivika kutali na ndindani ya chihimu na kugamanya mahina gamahele kuvala viveleku, na ngondo na kujovesana ndava ya mhilu. Mambu genago kawaka chiyonjokesu chochoha kwa Chapanga na gangali mana.
Lakini jiepushe na maswali ya kipuzi, mambo ya koo, mabishano na ugomvi kuhusu sheria, kwa sababu hayana faida, tena ni ubatili.
10 Mundu mweikulukisa mpechenganu, mhakalila mala ya yimonga na yavili, akayendelela kukita chenicho lekana nayu.
Mtu anayesababisha mafarakano, mwonye mara ya kwanza, kisha mwonye mara ya pili. Baada ya hapo, usihusike naye tena.
11 Umanyili kuvya mundu ngati mwenuyo avili kutali na Chapanga, kangi ndi muhakau na uhakau waki wenuo ulangisa kuvya akumbudila Chapanga.
Kwa kuwa unajua kwamba mtu kama huyo amepotoka na tena ni mwenye dhambi. Yeye amejihukumu mwenyewe.
12 Penapo penikumtuma Alitema amala Tukiko kwaku, kita kanyata kubwela Nikopoli unilola, muni niamwili kutama kwenuko lukumbi lwa mbepu.
Mara nitakapomtuma Artema au Tikiko kwako, jitahidi kuja unione huko Nikopoli, kwa sababu nimeamua kukaa huko wakati wa majira ya baridi.
13 Kangamala kumtangatila Zena, mundu mweamanyili malagizu na Apolo, vakotoka kukosa chindu chochoha chevigana pevivya mulugendu lwavi.
Fanya kila uwezalo uwasafirishe Zena yule mwanasheria na Apolo na uhakikishe kwamba wana kila kitu wanachohitaji katika safari yao.
14 Na vandu vitu viganikiwa kuhenga lihengu labwina muni vahotola kuvatangatila vandu vanamaganu gegiganikiwa magono goha, valeka kutama wumi wangali kutangatila vangi.
Watu wetu hawana budi kujifunza kutenda mema, ili waweze kuyakimu mahitaji ya kila siku, wasije wakaishi maisha yasiyokuwa na matunda.
15 Vandu voha vevavili na nene vakukujambusa. Tijambusila vankozi vitu musadika vevakumsadika Kilisitu. Nikuvaganila ubwina wa Chapanga.
Wote walio pamoja nami wanakusalimu. Wasalimu wale wanaotupenda katika imani. Neema iwe nanyi nyote. Amen.

< Tito 3 >