< Filimoni 1 >

1 Nene Pauli, mkungiwa ndava ya kumuhengela Yesu Kilisitu, pamonga na Timoti mlongo witu, tikuyandikila veve Filimoni, muhenga lihengu muyitu na nkozi muyitu mwatikuganili,
Paulo, mfungwa wa Kristo Yesu, pamoja na Timotheo ndugu yetu: Kwa Filemoni rafiki yetu mpendwa na mtendakazi mwenzetu,
2 na msambi wa vandu vevakumsadika Kilisitu vevikonganeka munyumba yaku, pamonga na mlumbu witu Afia, na manjolinjoli muyitu Alikipo.
kwa dada yetu mpendwa Afia, kwa Arkipo askari mwenzetu na kwa kanisa lile likutanalo nyumbani mwako:
3 Tikuvaganila uteke na ubwina kuhuma kwa Chapanga Dadi witu na Bambu witu Yesu Kilisitu.
Neema iwe nanyi na amani itokayo kwa Mungu Baba yetu na Bwana Yesu Kristo.
4 Lukumbi lwoha penimyupa Chapanga, nikukumbuka veve Filimoni na kumsengusa Chapanga,
Siku zote ninamshukuru Mungu ninapokukumbuka katika maombi yangu,
5 muni niyuwana chauyimili musadika kwa Bambu witu Yesu na uganu kwa vandu voha va Chapanga.
kwa sababu ninasikia juu ya imani yako katika Bwana Yesu na upendo wako kwa watakatifu wote.
6 Niyupa, kuvya kwinu musadika pamonga na veve, ukukita umanya kila chindu chabwina chetivili nachu mukuwungana na Bambu witu Kilisitu.
Naomba utiwe nguvu katika kuishuhudia imani yako, ili upate kuwa na ufahamu mkamilifu juu ya kila kitu chema tulicho nacho ndani ya Kristo.
7 Mlongo, uganu waku uletili luheku luvaha na kukangamalisa mtima neju! Na veve usangalwisi mitima ya vandu va Chapanga.
Upendo wako umenifurahisha mno na kunitia moyo, kwa sababu wewe ndugu, umeiburudisha mioyo ya watakatifu.
8 Nene namlongo waku mukuwunga na Kilisitu nganihotwili kukulagiza changali wogohi ukita chauganikiwa kukita.
Hata hivyo, ingawa katika Kristo ningeweza kuwa na ujasiri na kukuagiza yale yakupasayo kutenda,
9 Nambu ndava ya uganu, mbanga nikuyupe. Nikita chenichi pamonga nene Pauli mwanivii nagogo, na hinu mkungiwa ndava ya kumhengela Kilisitu Yesu.
lakini ninakuomba kwa upendo, mimi Paulo, mzee na pia sasa nikiwa mfungwa wa Kristo Yesu,
10 Hinu, nina luyupu kwaku kumvala Onesimo mweavili mwana vangu kwa kuwungana na Kilisitu. Muni navili dadi waki wa chimpungu petavili mchifungu.
nakuomba kwa ajili ya mwanangu Onesimo, aliyefanyika mwanangu nilipokuwa kwenye minyororo.
11 Pakutumbula apo avili lepi na lihengu kwaku nambu hinu ana lihengu kwa veve na nene mewa.
Mwanzoni alikuwa hakufai, lakini sasa anakufaa sana wewe na mimi pia.
12 Hinu nikumuwuyisa kwaku, pamonga nene nikumgana neju.
Namtuma kwako, yeye aliye moyo wangu hasa.
13 Nigana atama na nene apa anitangatila pahala paku veve, lukumbi penivili mchifungu ndava ya kukokosa Lilovi la Bwina.
Ningependa nikae naye ili ashike nafasi yako ya kunisaidia wakati huu nikiwa kifungoni kwa ajili ya Injili.
14 Nikita lepi chindu chochoha changali kuyidakila veve. Naganili veve ubwela kwa kugana kwaku na lepi kwa kung'ang'aniswa.
Lakini sikutaka kufanya lolote bila idhini yako, ili wema wowote uufanyao usiwe wa lazima, bali wa hiari.
15 Pangi Onesimo awukili kwaku lukumbi lutali, muni uhotola kavili kuvya na veve magono goha. (aiōnios g166)
Huenda sababu ya yeye kutengwa nawe kwa kitambo kidogo ni ili uwe naye daima. (aiōnios g166)
16 Hinu mwene mvanda lepi kavili nambu mbwina kuliku mvanda. Mwene hinu ndi mlongo witu mganu. Ndi mbwina kwa nene na kwaku yati ivya mbwina neju, muni mwene ndi mundu ngati tete na mlongo witu mukuwungana na Bambu.
Si kama mtumwa, bali bora kuliko mtumwa, kama ndugu mpendwa. Yeye ni mpendwa sana kwangu na hata kwako zaidi, yeye kama mwanadamu na kama ndugu katika Bwana.
17 Nambu, ukuniwona nene namuhenga lihengu muyaku hinu ndi mpokela Onesimo ngati ukunipokela nene.
Hivyo kama unanihesabu mimi kuwa mshirika wako, mkaribishe kama vile ungenikaribisha mimi mwenyewe.
18 Ngati akubudili chindu, amala atolili chindu chaku, nene yati nikuwuyisila.
Kama amekukosea lolote au kama unamdai chochote, nidai mimi.
19 Nene Pauli nikuyandikila kwa chiwoko changu namwene yati nikulipa. Kangi nigana lepi nikukumbusa kuvya veve una chindu cheuganikiwa kuniwuyisila ndi wumi waku.
Ni mimi Paulo, ninayeandika waraka huu kwa mkono wangu mwenyewe. Nitakulipa. Sitaji kwamba nakudai hata nafsi yako.
20 Hinu mlongo wangu, nikitila lijambu lenilo ndava ya Bambu, lisangalusa mtima wangu, ngati mlongo mukuwungana na Kilisitu.
Ndugu yangu, natamani nipate faida kwako katika Bwana, uuburudishe moyo wangu katika Kristo.
21 Niyandika kuni nihuvalila kuvya yati wiyidakila luyupu lwangu, kavili nimanyili kuvya yati ukita hati neju ya ago genikuyupa.
Nikiwa na hakika ya utii wako, nakuandikia, nikijua kwamba utafanya hata zaidi ya yale ninayokuomba.
22 Pamonga na aga, nitendelekela chumba cha kugona, muni mukuyupa kwinu Chapanga, yati akuniwuyisa kavili kwinu.
Jambo moja zaidi: Niandalie chumba cha wageni, kwa kuwa nataraji kurudishwa kwenu kama jibu la maombi yenu.
23 Epafla, mweakungiwi pamonga na nene ndava ya kumhengela Kilisitu Yesu, akukujambusa.
Epafra, aliye mfungwa mwenzangu katika Kristo Yesu, anakusalimu.
24 Mewawa Maluko na Alistako na Dema na Luka, vahenga lihengu vayangu, vakuvajambusa.
Vivyo hivyo Marko, Aristarko, Dema na Luka, watendakazi wenzangu wanakusalimu.
25 Nikuvaganila mwavoha nyenye ubwina wa Bambu witu Yesu Kilisitu.
Neema ya Bwana Yesu Kristo iwe pamoja na roho zenu. Amen.

< Filimoni 1 >