< Valumi 3 >
1 Wu, Myawudi ana chindu choki chingi chechiyonjokisi kuliku vandu vangi? Amala kudumula jandu kuna chiyonjokesu?
Basi kuna faida gani kuwa Myahudi? Au kuna thamani gani katika tohara?
2 Ena, chivili chiyonjokesu. Kutumbula, Chapanga avagotolili Vayawudi ujumbi waki.
Kuna faida kubwa kwa kila namna! Kwanza kabisa, Wayahudi wamekabidhiwa lile Neno halisi la Mungu.
3 Nambu yivya wuli ngati vangi vavi vangasadika? Wu, lijambu lenili yati liwusa usadikika wa Chapanga?
Ingekuwaje kama wengine hawakuwa na imani? Je, kutokuamini kwao kungebatilisha uaminifu wa Mungu?
4 Hati padebe! Leka Chapanga alolekana mchakaka magono goha, hati ngati kila mundu mdese. Ngati Mayandiku Gamsopi chegijova, “Kila pewijova, ulangisa uchakaka, pevakuhamula, yati wihotola pevakutakili.”
La hasha! Mungu na aonekane mwenye haki, na kila mwanadamu kuwa mwongo, kama ilivyoandikwa: “Ili uthibitike kuwa wa kweli unaponena, na ukashinde utoapo hukumu.”
5 Nambu, ngati uhakau witu ulangisa Chapanga ikita gabwina, hinu tijova wuli? Wu, tijova Chapanga ibuda peakutihamula? Penapa nilongela chiumundu.
Ikiwa uovu wetu unathibitisha haki ya Mungu waziwazi, tuseme nini basi? Je, Mungu kuileta ghadhabu yake juu yetu ni kwamba yeye si mwenye haki? (Nanena kibinadamu.)
6 Hati padebe! Ngayivyai naha, Chapanga ngaihotola wuli kuvahamula vandu voha va pamulima?
La hasha! Kama hivyo ndivyo ilivyo, Mungu angehukumuje ulimwengu?
7 Mundu ihotola kukota, “Ngati udese wangu yati utangatila kulangisa neju uchakaka wa Chapanga na kulangisa ukulu waki, hinu ndava kyani nihamuliwa kuvya nimbudili Chapanga!”
Mtu aweza kuuliza, “Kama uongo wangu unasaidia kuonyesha kweli ya Mungu na kuzidisha utukufu wake, kwa nini basi mimi nahukumiwa kuwa mwenye dhambi?”
8 Hinu ndava kyani tijova lepi, tikitayi gahakau ndi tipatayi gabwina! Vandu vatiligili, vakajova kuvya nene niwula chenicho. Yati vihamuliwa ngati cheyiganikiwa.
Nasi kwa nini tusiseme, kama wengine wanavyotusingizia kuwa tunasema, “Tutende maovu ili mema yapate kuja?” Wao wanastahili hukumu yao.
9 Hinu tijova kyani? Wu, Tavayawudi tavabwina kuliku vandu vangi? Hati padebe! Ngati chenivajovili pakutumbula kuvya Vayawudi na vandu vangali Vayawudi voha vetalaliwa na kubuda.
Tusemeje basi? Je, sisi ni bora kuwaliko wao? La hasha! Kwa maana tumekwisha kuhakikisha kwa vyovyote kwamba Wayahudi na watu wa Mataifa wote wako chini ya nguvu ya dhambi.
10 Ngati Mayandiku Gamsopi chegijova, “Kawaka hati mmonga mweavili mbwina palongolo ya Chapanga!
Kama ilivyoandikwa: “Hakuna mwenye haki, hakuna hata mmoja.
11 Kawaka mundu mweamanyili, mewa kawaka hati mmonga mweinogela kumlonda Chapanga.
Hakuna hata mmoja mwenye ufahamu, hakuna hata mmoja amtafutaye Mungu.
12 Voha vamlekili Chapanga, voha vabudili, kawaka mweikita gabwina, kawaka hati mmonga.
Wote wamepotoka, wote wameoza pamoja; hakuna atendaye mema, naam, hakuna hata mmoja.”
13 Malovi gavi ginunga ngati litinda leligubukuliwi, lulimi lwavi lumemili udese, Mu milomo yavi gihuma malovi gana chimatila ngati cha liyoka.
“Makoo yao ni makaburi wazi; kwa ndimi zao wao hufanya udanganyifu.” “Sumu ya nyoka iko midomoni mwao.”
14 Milomo yavi yimemili likoto na lipyanda.
“Vinywa vyao vimejaa laana na uchungu.”
15 Vandu avo vihamba kanyata kukoma vandu,
“Miguu yao ina haraka kumwaga damu;
16 Poha pevihamba vihalabisa na kuleka mang'ahiso.
maangamizi na taabu viko katika njia zao,
17 Vamanyili lepi kutama cha uteke.
wala njia ya amani hawaijui.”
18 Vakumyogopa lepi Chapanga hati padebe.”
“Hakuna hofu ya Mungu machoni pao.”
19 Hinu timanyili kuvya malagizu ga Musa peyijova na vandu vala veviganikiwa kulongoswa na malagizu, muni kila mundu akotoka kuhotola kujikengelela, na vandu voha vahamuliwa na Chapanga.
Basi tunajua ya kwamba chochote sheria inachosema, inawaambia wale walio chini ya sheria ili kila kinywa kinyamazishwe na ulimwengu wote uwajibike kwa Mungu.
20 Muni kawaka mundu yoyoha mweiyidikiwa kuvya mbwina palongolo ya Chapanga kwa kuyidakila Malagizu. Nambu malagizu gakutikita timanya kubuda.
Kwa hiyo hakuna binadamu hata mmoja atakayehesabiwa haki mbele za Mungu kwa matendo ya sheria, kwa maana sheria hutufanya tuitambue dhambi.
21 Nambu hinu, njila ya Chapanga ya kuvayidikila vandu kuvya vabwina palongola yaki yimali kumanyikana. Njila yeniyi yihuvalila lepi Malagizu ga Musa. Hati hitabu ya Malagizu vyeviyandikwi na Musa na vamlota Chapanga vijova lijambu lenili.
Lakini sasa, haki itokayo kwa Mungu imedhihirishwa pasipo sheria, ambayo Sheria na Manabii wanaishuhudia.
22 Chapanga akuvakita vandu kuvya vabwina palongolo yaki kwa kumsadika Yesu Kilisitu. Chapanga ikita chenichi kwa voha vevakumsadika Kilisitu, kawaka mlekengano kwa Vayawudi na vandu vangali Vayawudi.
Haki hii itokayo kwa Mungu hupatikana kwa Yesu Kristo kwa wote wamwaminio. Kwa maana hapo hakuna tofauti,
23 Vandu voha vambudili Chapanga na vavi kutali na ukulu wa Chapanga.
kwa kuwa wote wametenda dhambi na kupungukiwa na utukufu wa Mungu,
24 Nambu kwa njombi waka ya ubwina wa Chapanga, vandu voha viyidikiwa kuvya vabwina kwa njila ya Yesu Kilisitu mweakuvagombola.
wanahesabiwa haki bure kwa neema yake kwa njia ya ukombozi ulio katika Kristo Yesu.
25 Chapanga amuwusili Yesu avya luteta, muni kwa ngasi yaki ahotola avalekekesa vandu kumbudila Chapanga kwa sadika yavi kwa Yesu Kilisitu. Akitili chenicho muni alangisa ubwina waki palongolo ya vandu. Kwakona Kilisitu kufwa Chapanga alolili ndu changali kuvabuna ndava ya mabudilu gavi.
Yeye ambaye Mungu alimtoa awe dhabihu ya upatanisho kwa njia ya imani katika damu yake. Alifanya hivi ili kuonyesha haki yake, kwa sababu kwa ustahimili wake aliziachilia zile dhambi zilizotangulia kufanywa.
26 Nambu kwa lukumbi ulu amuwusili Yesu muni kulangisa mwene ndi mbwina, na kwa kukita chenicho Chapanga ilangisa kuvya mwene ndi mbwina na ihotola kuvakita vandu kuvya vabwina palongolo yaki kwa kumsadika Yesu.
Alifanya hivyo ili kuonyesha haki yake wakati huu, ili yeye awe mwenye haki na mwenye kumhesabia haki yule anayemwamini Yesu.
27 Hinu tihotola kumekela kyani? Kawaka! Ndava kyani! Wu, mundu ihotola kumeka ndava kuyidakila Malagizu ga Chapanga? Lepi! Nambu muni tikumsadika Yesu Kilisitu.
Basi, kujivuna kuko wapi? Kumewekwa mbali. Kwa sheria gani? Je, ni kwa ile ya matendo? La hasha, bali kwa ile sheria ya imani.
28 Ndava muni tilola kuvya Chapanga akumkita mundu kuvya mbwina palongolo yaki kwa njila ya sadika, lepi kwa kuyidakila Malagizu.
Kwa maana twaona kwamba mwanadamu huhesabiwa haki kwa njia ya imani wala si kwa matendo ya sheria.
29 Wu, Chapanga ndi Chapanga wa Vayawudi vene ndu? Wu mwene lepi Chapanga wa vandu vangali Vayawudi mewawa? Ena, mwene ndi Chapanga wa vandu vangali Vayawudi mewawa.
Je, Mungu ni Mungu wa Wayahudi peke yao? Je, yeye si Mungu wa watu wa Mataifa pia? Naam, yeye ni Mungu wa watu wa Mataifa pia.
30 Chapanga ndi mmonga, na akuvakita Vayawudi vavya vabwina palongolo yaki kwa sadika yavi, mewawa akuvakita vandu vangali Vayawudi vavyayi vabwina palongolo yaki kwa njila ya sadika yiyoyo.
Basi kwa kuwa tuna Mungu mmoja tu, atawahesabia haki wale waliotahiriwa kwa imani na wale wasiotahiriwa kwa imani iyo hiyo.
31 Wu, hinu tikuyivika kutali Malagizu kwa sadika iyi? Hati padebe, nambu tikuyitopesa Malagizu.
Je, basi ni kwamba tunaibatilisha sheria kwa imani hii? La, hasha! Badala yake tunaithibitisha sheria.