< Valumi 2 >
1 Hinu nkozi wangu, ngati ukuvahamula vandu vangi, katu uhotola lepi kujikengelela, hati ngati veve wayani. Ndava muni, peuvahamula vangi, kuni wamwene ukita galagala gevikita vene ukujihamula wamwene.
Kwa hiyo huna udhuru wowote, wewe utoaye hukumu kwa mwingine, kwa maana katika jambo lolote unalowahukumu wengine, unajihukumu wewe mwenyewe kwa sababu wewe unayehukumu unafanya mambo hayo hayo.
2 Timanyili ngati kuhamuliwa na Chapanga kwa vala vevikita mambu ngati ago ndi uhamula wa chakaka.
Basi tunajua kwamba hukumu ya Mungu dhidi ya wale wafanyao mambo kama hayo ni ya kweli.
3 Nambu veve nkozi mweakuvahamula vala vevikita mambu ngati ago kuni wamwene ukita ago. Wu, uhololela uhotola kuyepa kuhamuliwa na Chapanga?
Hivyo wewe mwanadamu, utoapo hukumu juu yao na bado unafanya mambo yale yale, unadhani utaepuka hukumu ya Mungu?
4 Amala ukuuvevesa ubwina waki ukulu na kukangamala kwaki na kusindimala kwaki, wu umanyili lepi ngati ubwina wa Chapanga ukutilongosa tileka uhakau timuwuyila mwene?
Au waudharau wingi wa wema, ustahimili na uvumilivu wake, bila kujua kuwa wema wa Mungu wakuelekeza kwenye toba?
5 Nambu ndava ya ndindani yinu na unonopa wa mitima yinu yangagana kumuwuyila Chapanga, ndi ukujivikila uhamula uvaha mu ligono lila la ligoga la Chapanga, na uhamula waki wewukumganisa peyigubukuliwa.
Lakini kwa sababu ya ukaidi wenu na mioyo yenu isiyotaka kutubu, mnajiwekea akiba ya ghadhabu dhidi yenu wenyewe kwa siku ile ya ghadhabu ya Mungu, wakati hukumu yake ya haki itakapodhihirishwa.
6 Chapanga yati akuvalipisila kila mundu kuwanangana na matendu gaki.
Kwa maana Mungu atamlipa kila mtu sawasawa na matendo yake.
7 Vandu vala veviyendelela kukita gabwina, kuni vigana utopesa ukulu na wumi wangahalabika, vandu ava Chapanga yati akuvapela wumi wa magono goha gangali mwishu. (aiōnios )
Wale ambao kwa kuvumilia katika kutenda mema hutafuta utukufu, heshima na maisha yasiyoharibika, Mungu atawapa uzima wa milele. (aiōnios )
8 Nambu vala vevilanda mambu gavi vene na vala vevibela uchakaka muni valanda uhakau, vandu avo Chapanga yati akuvahamula chakaka kwa ligoga laki likulu.
Lakini kwa wale watafutao mambo yao wenyewe na wale wanaokataa kweli na kuzifuata njia mbaya, kutakuwa na ghadhabu na hasira ya Mungu.
9 Mang'ahiso na lipyanda gakumkolela kila mundu mweikita uhakau, gakuvakolela Vayawudi hoti, kangi kwa vandu vangali Vayawudi.
Kutakuwa na taabu na dhiki kwa kila mmoja atendaye maovu, Myahudi kwanza na mtu wa Mataifa pia,
10 Nambu Chapanga akuvalumba, akuvatopesa na akuvapela uteke vala vevikita gabwina, Vayawudi hoti, na vandu vangali Vayawudi.
bali utukufu, heshima na amani kwa ajili ya kila mmoja atendaye mema, kwa Myahudi kwanza, kisha kwa mtu wa Mataifa.
11 Muni Chapanga akumbagula lepi mundu yoyoha.
Kwa maana Mungu hana upendeleo.
12 Vandu vangali Vayawudi vangaimanya malagizu ga Musa kuni vikita uhakau yati viyaga changamanya malagizu. Na Vayawudi vevimanyili malagizu kuni vikita uhakau yati vihamuliwa kwa Malagizu genago.
Watu wote waliotenda dhambi pasipo sheria wataangamia pasipo sheria, nao wote wale waliotenda dhambi chini ya sheria watahukumiwa kwa sheria.
13 Muni lepi veviyuwana malagizu ndi vikita gabwina palongolo ya Chapanga, nambu vala vevikamula malagizu ndi veviyidakiliwa kuvya vabwina palongolo ya Chapanga.
Kwa maana si wale wanaoisikia sheria ambao ni wenye haki mbele za Mungu, bali ni wale wanaoitii sheria ndio watakaohesabiwa haki.
14 Vandu vangali Vayawudi vangamanya Malagizu ga Musa, pala pevikita mambu mu uyovelu yevavelikiwi nazu kwa kuwanangana na malagizu vene vilangisa kuvya vamanyili gegiganikiwa kuhenga hati ngati vangamanya malagizu.
(Naam, wakati wa watu wa Mataifa, ambao hawana sheria, wanapofanya kwa asili mambo yatakiwayo na sheria, wao ni sheria kwa nafsi zao wenyewe, hata ingawa hawana sheria.
15 Ndava muni mwenendu wavi wilangisa malagizu yiyandikwi mu mitima yavi. Mitima yavi yilangisa kuvya lijambu lenili ndi chakaka, muni maholo gavi gilangisa kuvya lukumbi lungi gakuvatakila, na lukumbi lungi gakuvakengelela.
Wao wanaonyesha kwamba lile linalotakiwa na sheria limeandikwa kwenye mioyo yao, ambayo pia dhamiri zao zikiwashuhudia, nayo mawazo yao yenye kupingana yatawashtaki au kuwatetea.)
16 Aga yati gihumalila ligono Chapanga peihamula mambu ga mfiyu ga vandu mu njila ya Yesu Kilisitu ngati chelijova Lilovi la Bwina lenivakokosili.
Hili litatukia siku hiyo Mungu atakapozihukumu siri za wanadamu kwa njia ya Yesu Kristo, kama isemavyo Injili yangu.
17 Hinu veve mweukujikemela Myawudi, ukuyihuvalila malagizu ga Musa na kumekela kuvya wa mundu wa Chapanga.
Tazama, wewe ukiwa unaitwa Myahudi na kuitegemea sheria na kujisifia uhusiano wako na Mungu,
18 Ukugamanya gala geigana Chapanga ugakitayi na uhotola kuhagula gabwina muni malagizu gakuwulili,
kama unajua mapenzi ya Mungu na kukubali lililo bora kwa sababu umefundishwa na hiyo sheria,
19 veve ujilola kuvya chilongosi wa vandu ngalola na lumuli kwa vala vevavi kuchitita,
kama unatambua kuwa wewe ni kiongozi wa vipofu, na mwanga kwa wale walio gizani,
20 veve ndi muwula wa vayimu na muwula wa vandu vangakangala. Ndava muni uholalela mu malagizu weuvinayu luhala lwoha na chakaka.
mkufunzi wa wajinga na mwalimu wa watoto wachanga, kwa kuwa una maarifa ya kweli katika hiyo sheria,
21 Ndi veve ukuvawula vangi, ndava kyani ukujiwula lepi wamwene? Ukuvakokosela vangi vakotoka kuyiva ndava kyani wamwene uyiva?
basi wewe, uwafundishaye wengine, mbona hujifunzi mwenyewe? Wewe uhubiriye kwamba mtu asiibe, wewe mwenyewe waiba?
22 Ujova, “Mkoto kukita ugoni,” Ndava kyani wamwene ugonekana? Ukuyivenga michapanga ya vimong'omong'o nambu wamwene uyingila na kuyiva vindu munyumba za michapanga?
Wewe usemaye mtu asizini, wewe mwenyewe wazini? Wewe uchukiaye miungu ya sanamu, wafanya jambo la kumchukiza katika mahekalu?
23 Umeka ngati uvi na malagizu ga Chapanga, ndava kyani wamwene ukumvevesa Chapanga na kudenya Malagizu gaki?
Wewe ujivuniaye sheria, wamwaibisha Mungu kwa kuvunja sheria?
24 Vandu vangali Vayawudi vakuliliga liina la Chapanga “Ndava ya matendu ginu nyenye Vayawudi.”
Kama ilivyoandikwa, “Kwa ajili yenu ninyi, Jina la Mungu linatukanwa miongoni mwa watu wa Mataifa.”
25 Kudumula jandu ngalivii lijambu labwina ngati wikamula Malagizu ga Chapanga, nambu ngati widenya Malagizu ndi ngausigalili changali kudumula jandu.
Kutahiriwa kuna thamani ikiwa unatii sheria, lakini kama unavunja sheria, kutahiriwa kwako kumekuwa kutokutahiriwa.
26 Mundu angali myawudi mweangadumula jandu akakitayi ngati Malagizu gigana wuli, yati ivalangiwa lepi ngati mundu mweadumwili jandu?
Hivyo, ikiwa wale wasiotahiriwa wanatimiza mambo ambayo sheria inataka, je, kutokutahiriwa kwao hakutahesabiwa kuwa sawa na kutahiriwa?
27 Vandu vangali Vayawudi vala vangadumuliwa jandu, vikamula Malagizu yati vakuvahamula nyenye Vayawudi muni mukamula lepi Malagizu, hati ngati muvi nagu malagizu gegayandikwi na mudumuliwi jandu.
Ndipo wale ambao hawakutahiriwa kimwili lakini wanaitii sheria watawahukumu ninyi, ambao ingawa mmetahiriwa na kuijua sana sheria ya Mungu iliyoandikwa, lakini mwaivunja.
28 Ndi kujova, mundu ivya lepi Myawudi wa chakaka kwa kulolekana chakuvala amala mundu ivya lepi Myawudi wa chakaka, kwa kudumuliwa jandu.
Kwa maana mtu si Myahudi kwa vile alivyo kwa nje, wala tohara ya kweli si kitu cha nje au cha kimwili.
29 Myawudi wa chakaka ndi yula mweavili myawudi cha mugati, ndi mweadumwili jandu mu mtima. Lihengu lenili ndi la Mpungu wa Chapanga, lepi lijambu la malagizu gayandikwi. Mundu wa naha yati ilumbiwa na Chapanga ndi lepi na vandu.
Lakini mtu ni Myahudi alivyo ndani, nayo tohara ya kweli ni jambo la moyoni, ni la Roho, wala si la sheria iliyoandikwa. Mtu wa namna hiyo hapokei sifa kutoka kwa wanadamu bali kwa Mungu.