< Vaebulania 7 >
1 Melikisedeki mwenuyo avi nkosi wa Salemu, na Mteta mkulu wa Chapanga mweavi kunani neju. Ibulahimu peawuyayi kuhuma ku ngondo kweavakomili vankosi, Melikisedeki akonganiki nayu, namwene Melikisedeki ammotisi,
Kwa kuwa huyu Melkizedeki alikuwa mfalme wa Salemu na kuhani wa Mungu Aliye Juu Sana. Alipokutana na Abrahamu akirudi kutoka kuwashinda hao wafalme, Melkizedeki alimbariki,
2 na Ibulahimu ampelili lilundu la kumi pa vindu vyoha vyeanyagili kungondo. Mana ya liina Meilikisedeki, “Nkosi mbwina palongolo Chapanga,” Muni avi Nkosi wa Salemu liina laki mewa mana yaki “Nkosi wa uteke.”
naye Abrahamu alimpa sehemu ya kumi ya kila kitu. Kwanza, jina hilo Melkizedeki maana yake ni “mfalme wa haki.” Na pia “mfalme wa Salemu” maana yake ni “mfalme wa amani.”
3 Avi lepi na dadi amala mau mewa avi lepi na lukolo, kawaka mundu mweimanya avelekiwi ndali amala afwili ndali. Iwanangana na Mwana wa Chapanga, na iyendelela kuvya Mteta Mkulu magono goha gangali mwishu.
Hana Baba wala mama, hana ukoo, hana mwanzo wala mwisho wa siku zake. Kama Mwana wa Mungu, yeye adumu akiwa kuhani milele.
4 Hinu, mhololela mundu uyu cheavili mkulu. Hati Gogo witu Ibulahimu ampelili lilundu la kumi pa vindu vyoha vyeanyagili ku ngondo.
Tazama jinsi alivyokuwa mkuu: Hata Abrahamu, baba yetu mkuu, alimpa sehemu ya kumi ya nyara zake.
5 Kulandana na Mihilu ya Chapanga, yikuvahamula vachiveleku va Lawi ndi vamteta vakulu va Chapanga, viganikiwa kupokela lilundu limonga pagati ya kumi kuhuma kwa valongo vavi vandu va Isilaeli, pamonga vene valongo vavi ndi vachiveleku va Ibulahimu.
Basi sheria inawaagiza wana wa Lawi ambao hufanyika makuhani kupokea sehemu ya kumi kutoka kwa watu ambao ni ndugu zao, ingawa ndugu zao ni wazao wa Abrahamu.
6 Nambu Melikisedeki mwenuyu avi lepi wa Chiveleku cha Lawi, nambu apokili lilundu la kumi kuhuma kwa Ibulahimu, kavili ammotisi mwene mweapewili lilagizu na Chapanga.
Huyu Melkizedeki, ingawa hakufuatia ukoo wake kutoka kwa Lawi, lakini alipokea sehemu ya kumi kutoka kwa Abrahamu na kumbariki yeye aliyekuwa na zile ahadi.
7 Na timanyili bwina kuvya mkulu ndi mweakummotisa mdebe.
Wala hakuna shaka kwamba mdogo hubarikiwa na aliye mkuu kumliko yeye.
8 Kangi mu lijambu lenili vakulu va kuteta va Chapanga vevipokela lilundu la kumi, ndi vandu vevifwa, nambu Melikisedeki mweapokili lilundu la kumi yijoveka kuvya ifwa lepi.
Kwa upande mmoja, sehemu ya kumi hupokelewa na wale ambao hupatikana na kufa; lakini kwa upande mwingine hupokelewa na yeye ambaye hushuhudiwa kuwa yu hai.
9 Kangi, tihotola kujova kuvya, Ibulahimu peawusili lilundu la kumi, mewawa Lawi pamonga vachiveleku vaki ndi vevipokela lilundu la kumi mewa Lawi awusili lilundu la kumi ndava muni avi chiveleku cha Ibulahimu.
Mtu anaweza hata kusema kwamba Lawi, ambaye hupokea sehemu ya kumi, alitoa hiyo sehemu ya kumi kupitia kwa Abrahamu,
10 Ndava Melikisedeki peakonganiki na Ibulahimu, Lawi avi akona kuvelekewa, avi akona muhiga ya dadi waki.
kwa sababu Melkizedeki alipokutana na Abrahamu, Lawi alikuwa bado katika viuno vya baba yake wa zamani.
11 Vandu va Isilaeli vapewili malagizu mumkingisa wa uteta wa Valawi. Ngati lihengu la uteta lavi kamilifu, ngayiganikiwi lepi kuhumila mteta yungi wa Chapanga mweiwanangana na Melikisedeki, na lepi Aloni.
Kama ukamilifu ungeweza kupatikana kwa njia ya ukuhani wa Walawi (kwa kuwa katika msingi huo, sheria ilitolewa kwa watu), kwa nini basi imekuwepo haja ya kuja kuhani mwingine: kuhani kwa mfano wa Melkizedeki, wala si kwa mfano wa Aroni?
12 Ndava muni uteta wa Chapanga wakang'anamuka, malagizu na gene mewawa ging'anamuka.
Kwa kuwa yanapotokea mabadiliko ya ukuhani, pia lazima yawepo mabadiliko ya sheria.
13 Na Bambu witu ndi mambu goha getijova ndava yaki, avi wa likabila lingi na kawaka hati mmonga wa likabila laki mweahengili pa lusanja lwa luteta ngati mteta Chapanga.
Yeye ambaye mambo haya yanasemwa alikuwa wa kabila lingine, na hakuna mtu wa kabila hilo aliyewahi kuhudumu katika madhabahu.
14 Timanyili hotohoto kuvya Bambu witu ihuma mu likabila la Yuda, Musa aliluwili lepi peajovili kuuvala lukolo lwenulo mu mambu ga vamteta va Chapanga.
Kwa maana ni dhahiri kwamba Bwana wetu alitoka katika uzao wa Yuda, tena kuhusu kabila hilo Mose hakusema lolote kwa habari za makuhani.
15 Kangi lijambu lenili lilangisa hotohoto neju, malovi aga, ahumalili mteta yungi mweavi ngati Melikisedeki.
Tena hayo tuliyosema yako wazi zaidi kama akitokea kuhani mwingine kama Melkizedeki,
16 Mwene akitiwi lepi mteta wa Chapanga kwa malagizu na malagizu ga chimundu, nambu kwa makakala ga wumi wangali mwishu.
yeye ambaye amefanyika kuhani si kwa misingi ya sheria kama ilivyokuwa kwa baba zake, bali kwa misingi ya uwezo wa uzima usioharibika.
17 Muni Mayandiku Gamsopi gijova, “Veve ndi Mteta wa Chapanga wa magono goha gangali mwishu ngati cheuvili uteta wa Melikisedeki.” (aiōn )
Kwa maana imeshuhudiwa kwamba: “Wewe ni kuhani milele, kwa mfano wa Melkizedeki.” (aiōn )
18 Hinu, mhilu wula wa kadeni yavikiwi pamuhana ndava yangali makakala na yangafaya chindu.
Kwa upande mmoja, ile amri ya mwanzo isiyofaa na dhaifu imebatilishwa
19 Muni Malagizu ga Bambu geampeli Musa gangahotola kukamilisa lijambu loloha. Nambu hinu, pandu paki pavikiwi huvalila yabwina neju yeyihotosa kumhegelela Chapanga papipi.
(kwa maana sheria haikufanya kitu chochote kuwa kikamilifu). Kwa upande mwingine, tumeletewa tumaini lililo bora zaidi ambalo linatuleta karibu na Mungu.
20 Neju ya genago, apa pavi na chilapu cha Chapanga. Lukumbi vala vangi pavakitiwi vamteta va Chapanga pangali chilapu chochoha.
Nalo tumaini hilo halikutolewa pasipo kiapo! Wengine walikuwa makuhani pasipo kiapo chochote,
21 Nambu Yesu ahengiwi kuvya Mteta kwa chilapu lukumbi Chapanga peamjovili, “Bambu alapili, kangi ing'anamuka lepi maholo gaki, ‘Veve ndi mteta wa Chapanga magono goha gangali mwishu.’” (aiōn )
lakini Yesu alifanywa kuhani kwa kiapo wakati Mungu alimwambia: “Bwana ameapa naye hatabadilisha mawazo yake: ‘Wewe ni kuhani milele.’” (aiōn )
22 Hinu, ndava ya kulapa kwenuko, Yesu ndi ulangisu wa chakaka wa kutilangisa tivii na huvalila ya lilaganu labwina neju.
Kwa ajili ya kiapo hiki, Yesu amekuwa mdhamini wa agano lililo bora zaidi.
23 Kangi kwavi na vamteta vangi vamahele va lilaganu la kadeni, vangahotola kuyendelela na lihengu lavi ndava vafwili.
Basi pamekuwepo na makuhani wengi wa aina hiyo, kwa kuwa kifo kiliwazuia kuendelea na huduma yao ya ukuhani.
24 Nambu Yesu itama magono goha gangali mwishu, na uteta waki wihotoleka lepi kupewa mundu yungi. (aiōn )
Lakini kwa sababu Yesu anaishi milele, anao ukuhani wa kudumu. (aiōn )
25 Ndava yeniyo, mwene ihotola kuvasangula voha vevakumhambila Chapanga kwa njila yaki, ndava itama magono goha gangali mwishu, muni avayupila kwa Chapanga.
Kwa hiyo anaweza kuwaokoa kabisa wale wanaomjia Mungu kupitia kwake, kwa sababu yeye adumu daima kuomba kwa ajili yao.
26 Muni taganikiwi kuvya na Mteta Mkulu ngati mwenuyu mweavi Msopi na angabuda na mwangambudila Chapanga. Mweabaguliwi kutali na vevakumbudila Chapanga, na mweatoliwi kunani neju kwa Chapanga.
Kwa kuwa ilitupasa tuwe na Kuhani Mkuu wa namna hii, yaani, aliye mtakatifu, asiye na lawama, asiye na dosari, aliyetengwa na wenye dhambi na kuinuliwa juu ya mbingu.
27 Mwene avi lepi ngati vamteta vakulu vangi, iganikiwa lepi kuwusa luteta lwa kuhinjwa hinyama kila ligono, ndava ya kubuda kwaki mwene kavili ndava ya kubuda kwa vandu vangi. Mwene ajiwusili kuvya luteta mala yimonga ndu mu lukumbi lwoha.
Yeye hahitaji kutoa dhabihu siku kwa siku kwa ajili ya dhambi, kwanza kwa ajili ya dhambi zake mwenyewe, kisha kwa ajili ya dhambi za watu kama wale makuhani wakuu wengine. Yeye alitoa dhabihu kwa ajili ya dhambi zao mara moja tu, alipojitoa mwenyewe.
28 Malagizu ga Musa gakuvahagula vandu vangolongondi kuvya vamteta vakulu va Chapanga, nambu malagizu ga Chapanga gahengili kwa chilapu chechibwela palongolo ya malagizu, gamhagwili Mwana mweakitiwi mkamilifu magono goha gangali mwishu. (aiōn )
Kwa kuwa sheria huwaweka makuhani wakuu watu ambao ni dhaifu; lakini lile neno la kiapo, lililokuja baada ya sheria, lilimweka Mwana, ambaye amefanywa kuwa mkamilifu milele. (aiōn )