< 1 Timoti 5 >
1 Koto kumuhakalila gogo, ndi mlapisa ngati cheyivya kwa dadi vaku. Vahengela vasongolo ngati valongo vaku,
Usimkemee mzee kwa ukali bali umshawishi kama vile angekuwa ni baba yako. Uwatendee vijana kama vile ndugu zako;
2 Muvahengela vadala vagogo ngati nyina vaku, na vasikana ngati valumbu vaku, kwa uganu woha.
nao wanawake wazee uwatendee kama mama zako, na wanawake vijana kama dada zako, katika usafi wote.
3 Vatangatila valipwela vangali mundu wa kuvangatila vevavili valipwela chakaka.
Waheshimu wanawake wajane ambao ni wajane kweli kweli.
4 Nambu ngati lipwela ana vana amala vajukulu, venavo viganikiwa kujiwula gakukita gala gegiganikiwa kuhengewa na vandu vevakumyumpa Chapanga viganikiwa kukita kwa valongo vavi vene na ndi kuvalipa vadadi na vanyina vavi na vagogo vavi, muni ndi lijambu la kuganisa palongolo ya Chapanga.
Kama mjane ana watoto ama wajukuu, hawa inawapasa awali ya yote wajifunze kutimiza wajibu wao wa kumcha Mungu katika matendo kwa kuwatunza wale wa jamaa zao wenyewe, na hivyo wawarudishie wema waliowatendea wazazi wao, kwa kuwa hivi ndivyo impendezavyo Mungu.
5 Mdala lipwela chakaka, angali mundu wa kumtangatila, mweavikili huvalila kwa Chapanga na kuyendelela kumuyupa utangatila muhi na kilu.
Mwanamke ambaye ni mjane kweli kweli, yaani, yeye aliyebaki peke yake huweka tumaini lake kwa Mungu naye hudumu katika maombi usiku na mchana akimwomba Mungu ili amsaidie.
6 Nambu lipwela mwaitama wumi wa manogelu, mwenuyo amali kufwa pamonga akona wumi.
Lakini mjane aishiye kwa anasa amekufa, ingawa anaishi.
7 Vapela vandu malagizu aga, muni mundu yoyoha akotoka kuvawona vanamabudilu.
Wape watu maagizo haya pia, ili asiwepo yeyote wa kulaumiwa.
8 Nambu ngati mundu akuvatunza lepi valongo vaki, neju vala va kunyumba yaki, ndi mundu mwenuyo ayibelili sadika yaki, na ndi muhakau neju kuliku mundu mwangasadika.
Kama mtu hawatunzi wale wa jamaa yake, hasa wale wa nyumbani mwake mwenyewe, ameikana imani, tena ni mbaya kuliko yeye asiyeamini.
9 Kotoka kumyandika muchitabu cha mahina ga valipwela, lipwela yoyoha mwangahikisa miyaka sitini. Kangi avya agegiwi mala yimonga ndu,
Mjane yeyote asiwekwe kwenye orodha ya wajane isipokuwa awe ametimiza umri wa miaka sitini, na ambaye alikuwa mke wa mume mmoja,
10 na avya na matendu gabwina, mwavalelili vana vaki bwina, mweakuvakalibisa vayehe munyumba yaki, mwavasambisi magendelu vandu va Chapanga, mwavatangatili vandu vanamang'ahiso, na mwajiwusili kukita mambu ga kila namuna.
awe ameshuhudiwa kwa matendo yake mema, aliyewalea watoto wake vizuri, aliye mkarimu, aliyewanawisha watakatifu miguu, aliyewasaidia wenye shida na aliyejitolea kwa ajili ya matendo mema ya kila namna.
11 Muchitabu chenicho koto kuvayandikisa mahina ga valipwela vasikana, muni mnogo wavi wa higa ukavya na makakala neju yati vigana kugegewa kuliku kujiwusa kwa Kilisitu,
Lakini kwa habari za wajane vijana usiwaweke kwenye orodha hiyo, maana tamaa zao za kimaumbile zikizidi kule kujitoa kwao kwa Kristo, watataka kuolewa tena.
12 na kulolekana kukosa usadikika ndava ya lilagizu la kumuhengela Chapanga levavikili pakumbula.
Nao kwa njia hiyo watajiletea hukumu kwa kukiuka ahadi yao ya kwanza.
13 Valipwela ngati venavo viyagisa lukumbi na kugendagenda nyumba yimonga na yingi na vivya vandu veviheha na kujiyingisa mu mambu ga vandu vangi, na kujova mambu gangavya gavi.
Zaidi ya hayo, wajane kama hao huwa na tabia ya uvivu wakizurura nyumba kwa nyumba, wala hawawi wavivu tu, bali pia huwa wasengenyaji, wajiingizao katika mambo yasiyowahusu na kusema mambo yasiyowapasa kusema.
14 Hinu ndi nigana valipwela vasikana vagegewa, na kuveleka vana na kuyangalila nyumba zavi muni likoko likoto kupata fwasi ya kujova mambu gahakau ndava yitu.
Hivyo nawashauri wajane vijana waolewe, wazae watoto na wasimamie nyumba zao, wasije wakampa adui nafasi ya kutushutumu.
15 Muni valipwela vangi vamali kuyagila na kumlanda Setani.
Kwa maana kwa kweli wajane wengine wamepotoka ili kumfuata Shetani.
16 Nambu ngati mau mkilisitu avi na valipwela mu lukolo lwaki, mwene iganikiwa kuvayangalila ndi lepi kuvalekela lihengu lenilo msambi wa vandu vevakumsadika Kilisitu, muni msambi wa vandu vevakumsadika Kilisitu vakuvatuza vangi vevasigalili.
Lakini kama mwanamke yeyote aaminiye ana wajane katika jamaa yake, inampasa awasaidie wala si kuwaacha wakililemea kanisa, ili kanisa liweze kuwasaidia wale ambao ni wajane kweli kweli.
17 Vagogo vavilongosa bwina msambi wa vandu vevakumsadika Kilisitu viganikiwa kutopeswa na kupewa bwina luhuna, neju vala vevihenga lihengu cha kukangamala kukokosa na kuwula.
Wazee wa kanisa wanaoongoza shughuli za kanisa vizuri wanastahili heshima mara mbili, hasa wale ambao kazi yao ni kuhubiri na kufundisha.
18 Muni Mayandiku Gamsopi gijova, “Kotoka kukunga ng'ombi mlomo peyihenga lihengu la kuwulula mabenu,” Ndi kangi “Muhenga lihengu iganikiwa kupewa luhuna lwaki.”
Kwa maana Maandiko husema, “Usimfunge maksai kinywa apurapo nafaka,” tena, “Mfanyakazi anastahili mshahara wake.”
19 Kotoka kuyidakila matakilu gegakuvavala gogo mwevavili chilongosi mu msambi wa vandu vevakumsadika Kilisitu mbaka kuvya na vandu gevajovili vavili amala vadatu.
Usiendekeze mashtaka dhidi ya mzee isipokuwa yawe yameletwa na mashahidi wawili au watatu.
20 Vala vevakumbudila Chapanga vavahakalila pavandu, muni vangi vayogopa mewa.
Wale wanaodumu katika dhambi uwakemee hadharani, ili wengine wapate kuogopa.
21 Nikulagiza palongolo ya Chapanga, na palongolo ya Kilisitu Yesu na palongolo ya vamtumu va Chapanga, kugalanda malagizu ago changaleka hati limonga na ukita cheyiganikiwa changamlola mundu kumihu.
Ninakuagiza mbele za Mungu na mbele za Kristo Yesu na mbele za malaika wateule, shika maagizo haya pasipo ubaguzi wala upendeleo.
22 Kotoka kuyumbatika kumvikila mundu yoyoha mawoko ndava ya kumhengela Bambu. Kotoka kujiyingisa mukumbudila Chapanga na vandu vangi, jivika mukunyamba.
Usiwe na haraka kumwekea mtu mikono wala usishiriki dhambi za watu wengine. Jilinde nafsi yako uwe safi.
23 Kotoka kunywa manji ndu, ndi unywa divayi padebe ndava ya lilemi laku, muni ulwala pamahele.
Acha kunywa maji peke yake, tumia divai kidogo kwa sababu ya tumbo lako na maumivu yako ya mara kwa mara.
24 Kumbudila Chapanga kwa vangi kwiloleka hotohoto hati kwakona lukumbi lwa kuhamuliwa, nambu kumbudila Chapanga kwa vangi kwilolekana kandahi pevihamuliwa.
Dhambi za watu wengine ni dhahiri nazo zinawatangulia kwenda hukumuni; na dhambi za watu wengine zinawafuata nyuma yao.
25 Mewawa matendu gabwina gilolekana njwe, na hati gala gangalolekana waka nakuhotoleka kufiyika.
Vivyo hivyo, matendo mema yako dhahiri, na hata yale ambayo si mema hayawezi kufichika.