< 2 Vatesolonike 1 >
1 Nene Pauli, pamonga na Siliwano na Timoti, tikuvayandikila nyenye msambi wa vevakumsadika Kilisitu va ku Tesalonike, mwemvili vandu vaki Chapanga Dadi witu na BAMBU Yesu Kilisitu.
Paulo, Silvano na Timotheo: Kwa kanisa la Wathesalonike mlio katika Mungu Baba yetu na Bwana Yesu Kristo:
2 Tikuvaganila uteke na ubwina kuhuma kwa Chapanga kwa Chapanga Dadi witu na BAMBU witu Yesu Kilisitu.
Neema na amani itokayo kwa Mungu Baba na Bwana Yesu Kristo iwe nanyi.
3 Valongo vitu, tiganikiwa kumsengusa Chapanga magono goha ndava yinu. Chabwina kwitu kukita naha ndava muni sadika yinu yikula neju na kuganana kwinu kuyonjokesa neju.
Ndugu, imetubidi kumshukuru Mungu kwa ajili yenu siku zote, kama ulivyo wajibu wetu, kwa sababu imani yenu inakua zaidi na zaidi na upendo wa kila mmoja wenu alio nao kwa mwenzake unazidi kuongezeka.
4 Ndi muni tete timekela nyenye misambi ya vandu vevamkumsadika Kilisitu. Timeka muni muyendelela kusadika na kukangamala mu mang'ahiso na mtahu wemwipata.
Ndiyo sababu miongoni mwa makanisa ya Mungu, tunajivuna kuhusu saburi yenu na imani mliyo nayo katika mateso yote na dhiki mnazostahimili.
5 Genago goha gilangisa kuvya Chapanga ndi mchakaka, muni nyenye myidakiwa kuyingila munkosi wa Chapanga ndi ndava yaki mwing'ahika.
Haya yote ni uthibitisho kwamba hukumu ya Mungu ni ya haki, na kwa sababu hiyo ninyi mtahesabiwa kwamba mnastahili kuwa wa Ufalme wa Mungu, mnaoteswa kwa ajili wake.
6 Chapanga yati ikita lijambu leliganikiwa, yati akuvawuyisila mang'ahiso vala vevakuvang'aha nyenye,
Mungu ni mwenye haki: yeye atawalipa mateso wale wawatesao ninyi
7 na kuvapela kupumulila nyenye mwemng'ahika, na tete mewa yati akutipela kupumulila. Yati ikita lijambu lenilo lukumbi BAMBU Yesu peihumila kuhuma kunani pamonga na vamitumi vaki vana makakala,
na kuwapa ninyi mnaoteseka raha pamoja na sisi, wakati Bwana Yesu atakapodhihirishwa kutoka mbinguni katika mwali wa moto pamoja na malaika wake wenye nguvu.
8 Chapanga yati akuvatova vandu vala kwa miali ya motu. Vevakumbela Chapanga na vala vangayidakila Lilovi la Bwina panani ya BAMBU witu Yesu.
Atawaadhibu wale wasiomjua Mungu na ambao hawakuitii Injili ya Bwana wetu Yesu.
9 Mtovilu yati uvya kung'aiswa magono goha gangali mwishu na kuvikwa kutali na BAMBU na ukulu waki uvaha, (aiōnios )
Wataadhibiwa kwa uangamivu wa milele na kutengwa na uso wa Bwana na utukufu wa uweza wake, (aiōnios )
10 lukumbi peibwela ligono lenilo kupokela ukulu kuhuma kwa vandu vaki na utopesa kuhuma kwa voha vevisadika. Nyenye mewa yati mwivya pagati yavi muni msadiki ujumbi waki watavaletili.
siku hiyo atakapokuja kutukuzwa katika watakatifu wake na kustaajabiwa miongoni mwa wote walioamini. Ninyi pia mtakuwa miongoni mwa hawa kwa sababu mliamini ushuhuda wetu kwenu.
11 Ndi muni tikuvayupa magono goha. Tikumuyupa Chapanga witu avahotosa kutama cheavakemili kutama. Tikumuyupa kwa makakala gaki, tikumuyupa kwa uhotola waki kugana kwinu na mambu goha gabwina gemwigana kukita musadika yinu.
Kwa sababu hii, tunawaombea ninyi bila kukoma, ili Mungu apate kuwahesabu kuwa mnastahili wito wake na kwamba kwa uwezo wake apate kutimiza kila kusudi lenu jema na kila tendo linaloongozwa na imani yenu.
12 Mukukita chenicho liina la BAMBU witu Yesu lipewa ukulu na nyenye yati mwipata utopesa kuhuma kwaki mu njila ya ubwina wa Chapanga na BAMBU witu Yesu Kilisitu.
Tunaomba hivi ili Jina la Bwana wetu Yesu lipate kutukuzwa ndani yenu, nanyi ndani yake, kulingana na neema ya Mungu wetu na Bwana Yesu Kristo.