< Lioka 15 >
1 Hene niropak’ am’ Iesoà amy zao o mpamory vili-lohao rekets’ o bey hakeoo hijanjiñe aze.
Basi watoza ushuru wote na wengine wenye dhambi walikuja kwa Yesu na kumsikiliza.
2 Le hoe ty fitreontreo’ o Fariseoo naho o mpanoki-dilio: Mandrambe mpanan-tahiñe t’indaty tia vaho mitrao-pilintseñe ama’e.
Mafarisayowaote na waandishi wakanung'unika wakisema, “Mtu huyu huwakaribisha wenye dhambi na hata hula nao.”
3 Aa le nirazaña’e ty hoe:
Yesu akasema mfano huu kwao, akisema
4 Ia ama’ areo aman’ añondry zato, ie rereke ty raike, ty tsy hienga i sivampolo sive’ amby rey an-tameañe ey heike, hihitrihitry hitsoeke i motsoy ampara’ te tendreke?
“Nani kwenu, kama ana kondoo mia moja na akipotelewa na mmoja wao, hatawaacha wale tisini na tisa nyikani, na aende akamtafute yule aliyepotea hadi amwone?
5 Ie isa’e, le anoe’e ega vaho ifalea’e,
Naye akisha kumpata humweka mabegani pake na kufurahia.
6 le ie pok’ añ’ anjomba’e ao, atonto’e o rañe’eo naho o marineo vaho anoe’e ty hoe: Antao hitrao-kaehak’ amako, fa nitreako i añondriko nimotsoy.
Afikapo kwenye nyumba, huwaita rafiki zake na jirani zake akawaambia furahini pamoja nami, kwa kuwa nimempata kondoo wangu aliyepotea.'
7 Itaroñako te hirebeke ty andindiñe ao ami’ty bei-hakeo misoloho te ami’ty maren-tane sivampolo sive’ amby tsy aman-kisolohoa’e.
nawaambia vivyo hivyo kutakuwa na furaha mbinguni kwa ajili ya mwenye dhambi mmoja atubuye, zaidi ya wenye haki tisini na tisa ambao hawana haja ya kutubu
8 Ia ka ty rakemba aman-tsanganolo folo, ie motso ty raike ro tsy handrehetse jiro, hipio anjomba hikodebe ampara’ te isa’e?
Au kuna mwanamke gani mwenye sarafu kumi za fedha, akipotewa na sarafua moja, hata washa taa na kufagia nyumba na kutafuta kwa bidii hadi atakapoipata?
9 Ie zoe’e ro mamory o rañe’eo naho o mpifankarine ama’eo hanao ty hoe: Antao hitrao pinembanembañ’ amako; fa nitreako i tsanganolo nimotsoy.
Na akiisha kuiona huwaita rafiki zake na jirani zake akawaambia furahini pamoja nami, kwa kuwa nimeipata tena sarafu yangu niliyokua nimeipoteza.
10 Itaroñako te firebehañe ty añatrefa’ o anjelin’ Añahareo ami’ty fibaboha’ ty mpanan-tahiñe raike.
Hata hivyo nawaambia kuna furaha mbele ya malaika wa Mungu kwa ajili ya mwenye dhambi mmoja atubuye.”
11 Tinovo’e ty hoe: Teo t’indaty aman’anadahy roe.
Na Yesu akasema, “Mtu mmoja alikua na wana wawili
12 Le hoe ty zai’e aman-drae’e: O aba, atoloro ahy ty anjara lovako. Le zinara’e am’ iereo ty fiveloma’e.
yule mdogo akamwambia babaye, Baba nipe sehemu ya mali inayonistali kuirithi. Hivyo akagawanya mali zake kati yao.
13 Ie modo ty andro tsy ampeampe le hene natonton-jai’e naho nifokofoko mb’an-tsietoitane añe vaho nirite’e ami’ty hatsivokarañe o fanaña’eo.
Siku si nyingi yule mdogo akakusanya vyote anavyomiliki akaenda nchi ya mbali, na huko akatapanya hela zake, kwa kununua vitu asivyo vihitaji, na kutapanya fedha zake kwa anasa.
14 Ie nikapioke, nitondroke ty san-kerè mena amy taney vaho nirota.
Nae alipokua amekwisha tumia vyote njaa kuu iliingia nchi ile naye akaanza kuwa katika uhitaji.
15 Aa le niavotse re, noly amy t’indaty tompo-tane nañirak’ aze hiara-dambo an-tete’e añe.
Akaenda na kujiajiri mwenyewe kwa mmoja wa raia wa nchi ile, naye alimpeleka shambani kwake kulisha nguruwe.
16 Le naìna’e te ho nañatseke ty tro’e amo hara’e fihanen-damboo, fe tsy eo ty namahañe aze.
Na akawa akitamani kujishibisha kwa maganda waliyokula nguruwe kwa sababu hakuna mtu aliempa kitu chochote apate kula.
17 Ie nitombalin-dre, le hoe ty fisafiri’e: Firefire amo mpikarama aman-draeko añeo ro tsy enen-kaneñe, izaho mifeake ty kerè atoy!
Ila yule mwana mdogo alipozingatia moyoni mwake, alisema 'ni watumishi wangapi wa baba yangu wanachakula kingi cha kutosha na mimi niko hapa, ninakufa na njaa!
18 Hiavotse iraho himpoly mb’ aman-draeko añe, le hanoeko ty hoe: Ry aba, aman-kakeo andindìñey naho ama’o raho
Nitaondoka na kwenda kwa baba yangu, na kumwambia, “Baba nimekosa juu ya mbingu na mbele ya macho yako.
19 le tsy mañev’ ahy te hatao ana’o, ehe apoho ho mpiamo tsimañaja’oo.
Sistahili kuitwa mwana wako tena; nifanye kama mmoja wa watumishi wako.”
20 Aa le niongake re nimpoly mb’ aman-drae’e añe. Ie mbe eñe te nitalaken-drae’e naho niferenaiña’e; vaho nihitrihitry mb’ ama’e mb’eo nametreke ty fititia’e naho norofa’e.
Ndipo akaondoka akaenda kwa baba yake. Alipokua angali mbali baba yake alimuona akamwonea huruma akaenda mbio na kumkumbatia na kumbusu.
21 Fa hoe ty nanoa’ i ana’ey: O aba, aman-tahiñe andindìñey naho ama’o iraho, tsy mañeva ahy ty hatao ty hoe ana’o ka.
Yule mwana akamwambia, 'baba nimekosa juu ya mbingu na mbele ya macho yako sistahili kuitwa mwana wako.'
22 Fe hoe ty rae’e amo mpitoro’eo: Hitrifo masika kirahe i sarimbo soay le isaroño; añombeo bange o taña’eo naho hana o tombo’eo
Yule baba aliwaambia watumishi wake, 'lileteni upesi vazi lililo bora, mkamvike mtieni na pete kidoleni na viatu miguuni.
23 le endeso atoy i ana-bosy vinondrakey, lentao; naho antao hikama vaho hifale.
Kisha mleteni ndama yule alienona mkamchinje tule na kufurai.
24 Amy te nihomake ty anako toy naho nivañom-beloñe, nimotso vaho nitrea. Aa le nifale iereo.
Kwa kuwa mwanangu alikua amekufa naye yu hai. Alikua amepotea nae ameonekana wakaanza kushangilia.
25 Tan-tetek’ añe i zoke’ey; aa ie nañarine i anjombay, le nahatsanom-peon-kafaleañe naho tsinjake.
Basi yule mwanae mkubwa alikuwako shamba. Alipokuwa akija na kuikaribia nyumba alisikia sauti ya nyimbo na michezo.
26 Le tsinikao’e ty mpitoroñe, naho nañontane ty foto’ o raha zao.
Akaita mtumishi mmoja akamuuliza mambo haya maana yake nini?
27 Le hoe ty nanoa’ i mpitoroñey: Nivotrak’ atoy i rahalahi’oy; aa kanao nijaranjaiñe i anadahi’ey, le vinonon-drae’o i ana-bosy vinondrakey.
Mtumishi akamwambia mdogo wako amekuja na baba yako amemchinjia ndama aliyenona kwa sababu amerudi salama.'
28 Nioroñoroñe amy zao re nifoneñe tsy hizilik’ ao; aa le niakatse ty rae’e hañohò aze.
Mwana mkubwa akakasirika akakataa kuingia ndani na babaye alitoka nje kumsihi.
29 Fe hoe re aman-drae’e: Hete, fa haehae ty nitoroñako azo, le tsy nililareko ndra mbia’ mbia o lili’oo; fe mbe lia’e tsy nitolara’o ndra ty vi’e hifalefaleako amo rañekoo.
Ila akamjibu babayake akisema, 'Tazama mimi nimekutumikia miaka mingi, wala sijakosa amri yako, lakini hujanipa mwana mbuzi, ili niweze kusherehekea na rafiki zangu.
30 Ie niloneake eo i ana-dahi’o nampianto ty harea’o amo tsimirirañeoy, le linenta’o i temboay vinondrakey.
Lakini alipokuja huyu mwana wako aliyetapanya mali yako yote pamoja na makahaba umemchinjia ndama alienona.
31 Aa hoe ty saontsin-drae’e tama’e: O anake, toe amako etoañe nainai’e irehe; fonga azo o hanañakoo.
Baba akamwambia, 'Mwanangu, wewe u pamoja nami siku zote na vyote nilivyo navyo ni vyako.
32 Fe evàe’e t’ie mifale naho mirebeke; amy te nihomake i rahalahi’oy f’ie nibodañe, nirereke fe nitendreke.
Ila ilikua vyema kwetu kufanya sherehe na kufurahi, huyu ndugu yako alikua amekufa, na sasa yu hai; alikua amepotea naye ameonekana.”