< Lioka 19 >

1 Ie tafazilike t’Iesoà le ho niranga Ieriko,
Yesu aliingia na kupita katikati ya Yeriko.
2 fe inge t’indaty atao Zakaiosy, bei’ o mpamory vili-lohao, toe mpañaleale,
Na hapo palikuwa na mtu mmoja aitwaye Zakayo. Ambaye alikuwa mkuu wa watoza ushuru tena mtu tajiri.
3 nipay handrendreke Iesoà, fa aia te ho nimete amy lahialeñey, ie nibory.
Alikuwa anajaribu kumwona Yesu ni mtu wa namna gani, lakini hakuweza kuona kwa sababu ya umati wa watu, kwa kuwa alikuwa mfupi wa kimo.
4 Aa le nihitrihitry mb’aolo ey re nanganike sakoañe hahaisake, ie hiary mb’eo.
Hivyo, alitangulia mbio mbele za watu, akapanda juu ya mkuyu ili aweze kumwona, kwa sababu Yesu alikaribia kupita njia hiyo.
5 Aa naho nitandrifea’ Iesoà, le niandra naho niisa’e vaho nanoa’e ty hoe, O Zakaiosy, masikà! mizo­tsoa, fa tsi-mahay tsy hiantraño ama’o iraho te anito.
Wakati Yesu alipofika mahali pale, aliangalia juu akamwambia, 'Zakayo, shuka upesi, maana leo ni lazima nishinde nyumbani mwako.'
6 Nihavoa re, nizotso naho nampihovae’e añ’ anjomba’e ao an-kaehake.
Akafanya haraka, akashuka na kumkaribisha kwa furaha.
7 Ie nahaisake, le niñeoñeoñe ty hoe i maroy: Nizilike ao re hiambahiny ami’ty ondaty beihakeo.
Watu wote walipoona hayo, wakalalamika, wakisema, 'Amekwenda kumtembelea mtu mwenye dhambi.'
8 Fe niongake t’i Zakaiosy nanao ty hoe amy Talè: Intoa, Rañandria, hatoloko amo rarakeo ty an-tsasa’ o fanañakoo; aa naho eo t’ indaty nidramoteko le havahako in-empatse.
Zakayo akasimama akamwambia Bwana, Tazama Bwana nusu ya mali yangu nawapa maskini, na ikiwa nimemnyang'anya mtu yeyote kitu, nitamrudishia mara nne. '
9 Le hoe t’Iesoà tama’e: Anindroany te nizilik’ ami’ty anjomba toy ty famotsorañe, amy t’ie ka ro amori’ i Abraàme.
Yesu akamwambia, 'Leo wokovu umefika katika nyumba hii, kwa sababu yeye pia ni mwana wa Ibrahimu.
10 Ty hi­tsoeke naho hañaha o rerekeo ty nivotraha’ i Ana’ondatiy atoy.
Kwa maana Mwana wa Mtu amekuja kutafuta na kuokoa watu waliopotea. '
11 Ie nahajanjiñe izay iereo, le nitovoña’ Iesoà fandrazañañe amy te nitotoke Ierosaleme naho natao’ iereo te hatsatoke aniany i Fifehean’ Añaharey,
Waliposikia hayo, aliendelea kuongea na alitoa mfano, kwa sababu alikuwa karibu na Yerusalemu, na wao walidhani ya kuwa ufalme wa Mungu ulikuwa karibu kuonekana mara moja.
12 hoe re, Teo ty ana-donake nañavelo mb’ an-tane añe, handrambe fifeheañe, vaho himpoly.
Hivyo akawaambia, 'Ofisa mmoja alikwenda nchi ya mbali ili apokee ufalme na kisha aurudi.
13 Aa le kinanji’e ty mpitoro’e folo, nitinolora’e tsanganolo folo vaho nanoa’e ty hoe, Manoa balike ampara’ ty fimpoliko.
Aliwaita watumishi wake kumi, akawapa mafungu kumi, akawaambia, 'fanyeni biashara mpaka nitakaporudi.'
14 Ie amy zay, nalaiñe aze o boriza’eo vaho nampihitrife’ iereo ty hañorik’ aze mb’eo hanao ty hoe: Tsy no’ay itìañe te hifehe.
Lakini wananchi wake walimchukia na hivyo wakatuma wajumbe waende kumfuata na kusema, 'Hatutaki mtu huyu atutawale.'
15 Aa ie tafampoly, naho fa ama’e i fifeheañey, le nampikanjie’e i mpitoroñe nitolora’e i volay rey hahafohiñe ty niazo’ iereo an-takinake.
Ikawa aliporudi nyumbani baada ya kufanywa mfalme, akaamuru wale watumishi aliokuwa amewaachia fedha waitwe kwake, apate kujua faida gani waliyoipata kwa kufanya biashara.
16 Avy ty valoha’e nanao ty hoe: O Rañandria, fa nitovoñe tsanganolo folo i tsanganolo’oy.
Wa kwanza akaja, akasema, `Bwana, fungu lako limefanya mafungu kumi zaidi. '
17 Le hoe re tama’e: Fanjaka, ry mpitorom-bañoñeo, kanao nalili-po ami’ ty pini­nio’e irehe, mifeleha rova folo.
Huyo Ofisa akamwambia, Vema, mtumishi mwema. Kwa sababu ulikuwa mwaminifu katika jambo dogo, utakuwa na madaraka juu ya miji kumi. '
18 Avy ka ty faharoe nanao ty hoe: O Rañandria, nitovoñe tsanganolo lime i tsan­ga­nolo’o rey.
Wa pili akaja, akasema, 'Bwana, fungu lako limefanya mafungu matano.'
19 Le hoe re tama’e: Mamehea rova lime ka.
Huyo Afisa akamwambia, 'Chukua mamlaka juu ya miji mitano.'
20 Pok’eo ka ty raike, nanao ty hoe: O Rañandria, intia i tsanganolo’oy fa nakafiko ami’ty masoara.
Na mwingine akaja, akasema, `Bwana hii hapa fedha yako, ambayo niliihifadhi salama katika kitambaa,
21 Toe nañeveñako fa ondaty sarots’arofo: Mandrambe ty tsy nado’o, naho manifo ty tsy nitongise’o.
kwa maana niliogopa kwa sababu wewe ni mtu mkali. Unaondoa kile usichokiweka na kuvuna usichopanda. '
22 Aa hoe re ama’e: O vava’oo ty hizakako azo, ty mpitoroñe tembo tia, toe napota’o t’ie mpidiby, mandrambe ty tsy napoko, naho mitatake ty tsy nandrarahako;
Huyo Ofisa akamwambia, 'Kwa maneno yako mwenyewe, nitakuhukumu, ewe mtumishi mbaya. Ulijua kwamba mimi ni mtu mkali, nachukua nisichokiweka na kuvuna ambacho sikupanda.
23 Aa vaho akore te tsy napo’o amy bankey i dralakoy, hangalako rekets’ ana’e amy fibalikoy?
Basi, mbona hukuweka fedha yangu katika benki, ili nikirudi niichukue pamoja na faida?
24 Le hoe re amo nijohañeo: Rambeso ama’e i tsanganoloy le atoloro amy aman-tsanganolo foloy.
Ofisa akawaambia watu waliokuwa wamesimama hapo, 'Mnyang'anyeni hilo fungu na kumpa yule mwenye mafungu kumi.'
25 (Aa hoe ty lie’ iareo: O Rañandria, ie amam-bogady folo!)
Wakamwambia, `Bwana, yeye ana mafungu kumi. '
26 Itaroñako te mbe ho tolorañe ty manañe; fe hapontañ’ amy tsy manañey ndra ze ama’e.
'Nawaambia, kila mtu ambaye anacho atapewa zaidi, lakini ambaye hana, hata kile alicho nacho kitachukuliwa.
27 Aa naho i rafelahiko nalaiñe ty hameheako rey, endeso mb’etoa, zamano añatrefako eo.
Lakini hawa maadui zangu, ambao hawakutaka niwe Mfalme wao, waleteni hapa na kuwaua mbele yangu. ''
28 Ie fa nitsara, le niaolo am-pionjonañe mb’e Ierosaleme mb’eo.
Baada ya kusema hayo, aliendelea mbele akipanda kwenda Yerusalemu.
29 Aa naho nitotoke i Beit-Pagè naho i Betania ami’ty vohitse atao Oliva eo re, le nirahe’e ty mpiama’e roe
Ikawa alipokaribia Bethfage na Bethania, karibu na mlima wa Mizeituni, aliwatuma wanafunzi wake wawili,
30 ami’ty hoe: Akia mb’ an-tanañe ey hoek’ey; ie mimoak’ ao, le hahaisake ty ana-borìke mirohy, mbe tsy niningira’ ondaty; idraito le endeso mb’atoa.
akisema: `Nendeni katika kijiji cha jirani. Mkiingia, mtakuta mwana-punda hajapandwa bado. Mfungueni, mkamlete kwangu.
31 Lehe eo ty mañontane ty hoe: Ino o añaha’ areo azeo? Le anò ty hoe ama’e: Ipaia’ i Talè.
Kama mtu akiwauliza, `Mbona mnamfungua? ' Semeni, “Bwana anamhitaji. ''
32 Niongak’ amy zao i nampihitrifeñe rey vaho nizoe’ iereo hambañe amy sinaontsi’ey.
Wale waliotumwa wakaenda wakamwona mwana-punda kama Yesu alivyokuwa amewaambia.
33 Aa ie nañaha i ana-borìkey, le hoe o tompo’eo: Inoñe ty ampidraita’ areo o ana-borìkeo?
Walipokuwa wanamfungua mwana punda wamiliki wakawaambia, 'Kwa nini mnamfungua mwana punda huyu?'
34 Ipaia’ i Talè, hoe iereo.
Wakasema, `Bwana anamhitaji. '
35 Le nase­se’ iereo mb’ amy Iesoà mb’eo, naho nalama’ iereo amy ana-borìkey o lamba’ iareoo, vaho niningira’ Iesoà.
Basi, wakampelekea Yesu, wakatandika nguo zao juu ya mwana punda na wakampandisha Yesu juu yake.
36 Ie nañavelo le nandafike saroñe an-dalañe ey iereo.
Alipokuwa akienda watu wakatandaza mavazi yao barabarani.
37 Aa naho nitotoke, toe fa am-pizo­tsoa’ i vohitse olivay, le fonga nirebeke o mpiama’e maroo, nandrenge an’ Andrianañahare, nipoña-peo ty amo hene raha tsitantane niisa’ iareoo
Alipokuwa anateremka mlima wa Mizeituni, jumuiya yote ya wanafunzi wakaanza kushangilia na kumtukuza Mungu kwa sauti kubwa, kwa sababu ya mambo makuu waliyoyaona,
38 ami’ty hoe: Andriañeñe ty Mpanjaka ­mito­tsak’ ami’ty tahina’ Iehovà! Fierañerañañe abey ty andindìñe ao, vaho engeñe Andindimoneñe ey!
wakisema, 'Ndiye mbarikiwa Mfalme ajaye kwa jina la Bwana! Amani mbinguni, na utukufu juu!'
39 Aa le hoe ty nanoa’ o Fariseo ila’e boak’ amy valobohòkeio: O Talè, endaho o mpiama’oo.
Baadhi ya Mafarisayo katika mkutano wakamwambia, Mwalimu, wanyamazishe wanafunzi wako. '
40 Fe hoe ty natoi’e: Itaroñako t’ie mianjiñe, le o vatoo ty hikoikoike.
Yesu akajibu, akasema, `Nawaambieni, kama hawa wakinyamaza, mawe yatapaza sauti. '
41 Ie nañarine naho nahatalake i rovay, le niroveta’e,
Yesu alipoukaribia mji aliulilia,
42 ami’ty hoe: Aa naho nahafohin-drehe, ndra androany, ty hampanintsiñe azo! f’ie mietak’ am-pihaino’o henaneo.
akisema, laiti ungelijua hata wewe, katika siku hii mambo ambayo yanayokuletea amani! Lakini sasa yamefichika machoni pako.
43 Fa hihavia’ ty andro hampitroara’ o rafelahi’oo fefe-tane hamalavala azo naho hiarikatok’ ama’o, vaho havoeboe’e mb’etia mb’atia.
Kwa kuwa siku zinakuja ambapo adui zako watajenga boma karibu na wewe, na kukuzunguka na kukukandamiza kutoka kila upande.
44 Le hadasi’ iareo an-taneo, ihe naho o keleia’o ama’oo, le tsy hengàñe ama’o ty vato raike ambone’ ty ila’e, amy te tsy nirendre’o ty andro nitilihañ’ azo.
Watakuangusha chini wewe na watoto wako. Hawatakuachia hata jiwe moja juu ya jingine, kwa sababu haukutambua wakati Mungu alipokuwa anajaribu kukuokoa'.
45 Ie nimoak’ an-Toe Masiñ’ ao le nata’e soike o mpanao balikeo naho o mpikaloo
Yesu aliingia Hekaluni, akaanza kuwafukuza wale waliokuwa wakiuza,
46 nanoa’e ty hoe: Inay ty pinatetse: Anjombam-pitalahoañe ty anjombako toy, f’ie nanoe’ areo lakato fietaha’ ty malaso.
akiwaambia, “Imeandikwa, 'Nyumba yangu itakuwa nyumba ya sala,' lakini ninyi mmeifanya kuwa pango la wanyang'anyi”.
47 Ie nañoke boak’ andro añ’ Anjomban’ Añahare ao, le nikilily hañè-doza ama’e o mpisorom-beio naho o mpanoki-dilio vaho o roandriañeo;
Kwa hiyo, Yesu alikuwa akifundisha kila siku hekaluni. Makuhani wakuu na walimu wa Sheria na viongozi wa watu walitaka kumuua,
48 f’ie tsy nahaoniñe ty hanoeñe, fa ama’e iaby ondatio nitsa­tsike o saontsi’eo.
lakini hawakuweza kupata njia ya kufanya hivyo, kwa sababu watu wote walikuwa wakimsikiliza kwa makini.

< Lioka 19 >