< Galatiana 4 >

1 Hoe ty hatovoko: Tsy mifañòva ami’ty ondevo ty mpandova mbe ajaja, ndra t’ie ty tompo’ ze he’e;
Lile nisemalo ni kwamba wakati wote mrithi bado ni mtoto, hana tofauti na mtumwa, ingawa ndiye mmiliki wa mali yote.
2 amy t’ie fehè’ o mpañabeio naho o mpañokeo ampara’ ty andro tinendren-drae’e.
Yeye huwa yuko chini ya uangalizi wa walezi na wadhamini mpaka ufike wakati uliowekwa na baba yake.
3 Itikañe ka, naho mbe ni-ajaja ro nondevoze’ o fañè’ ty voatse toio.
Vivyo hivyo na sisi, tulipokuwa bado watoto wadogo, tulikuwa utumwani chini ya taratibu za kawaida za ulimwengu.
4 Fa naho ni­tsatoke ty fañenefañe i saay, le nahitrin’ Añahare t’i Ana’e, sinama’ ty Rakemba, toly ambane’ Hake,
Lakini ulipowadia utimilifu wa wakati, Mungu alimtuma Mwanawe, ambaye alizaliwa na mwanamke, akazaliwa chini ya sheria,
5 hijebañe o ambane’ Hake aoo, hameloñe an-tika ho anake.
kusudi awakomboe wale waliokuwa chini ya sheria, ili tupate kupokea zile haki kamili za kufanywa watoto wa Mungu.
6 Aa kanao anake, le fa nahitrin’ Añahare añ’arofo’ areo ao t’i Arofo’ i Ana’ey, mikoike: Aba, Rae.
Kwa sababu ninyi ni watoto wa Mungu, Mungu amemtuma Roho wa Mwanawe mioyoni mwetu, anayelia, “Abba, Baba.”
7 Aa le tsy ondevo ka irehe, fa anake; aa kanao anake, le mpandova aman’ Añahare, añamy Norizañey.
Kwa hiyo, wewe si mtumwa tena, bali ni mtoto, kwa kuwa wewe ni mtoto, Mungu amekufanya wewe pia kuwa mrithi kwa kupitia Kristo.
8 Ie taolo, mbe tsy nahafohiñe an’Andrianañahare, naho niondevo’ o toe tsy ndrañahareo;
Zamani, mlipokuwa hammjui Mungu, mlikuwa watumwa wa viumbe ambavyo kwa asili si Mungu.
9 f’ie mahafohiñe an’ Andrianañahare henaneo—toe i Andrianañahare ty maharofoanañe anahareo—aa mañino te tolihe’ areo indraike o fañè maleme naho votroo? Te hiheren-ko ondevo’ irezay indraike v’inahareo?
Lakini sasa kwa kuwa mmemjua Mungu, au zaidi mmejulikana na Mungu, inakuwaje mnarejea tena katika zile kanuni za kwanza zenye udhaifu na upungufu? Mnataka ziwafanye tena watumwa?
10 hañorik’ andro naho volañe naho sa vaho taoñe?
Mnaadhimisha siku maalum, miezi, nyakati na miaka!
11 Imarimarihako he kafoake ty nifanehafako ama’ areo.
Nina hofu juu yenu, kwamba kazi niliyofanya kwa ajili yenu inaweza kuwa nimejitaabisha bure.
12 O ry longo, mihalaly ama’ areo, misoloa ahy, manahake ty nisoloako anahareo—ie tsy nanao raty ahy.
Ndugu zangu, nawasihi mwe kama mimi, kwa sababu mimi nimekuwa kama ninyi. Hamkunitendea jambo lolote baya.
13 Fohi’ areo te an-kasilofan-tsandriñe ty nitaroñako i talili-soay tam-baloha’e.
Ninyi mwajua kwamba ni kwa ajili ya udhaifu wangu niliwahubiria Injili.
14 Le tsy nisirikaeñe naho tsy nampangorì’ areo, i nañembetse ahy amy hasilofan-tsandrikoy, fe nampihovae’ areo hoe t’ie ni-anjelin’ Añahare, toe nanahake Iesoà Norizañey.
Ingawa hali yangu iliwatia majaribuni, hamkunidharau wala kunidhihaki, bali mlinikaribisha kama malaika wa Mungu, kama vile Kristo Yesu.
15 Aia i fañanintsiñe tama’ areoy? Mahavolan-draho naho nimete, te ho napoliti’ areo o fihaino’ areoo vaho natolots’ ahiko.
Ile hali ya furaha mliyokuwa nayo imekwenda wapi? Naweza kushuhudia kwamba, kama ingewezekana mngengʼoa macho yenu na kunipa mimi.
16 Aa vaho rafelahi’ areo hao iraho kanao ivolañako ty hatò?
Je, sasa nimekuwa adui yenu kwa kuwaambia kweli?
17 Malisa mipay anahareo iereo, tsy te hañasoa, fa ty hampiria an-tikañe, hipiteha’ areo ama’e.
Hao wana shauku ya kuwapata lakini si kwa kusudi zuri. Wanachotaka ni kuwatenga mbali nasi, ili ninyi mpate kuwaonea wao shauku.
18 Soa avao te paiañe t’ie hahimbañe nainai’e ho ami’ty hasoa, fa tsy t’ie miatreke avao.
Ni vizuri wakati wote kuwa na shauku kwa ajili ya kusudi zuri, si wakati nikiwa pamoja nanyi tu.
19 Ry anake, hoe mitsongo te hiterake in­draike iraho ampara’ te miforoñe ama’ areo ao i Norizañey.
Watoto wangu wapendwa, ambao kwa mara nyingine ninawaonea utungu, ninatamani kwamba Kristo aumbike ndani yenu.
20 Sinda te ho ama’ areo iraho henaneo hiovà’ ty feoko fa mahasekatse ahy.
Natamani kama ningekuwa pamoja nanyi sasa, pengine ningebadilisha sauti yangu. Kwa maana nina wasiwasi kwa ajili yenu.
21 Mitalilia, ie te ho fehè’ i Hake, ke tsy janji’ areo t’i Hake?
Niambieni, ninyi mnaotaka kuwa chini ya sheria, je, hamjui sheria inavyosema?
22 Toe pinatetse te nanañ’ anake roe t’i Abraàme, teo ty a i ondevo ampelay, teo ty a i rakemba hahay.
Kwa maana imeandikwa kwamba Abrahamu alikuwa na wana wawili, mmoja wa mwanamke mtumwa na wa pili wa mwanamke huru.
23 Naterake amo haondatio i anak’ ondevoy, fe amy nampitamañey i anan-drakemba hahay;
Lakini, mtoto wa mwanamke mtumwa alizaliwa kwa mapenzi ya mwili, na yule mwingine wa mwanamke huru alizaliwa kutokana na ahadi ya Mungu.
24 fandrazañañe ami’ty fañina roe iereo: ty raike hirike am-bohi-Sinaiy miterake fañondevozañe, i Hagara zay.
Mambo haya yanaweza kuchukuliwa kama mfano. Kwa maana hao wanawake wawili ni mfano wa maagano mawili: Agano la kwanza, ni lile lililofanyika katika Mlima Sinai, lizaalo watoto wa utumwa. Hili ndilo huyo Hagari.
25 Vohi-Sinay e Arabia añey t’i Hagara, ie manoiñe ho Ierosaleme henaneo, amy t’ie mitoroñe hoe ondevo miharo amo ana’eo.
Basi Hagari anawakilisha Mlima Sinai ulioko Arabuni, na unafanana na Yerusalemu ya sasa ambayo iko utumwani pamoja na watoto wake.
26 Fe haha t’Ierosaleme ambone ao, ie ty renen-tikañe.
Lakini Yerusalemu wa juu ni huru, nayo ndiye mama yetu.
27 Hoe ty pinatetse: Mirebeha ry betsiterake tsy mahatoly! Mipoñafa an-koiake, ry tsy mitsongoo! Fa maro ty ana’ i bangiy, te amy amam-baliy.
Kwa maana imeandikwa: “Furahi, ewe mwanamke tasa, wewe usiyezaa; paza sauti, na kuimba kwa furaha, wewe usiyepatwa na utungu wa kuzaa; kwa maana watoto wa mwanamke aliyeachwa ukiwa ni wengi kuliko wa mwanamke mwenye mume.”
28 Le manahak’ Isaka, ana’ i fampitamañey, tika ry longo.
Basi, sisi ndugu zangu, ni kama Isaki, tu watoto wa ahadi.
29 F’ie henane zay, nampisoañe’ i naterake amy nofotseiy i amy Arofoy, le ie ka henaneo.
Lakini, kama vile ilivyokuwa siku zile yule aliyezaliwa kwa mwili alivyomchokoza yule aliyezaliwa kwa Roho, ndivyo ilivyo hata sasa.
30 Aa vaho ino ty pinatetse amy Sokitse Masiñey ao? Aitò i ondevo ampelay naho i ana’ey, fa tsy hitrao-dova amy ana’ i rakembaiy ty ana’ i ondevoy.
Lakini Maandiko yasemaje? “Mwondoe mwanamke mtumwa pamoja na mwanawe, kwa sababu mwana wa mwanamke mtumwa kamwe hatarithi pamoja na mwana wa aliye huru.”
31 Ie amy zao ry longo, tsy ana’ i ondevo ampelay tika, fa amy hahay.
Kwa hiyo ndugu zangu, sisi si watoto wa mwanamke mtumwa, bali wa yule aliye huru.

< Galatiana 4 >