< Galatiana 3 >

1 O ry nte-Galate gegeo! Ia ty namoreke anahareo tsy hatokisa’ areo ty hatò? ie añatrefam-pihaino’ areo ty nampalangesañe ty fipehañe Iesoà Norizañey.
Ninyi Wagalatia wajinga! Ni nani aliyewaroga? Yesu Kristo aliwekwa wazi mbele yenu kwamba amesulubiwa.
2 Inao ty teako hatoro’ areo ahiko: Rinambe’ areo ami’ty fimanean-Kake hao i Arofoy? Ke natokisañe i nijanjiñañey?
Nataka nijifunze neno moja kutoka kwenu: Je, mlipokea Roho wa Mungu kwa kushika sheria, au kwa kuyaamini yale mliyosikia?
3 Minè v’inahareoo? Ie namototse amy Arofoy, ho fonireñe amy nofotsey hao henaneo?
Je, ninyi ni wajinga kiasi hicho? Baada ya kuanza kwa Roho, je, sasa mwataka kumalizia katika mwili?
4 Tsy vente’e hao o raha maro nijalea’ areoo, toe tsy jefa’e hao?
Je, mlipata mateso kiasi hicho bure? Ni kama kweli yalikuwa bure!
5 I nanolotse anahareo i Arofoy naho mitolon-draha tsitantane añivo’ areoy; itoloña’e am-pimanean-Kake hao, ke am-patokisañe i jinanjiñey?
Je, Mungu huwapa Roho wake na kufanya miujiza katikati yenu kwa sababu mnatii sheria, au kwa sababu mnaamini kile mlichosikia?
6 Hambañe amy Abraàme; Natokisa’e t’i Andrianañahare vaho vinolili’e ho havañonañe ama’e.
Kama vile “Abrahamu alimwamini Mungu na ikahesabiwa kwake kuwa haki.”
7 Arendreho arè te toe ana’ i Abraàme o amam-patokisañeo.
Fahamuni basi kwamba wale walio na imani, hao ndio watoto wa Abrahamu.
8 Aa kanao nitokie’ o Sokitse Masiñeo te hampivantañen’ Añahare ami’ ty fatokisa’e o kilakila ondatio, le tsinara’e amy Abraàme aolo’ i talili-soay, ty hoe: Ama’o ty hitahiañe ze hene fifeheañe,
Maandiko yakitabiri kwamba Mungu angewahesabia haki watu wa Mataifa kwa imani, alitangulia kumtangazia Abrahamu Injili akisema kwamba, “Kwa kupitia kwako mataifa yote yatabarikiwa.”
9 Aa le mindre tahi­eñe amy Abraàme mpiàtoy o mpiatoo.
Kwa sababu hii, wale wote wanaoamini wanabarikiwa pamoja na Abrahamu, mtu wa imani.
10 Songa nafàtse ze mpimane Hake, fa hoe ty pinatetse: Sindre afàtse ze tsy mitolom-panao ze hene pinatetse amy Boke Hakey.
Kwa maana wote wanaotumainia matendo ya sheria wako chini ya laana, kwa kuwa imeandikwa, “Alaaniwe kila mtu asiyeshikilia kutii mambo yote yaliyoandikwa katika Kitabu cha Sheria.”
11 Malange te tsy ia ty ho vantañe’ i Hake añatrefan’ Anañahare, fa, Veloñe amy fatokisa’ey ty vantañe.
Basi ni dhahiri kwamba hakuna mtu anayehesabiwa haki mbele za Mungu kwa kushikilia sheria, kwa maana, “Mwenye haki ataishi kwa imani.”
12 Tsy fatokisañe ty fimanemanean-dily, fe Iveloma’ ty manao irezay.
Lakini sheria haitegemei imani. Kinyume chake, “Mtu atendaye matendo hayo ataishi kwa hayo.”
13 Jineba’ i Norizañey amy fatse amy Hake aoiy tika, ie nafàtse ho antika, fa hoe ty pinatetse: Fonga afàtse ze aradorado an-katae
Kristo alitukomboa kutoka laana ya sheria kwa kufanyika laana kwa ajili yetu, kwa maana imeandikwa, “Amelaaniwa yeye aangikwaye juu ya mti.”
14 soa te am’ Iesoà Norizañey ty hitotsaha’ ty fitahia’ i Abraàme amo kilakila ‘ndatio, handrambesa’e am-patokisañe i Arofo nitamañey.
Alitukomboa ili kwamba baraka aliyopewa Abrahamu ipate kuwafikia watu wa Mataifa kwa njia ya Kristo Yesu, ili kwa imani tupate kupokea ile ahadi ya Roho.
15 O ry longo, ho razañeko ami’ty fanoe’ ondatio: Ndra t’ie fañina’ ondaty, naho fa najadoñe, le tsy eo ty mamao­paoke aze ndra manovoñe fepetse ama’e;
Ndugu zangu, nataka nitoe mfano kutoka maisha ya kila siku. Kama vile hakuna mtu awezaye kutangua au kuongeza kitu katika agano la mtu ambalo limekwisha kuthibitishwa, vivyo hivyo kwa hali kama hii.
16 ie amy zao, nanoeñe amy Abraàme naho amy tiri’ey o fampitamañeo. Tsy natao ty hoe: Naho amo tiri’eo, hoe t’ie maro, fa ami’ty raike, ami’ty hoe: Naho amy tiri’oy, toe i Norizañey.
Ahadi zilinenwa kwa Abrahamu na kwa mzao wake. Maandiko hayasemi “kwa wazao,” likimaanisha watu wengi, bali “kwa mzao wako,” yaani mtu mmoja, ndiye Kristo.
17 Zao o taroñekoo: Tsy mahafaoke i fañina nititihen’ Añahare hampikoaha’e i fampitamañeiy i Hake nanoeñe efa-jato-tsi-telo-polo taoñe mb’atoiy.
Ninachotaka kusema ni kwamba, sheria, ambayo ilitolewa miaka 430 baadaye, haitangui Agano lililothibitishwa na Mungu ili kuibatilisha ahadi ile.
18 Fa naho miato aman-Kake ty lova, le tsy miato amy fampitamañey, fe fampitamañe ty nanoloran’ Añahare aze amy Abraàme.
Kwa maana kama urithi hupatikana kwa sheria, basi hautegemei tena ahadi, lakini Mungu kwa neema yake alimpa Abrahamu urithi kwa njia ya ahadi.
19 Inoñ’ arè ty asa’ i Hake? Natovoñe ty amo hakeoo, ie norizañe amo anjelio am-pitàm-pañalañalañe ampara’ te nivotrake i Tiry nampitamañey.
Kwa nini basi iwepo sheria? Sheria iliwekwa kwa sababu ya makosa mpaka atakapokuja yule Mzao wa Abrahamu, ambaye alitajwa katika ile ahadi. Sheria iliamriwa na malaika kwa mkono wa mpatanishi.
20 Tsy mañila t’indaty añivo, fe raike t’i Andrianañahare.
Basi mpatanishi huhusisha zaidi ya upande mmoja, lakini Mungu ni mmoja.
21 Aa vaho mifandietse amo fampitamàn’ Añahareo hao t’i Hake? Sondo’e! Fa naho eo ty hake nitolorañe ze ho nahaveloñe, le i hake zay ty ho nahavantañe.
Je basi, sheria inapingana na ahadi za Mungu? La hasha! Kwa maana kama sheria iliyotolewa ingeweza kuwapa watu uzima, basi haki ingepatikana kwa njia ya sheria.
22 Fe kila nagabe’ i Sokitse Masiñey ambanen-kakeo ao, soa te hatolotse amo mahafiatoo i nampitamañey, añamy fatokisa’ Iesoà Norizañeiy.
Lakini Maandiko yamefanya vitu vyote vifungwe chini ya nguvu ya dhambi, ili yale yaliyoahidiwa kwa njia ya imani katika Yesu Kristo yapate kupewa wale wanaoamini.
23 Ie mbe tsy pok’ atoy i fatokisañey, le rinohy ambane’ i Hake tikañe, narindriñ’ ao ampara’ te naboake o fatokisañeo.
Kabla imani hii haijaja tulikuwa tumewekwa chini ya sheria, tumefungwa mpaka ile imani ifunuliwe.
24 Aa le nimpañoke antika homb’ amy Norizañey mb’eo t’i Hake, soa te hivantaña’ i fatokisañey.
Hivyo, sheria ilikuwa kiongozi kutufikisha kwa Kristo, ili tupate kuhesabiwa haki kwa imani.
25 Kanao eo i fatokisañey, le tsy fehè’ i mpañokey ka tika.
Lakini sasa kwa kuwa ile imani imekuja, hatusimamiwi tena na sheria.
26 Songa anan’ Añahare nahareo amy fatokisa-migahi’ Iesoà Norizañeiy,
Kwa maana ninyi nyote mmekuwa watoto wa Mungu katika Kristo Yesu kwa njia ya imani.
27 le inahareo nalipotse amy Norizañey ro misikiñe i Norizañey.
Kwa maana wote mliobatizwa ndani ya Kristo, mmemvaa Kristo.
28 Tsy eo ndra Jiosy ndra Grika, tsy eo ndra ondevo ndra midada, tsy eo ndra lahilahy ndra ampela; amy te hene raike am’ Iesoà Norizañey.
Wala hakuna tena Myahudi au Myunani, mtumwa au mtu huru, mwanaume wala mwanamke, maana nyote mmekuwa wamoja ndani ya Kristo Yesu.
29 Aa ie amy Norizañey, le tarira’ i Abraàme, mpandova ty amy nampitamàñey.
Nanyi mkiwa ni mali ya Kristo, basi ninyi ni wa uzao wa Abrahamu na warithi sawasawa na ile ahadi.

< Galatiana 3 >