< Efesiana 3 >
1 Izay ty maha mpirohi’ Iesoà Norizañey ahy, Paoly, ty ama’ areo kilakila ondatio;
Kwa sababu ya hii mimi, Paulo, ni mfungwa wa Yesu Kristo kwa ajili yenu Mataifa.
2 naho toe jinanji’ areo i famandroñam-palalàn’ Añahare natolots’ ahy ho anahareoy,
Na amini ya kwamba mmesikia juu ya kazi ya neema ya Mungu aliyo nipa kwa ajili yenu.
3 ie nentoeñe le nampahafohineñe i raha mietakey (i sinokiko bòry teoy,
Nawaandikieni kutokana na jinsi ufunuo ulivyo funuliwa kwangu. Huu ni ukweli uliyofichika ambao niliandika kwa kifupi kwenye barua nyingine.
4 ie vakie’ areo, ro mete maharendreke ty nioniko amy mietake amy Norizañeiy),
Usomapo kuhusu haya, utaweza kutambua busara yangu katika ukweli huu uliofichika kuhusu Kristo.
5 ze tsy nampaharendreheñe o ana’ ondatio amo sa ila’eo, manahake ty androrota’ i Arofoy aze henaneo amo Firàhe’e naho mpitoki’e miavakeo,
Kwa vizazi vingine ukweli huu haukufanywa utambulike kwa wana wa watu. Ila kwa sasa umewekwa wazi kwa Roho kwa Mitume waliotengwa na Manabii.
6 t’ie mpitrao-dova naho mpirimboñe amy fañòvay naho mpiharo amy fampitamà’e amy Iesoà Norizañeiy añamy talili-soay o kilakila ondatio.
Ukweli huu uliofichika ni kwamba watu wa Mataifa ni washiriki wenzetu na wajumbe wenzetu wa mwili. Niwashiriki pamoja na ahadi ya Kristo Yesu kupitia injili.
7 i nanoañe ahy mpitoro’ey amy falalàn-kasoan’ Añahare natolotse ahy ami’ty fitoloñan-kaozara’ey,
Na kwa hili nimefanyika mtumishi kwa zawadi ya neema ya Mungu iliyotolewa kwangu kupitia utendaji wa nguvu yake.
8 eka, izaho, tsitso’e amo noro’e iabio, ty nitolorañe ty hitaroñe amo kilakila ondatio ty vara’ i Norizañey tsi-añ’ohatsey,
Mungu alitoa zawadi hii kwangu, japo kuwa mimi ni mtu mdogo wa wote katika wale waliotengwa kwa ajili ya Mungu. Zawadi hii ni kwamba inanipasa kuwatangazia mataifa injili yenye utajiri usiochunguzika wa Kristo.
9 hampalangesañe ty fitraofan-kina mietake, fa nikafitse haehae aman’ Añahare Andrianamboatse ze he’e añamy Iesoa Norizañey; (aiōn )
inanipasa kuwaangazia watu wote juu ya nini ni mpango wa Mungu wa siri. Huu ni mpango ambao ulikuwa umefichwa kwa miaka mingi iliyopita, na Mungu ambaye aliviumba vitu vyote. (aiōn )
10 le o Fivorio ro haharofoana’ o fifeheañe naho haozarañe andindìñeo henaneo, ty haliforan-kihin’ Añahare,
Hii ilikuwa kwamba, kupitia Kanisa, watawala na mamlaka katika sehemu za mbingu wapate kujua pande nyingi za asili ya hekima ya Mungu.
11 i nisafiria’e haehae naho nihenefa’e amy Talèntika Iesoà Norizañeiy, (aiōn )
Haya yangetokea kupitia mpango wa milele ambao aliukamilisha ndani ya Kristo Yesu Bwana wetu. (aiōn )
12 ie naho i figahiña’ey ro hahavanian-tika hañarìne aze am-patokisañe.
Kwa kuwa katika Kristo tuna ujasiri na uwezo wa kuingia kwa ujasiri kwa sababu ya imani yetu kwake.
13 Aa le ihalaliako te tsy ho monjetse amo faloviloviako ho anahareoo, ie toe ho ami’ty enge’areo.
Kwa hiyo nawaomba msikate tamaa kwasababu ya mateso yangu kwa ajili yenu. Haya ni utukufu wenu.
14 Izay ty itongalefako aman-dRae,
Kwa sababu hii napiga magoti kwa Baba.
15 boak' ama'e ty fitokavañe ze hene hasavereñañe andindìñe añe naho an-tane atoy tahinañe,
ambaye kwa yeye kila familia mbinguni na juu ya nchi imeitwa jina.
16 hanolora’e anahareo amo varam-bolonahe’eo ty hafatraran-troke naho haozarañe amy Arofo’ey,
Ninaomba kwamba apate kuwanemesha, kutokana na utajiri wa utukufu wake, awafanye imara kwa nguvu kupitia Roho wake, ambaye yu ndani yenu.
17 le fatokisañe ty hahafimoneña’ i Norizañey añ’arofo’areo ao; ie mivahatse naho mioreñe am-pikokoañe,
Ninaomba kwamba Kristo aishi ndani ya mioyo yenu kupitia imani.
18 hampaharendreha’ areo naho o noro’e iabio, ty ampohe’e naho ty halava’e naho ty halale’e vaho ty haabo’e,
Ninaomba kwamba muwe na shina na msingi wa upendo wake. Muwe katika pendo lake ili muweze kuelewa, pamoja na wote waaminio, jinsi upana, na urefu na kimo na kina cha upendo wa Kristo.
19 hahafohina’ areo i fikokoa’ i Norizañey tsy takam-paharendrehañey soa t’ie ho pèa’ ty haporean’ Añahare.
Ninaomba Kwamba mjue ukuu wa upendo wa Kristo, ambao unazidi ufahamu. Mfanye haya ili mjazwe na ukamilifu wote wa Mungu.
20 Aa. ho amy mahafonitse loho maro te amo ihalaliañe naho itsakorean-tikañeoy, ie mitoloñe aman-tika i haozara’ey,
Na sasa kwake yeye awezaye kufanya kila jambo, zaidi ya yote tuyaombayo au tuyawazayo, kupitia nguvu yake itendayo kazi ndani yetu,
21 ama’e ty engeñe amy Fivoriy naho am’ Iesoà Norizañey ao pak’ an-tariratse tsitso’e, nainai’e donia! Amena. (aiōn )
kwake yeye kuwe utukufu ndani ya kanisa na katika Kristo Yesu kwa vizazi vyote milele na milele. Amina. (aiōn )