< Galatiana 1 >

1 I Paoly, Firàheñe, (tsy nirahe’ ondatio, ndra t’indaty, fa Iesoà Norizañey naho i Andrianañahare Rae nampitroatse aze an-kavilasy)
Mimi ni Paulo mtume. Mimi sio mtume kutoka kwa wanadamu wala kupitia kwa mwanadamu, lakini kupitia kwa Yesu Kristo na Mungu Baba aliyemfufua kutoka kwa wafu.
2 naho o longo amako atoa iabio, Ho amo Fivory e Galate añeo:
Pamoja na ndugu wote na mimi, ninayaandikia makanisa ya Galatia.
3 Hasoa naho Fañanintsiñe boak’ aman’ Añahare Rae naho i Talèntika Iesoà Norizañey,
Neema iwe kwenu na amani itokayo kwa Mungu Baba yetu na Bwana Yesu Kristo,
4 ie nanolo-piaiñe ty amo hakeon-tikañeo, handrombake antika ami’ty sa raty henaneo, ty amy satrin’ Añahare Raen-tikañe; (aiōn g165)
aliyejitoa mwenyewe kwa ajili ya dhambi zetu ili kwamba atukomboe na nyakati hizi za uovu, kutokana na mapenzi ya Mungu wetu na Baba. (aiōn g165)
5 ama’e abey ty engeñe nainai’e donia. Amena (aiōn g165)
Kwake uwe utukufu milele na milele. (aiōn g165)
6 Mahalatsa ahy te nifarie’ areo aniany i nikanjy anahareo mb’amy hasoa’ i Norizañeiy, hitolik’ amy ze o talili-soa ila’e zao,
Ninashangaa kwamba mnageukia haraka kwenye injili nyingine. Ninashangaa kwamba mnageukia mbali kutoka kwake yeye aliyewaita kwa neema ya Kristo.
7 tsy t’ie aman’ ila’e, fe ao ty mitsibore anahareo hañamengoke ty talili-soa’ i Norizañey
Hakuna injili nyingine, lakini kuna baadhi ya watu wanao wasababishieni nyinyi matatizo na kutaka kubadilisha injili ya Kristo.
8 Aa ndra te zahay, ndra te anjely hirik’ andindìñe añe ty mitaroñe ama’ areo ty talily ila’ te amy nitaroñe’aiy, le sira naho molale.
Lakini hata kama ni sisi au malaika kutoka mbinguni atatangaza kwenu injili tofauti na ile tuliyoitangaza kwenu, na alaaniwe.
9 Hambañe amy fivola’ay teoy, le indraeko henaneo, ndra ia t’indaty minday talili-soa ama’ areo mandietse i rinambe’ areoy, le fatra an-tane.
Kama tulivyo sema mwanzoni, na sasa nasema tena, “Kama kuna mtu atawatangazia kwenu injili tofauti na mliyoipokea, na alaaniwe.”
10 Mipay fañisohañe am’on­datio hao iraho henaneo he aman’ Añahare? Ke mipay hahafale ondaty? F’ie te ho nanitra ondaty, le tsy ho ni-fetrek’oro’ i Norizañey.
Kwani sasa hivi ninatafuta uthibitisho wa watu au Mungu? Ninatafuta kuwafurahisha wanadamu? Kama ninaendelea kujaribu kuwafurahisha wanadamu, mimi sio mtumishi wa Kristo.
11 Hampahafohineko anahareo ry longo, te tsy nifototse am’ondaty i talili-soa itaroñakoy.
Ndugu, ninataka ninyi mjue kwamba injili niliyoitangaza haitokani na wanadamu.
12 Tsy rinam­beko ama’ ondaty, naho tsy nanarañ’ ahiko, fa amy namentabentara’ Iesoà Norizañey ahiy.
Sikuipokea kutoka kwa mtu, wala sikufundishwa. Badala yake, ilikuwa ni kwa ufunuo wa Yesu Kristo kwangu.
13 Toe jinanji’areo i fanoeko taolo amo Tehodaoy, te loho nampisoañeko i Fivorin’ Añaharey, naho nimaneako rotsake,
Mmekwisha sikia juu ya maisha yangu ya nyuma katika dini ya Kiyahudi, jinsi nilivyokuwa nikilitesa kwa ukali kanisa la Mungu zaidi ya kipimo na kuliteketeza.
14 vaho nionjoñe amy fitalahoa’ o Jiosioy mandikoatse o longoko maro mpirai-nono amakoo, ie nilozoheko o lilin-droaekoo.
Nilikuwa nimeendelea katika Dini ya Kiyahudi zaidi ya ndugu zangu wengi Wayahudi. Nilikuwa na bidii sana katika tamaduni za baba zangu.
15 Aa kanao ninòn’ Añahare nañambak’ ahy boak’ an-tron-dreneko ao, le nikanjie’e ty amy hasoa’ey,
Lakini Mungu alipendezwa kunichagua mimi kutoka tumboni mwa mama. Aliniita mimi kupitia neema yake
16 hampalangese’e amako i ana’ey, hitaroñako aze amo kilakila’ ondatio; ie henane zay tsy niharoako safiry ty nofotse aman-dio
kumdhihirisha Mwanawe ndani yangu, ili kwamba nimtangaze yeye miongoni mwa watu wa mataifa. Wala sikutafuta ushauri wa mwili na damu
17 naho tsy nionjomb’e Ierosaleme mb’ amo Firàheñe taolokoo mb’eo f’ie nifokofoko mb’ Arabia añe; vaho nimpoly mb’e Damaskose ao.
na sikupanda kwenda Yerusalem kwa wale waliokuwa mitume kabla yangu. Badala yake nilienda Uarabuni na baadae kurudi Damesiki.
18 Ie niritse ty telo taoñe le nionjomb’e Ierosaleme mb’eo hifandrèndreke amy Kefasy, vaho nitoboke ama’e ao folo andro lim’ amby.
Kisha baada ya miaka mitatu nilipanda kwenda Yerusalemu kumtembelea Kefa, nikakaa naye kwa siku kumi na tano.
19 Le tsy nahatrea Firàheñe ila’e iraho naho tsy Iakobe, zai’ i Talè avao.
Lakini sikuona mitume wengine isipokuwa Yakobo, ndungu yake na Bwana.
20 (Aa ty amo sokireko ama’ areoo, le ifantàko añatrefan’ Añahare te tsy mandañitse.)
Tazama, mbele za Mungu, sidanganyi kwa kile niandikacho kwenu.
21 Ie añe, le nimb’am-paripari’ i Sirià naho i Kilkia mb’eo;
Kisha nilikwenda mikoa ya Shamu na Kilikia.
22 ie mb’e namoea’ o Fivory amy Norizañey e Iehodào ty tareheko.
Sikuwa najulikana kwa macho kwa makanisa ya Uyahudi yale yaliyokuwa katika Kristo,
23 Toe jinanji’ iereo avao te, i nampisoañe antika taoloy ro mone mitsey i fatokisañe nimanea’e rotsake heikey.
lakini walikuwa wakisikia tu, “Yeye aliyekuwa akitutesa sasa anatangaza imani aliyokuwa akiiharibu.”
24 Le nandrenge an’ Andrianañahare ty amako.
Walikuwa wakimtukuza Mungu kwa ajili yangu.

< Galatiana 1 >