< Psalmi 23 >

1 Dāvida dziesma. Tas Kungs ir mans gans, man netrūks nenieka.
Zaburi ya Daudi. Bwana ndiye mchungaji wangu, sitapungukiwa na kitu.
2 Viņš man liek ganīties uz zālainām ganībām, Viņš mani vada pie palēna ūdens.
Hunilaza katika malisho ya majani mabichi, kando ya maji matulivu huniongoza,
3 Viņš atspirdzina manu dvēseli, Viņš mani ved uz taisnības ceļiem Sava Vārda dēļ.
hunihuisha nafsi yangu. Huniongoza katika njia za haki kwa ajili ya jina lake.
4 Jebšu es arī staigātu nāves ēnas ielejā, taču ļaunuma nebīstos; jo Tu esi pie manis, Tavs koks(ganu vēzda) un Tavs zizlis mani iepriecina.
Hata kama nikipita katikati ya bonde la uvuli wa mauti, sitaogopa mabaya, kwa maana wewe upo pamoja nami; fimbo yako na mkongojo wako vyanifariji.
5 Tu sataisi manā priekšā galdu pret maniem ienaidniekiem, Tu svaidi manu galvu ar eļļu, mans biķeris ir papilnam pieliets.
Waandaa meza mbele yangu machoni pa adui zangu. Umenipaka mafuta kichwani pangu, kikombe changu kinafurika.
6 Tiešām, labums un žēlastība mani pavadīs visu manu mūžu, un es palikšu Tā Kunga namā vienmēr.
Hakika wema na upendo vitanifuata siku zote za maisha yangu, nami nitakaa nyumbani mwa Bwana milele.

< Psalmi 23 >