< Psalmi 22 >

1 Dāvida dziesma. Dziedātāju vadonim pēc: „rīta blāzmas stirna“. Mans Dievs! Mans Dievs! Kāpēc Tu mani esi atstājis? Tu esi tālu no manas palīdzības, no manas kaukšanas vārdiem.
Kwa mwimbishaji. Mtindo wa utenzi wa “Kulungu wa Alfajiri.” Zaburi ya Daudi. Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha? Kwa nini uko mbali hivyo kuniokoa? Mbali hivyo na maneno ya kuugua kwangu?
2 Mans Dievs, es saucu dienā, bet Tu man neatbildi, un nakti es arī klusu neciešu.
Ee Mungu wangu, ninalia mchana, lakini hunijibu, hata usiku, sinyamazi.
3 Bet Tu esi svēts, dzīvodams starp Israēla slavas dziesmām.
Hata hivyo umesimikwa katika kiti cha enzi kama Uliye Mtakatifu; wewe ni sifa ya Israeli.
4 Uz Tevi mūsu tēvi cerējuši, tie ir cerējuši, un Tu tos esi izglābis.
Kwako wewe baba zetu waliweka tumaini lao, walikutumaini nawe ukawaokoa.
5 Uz Tevi tie saukuši un ir izpestīti, tie cerējuši uz Tevi un nav palikuši kaunā.
Walikulilia wewe na ukawaokoa, walikutegemea wewe nao hawakuaibika.
6 Bet es esmu tārps un ne cilvēks, cilvēku apsmiekls un ļaužu nicināts.
Mimi ni mnyoo wala si mwanadamu, wanaume wamenibeza, na watu wamenidharau.
7 Visi, kas mani redz, mani apmēda, atplēš lūpas un krata galvu sacīdami:
Wote wanionao hunidhihaki, hunivurumishia matusi, wakitikisa vichwa vyao:
8 Viņš to Tam Kungam sūdzējis; lai Tas viņu izrauj un viņu izglābj, ja Tam pie viņa ir labs prāts.
Husema, “Anamtegemea Bwana, basi Bwana na amwokoe. Amkomboe basi, kwa maana anapendezwa naye.”
9 Tomēr Tu tas esi, kas mani izvedis no mātes miesām; Tu man licis paļauties uz Tevi no mātes krūtīm.
Hata hivyo ulinitoa tumboni, ukanifanya nikutegemee, hata nilipokuwa ninanyonya matiti ya mama yangu.
10 Uz Tevi es esmu mests no mātes klēpja, no mātes miesām Tu esi mans Dievs.
Nimekabidhiwa kwako tangu kuzaliwa, toka tumboni mwa mama yangu umekuwa Mungu wangu.
11 Neesi tālu no manis, jo bailība ir tuvu, jo palīga nav.
Usiwe mbali nami, kwa maana shida iko karibu na hakuna wa kunisaidia.
12 Lieli vērši mani apstājuši, trekni buļļi ap mani apmetušies.
Mafahali wengi wamenizunguka, mafahali wa Bashani wenye nguvu wamenizingira.
13 Tie atplēš savu rīkli pret mani kā lauva, plezdams un rūkdams.
Simba wangurumao wanaorarua mawindo yao hupanua vinywa vyao dhidi yangu.
14 Es esmu izgāzts kā ūdens, visi mani kauli ir izlauzti, mana sirds ir manās miesās kā izkausēts vasks.
Nimemiminwa kama maji, mifupa yangu yote imetoka katika viungo vyake. Moyo wangu umegeuka kuwa nta, umeyeyuka ndani yangu.
15 Mans spēks ir izkaltis kā poda gabals, un mana mēle līp pie mana zoda, un Tu mani nolieci nāves pīšļos,
Nguvu zangu zimekauka kama kigae, ulimi wangu umegandamana na kaakaa la kinywa changu, kwa sababu umenilaza katika mavumbi ya kifo.
16 Jo suņi mani apstājuši, un ļaundarītāju bars ap mani ir apmeties, tie manas rokas un manas kājas ir izurbuši.
Mbwa wamenizunguka, kundi la watu waovu limenizingira, wametoboa mikono yangu na miguu yangu.
17 Es visus savus kaulus varu skaitīt, bet viņi skatās un lūko uz mani ar prieku.
Naweza kuhesabu mifupa yangu yote, watu wananikodolea macho na kunisimanga.
18 Tie dala manas drēbes savā starpā un met kauliņus par manu apģērbu.
Wanagawana nguo zangu wao kwa wao, na vazi langu wanalipigia kura.
19 Bet Tu, ak Kungs, neesi tālu, mans stiprums, steidzies man palīgā.
Lakini wewe, Ee Bwana, usiwe mbali. Ee Nguvu yangu, uje haraka unisaidie.
20 Izglāb manu dvēseli no zobena, manu vientuli no suņu varas.
Okoa maisha yangu na upanga, uhai wangu wa thamani kutoka nguvu za mbwa.
21 Izpestī mani no lauvas rīkles un paklausi mani no vēršu ragiem.
Niokoe kutoka kinywani mwa simba, niokoe kutoka pembe za mafahali mwitu.
22 Es sludināšu Tavu vārdu saviem brāļiem, es Tevi slavēšu draudzes vidū.
Nitalitangaza jina lako kwa ndugu zangu, katika kusanyiko nitakusifu wewe.
23 Slavējiet To Kungu, jūs, kas Viņu bīstaties, viss Jēkaba dzimums lai Viņu godā, un bīstaties, viss Israēla dzimums.
Ninyi ambao mnamcha Bwana, msifuni! Ninyi nyote wazao wote wa Yakobo, mheshimuni yeye! Mcheni yeye, ninyi wazao wote wa Israeli!
24 Jo Viņš nav nicinājis nedz apsmējis bēdīga bēdas, nedz no tā apslēpis Savu vaigu, un kad tas Viņu piesauca, tad Viņš paklausīja.
Kwa maana hakupuuza wala kudharau mateso ya aliyeonewa; hakumficha uso wake bali alisikiliza kilio chake ili amsaidie.
25 No Tevis es dziedāšu tai lielā draudzē, es maksāšu savus solījumus to priekšā, kas Viņu bīstas.
Kwako wewe hutoka kiini cha sifa zangu katika kusanyiko kubwa, nitatimiza nadhiri zangu mbele ya wale wakuchao wewe.
26 Tie bēdīgie ēdīs un būs paēduši, un kas To Kungu meklē, Viņu slavēs; jūsu sirds dzīvos mūžīgi.
Maskini watakula na kushiba, wale wamtafutao Bwana watamsifu: mioyo yenu na iishi milele!
27 Visi zemes gali to pieminēs un atgriezīsies pie Tā Kunga, un visas pagānu tautas klanīsies Viņa priekšā.
Miisho yote ya dunia itakumbuka na kumgeukia Bwana, nazo jamaa zote za mataifa watasujudu mbele zake,
28 Jo Tam Kungam pieder tā valstība, un Viņš valda pār tām tautām.
kwa maana ufalme ni wa Bwana naye hutawala juu ya mataifa.
29 Visi treknie virs zemes ēdīs un pielūgs, visi, kas pīšļos guļ, klanīsies Viņa priekšā, arī tie, kas nevarēja uzturēt savu dzīvību.
Matajiri wote wa dunia watasherehekea na kuabudu. Wote waendao mavumbini watapiga magoti mbele yake, wote ambao hawawezi kudumisha uhai wao.
30 Viņam būs dzimums, kas Viņam kalpos, par To Kungu sludinās līdz radu radiem;
Wazao wa baadaye watamtumikia yeye; vizazi vijavyo vitajulishwa habari za Bwana.
31 Nāks un sludinās Viņa taisnību tiem ļaudīm, kas vēl dzims, ka Viņš to ir darījis.
Watatangaza haki yake kwa watu ambao hawajazaliwa bado, kwa maana yeye ametenda hili.

< Psalmi 22 >