< Yakobo 3 >
1 Bhana bhasu, jitalyati abhamfu mwimwe omutula okubha bheigisha, mumenyati echilamila indamu nene.
Ndugu zangu, siyo wengi wenu mnapaswa kuwa walimu, mkijua kwamba tutapokea hukumu kubwa zaidi.
2 Kulwokubha bhona echikaya kwa mbala nyamfu. Labha wonawona atakwikujula mukuloma kwae, oyo ni munu mulengelesi, katula ogutangasha omubhili gwae gwona.
Kwa kuwa wote tunakosea katika njia nyingi. Kama yeyote huwa hajikwai katika maneno yake, huyo ni mtu mkamilifu, aweza kudhibiti mwili wake wote pia.
3 Woli labha echitamo ebhyuma mu farasi muminwa jajo na njichungwa, na echitula okujiindula emibhili jajo jona.
Sasa kama tunaweka lijamu za farasi katika vinywa vyao wanatutii, na tunaweza kuigeuza miili yao yote.
4 Menyati imeli, nolo kutyo ninene eisilwa no muyaga mukali, ejitangashwa no lusukali lutoto muno okuja wona wona anu kenda omugofi.
Tambua pia kwamba meli, ingawa ni kubwa na husukumwa na upepo mkali, zinaongozwa kwa usukani mdogo sana kwenda popote anakotaka nahodha.
5 Kutyo kutyo, olulimi ni chiungo chitoto cho mubhili, nawe echikuisha makulu muno. Lola lisaka linene lwakutyo elyochwa na jinsase ntilu jo mulilo!
Vivyo hivyo, ulimi ni kiungo kidogo cha mwili, lakini hujisifia makuu sana. Angalia msitu mkubwa unavyoweza kuwashwa kwa cheche ndogo ya moto!
6 Olulimi wona ni mulilo, ninsi yo bhunyamke, luteweyo amwi mwe bhiungo bhyo mubhili gweswe, lunu olunyamula mubhili gwona no ogulutula ingulu yo mulilo injila yo bhulame, no lwenene okwochwa nomulilo gwa nyombe. (Geenna )
Ulimi pia ni moto, ni ulimwengu wa uovu, umewekwa miongoni mwa viungo vya mwili wetu, ambao hunajisi mwili wote na huiweka juu ya moto njia ya maisha, na wenyewe kuchomwa moto wa kuzimu. (Geenna )
7 Bhuli nyami ya jintyanyi ja mwipoli, jinyonyi, chinu echikwesa ne chimogwa cha munyanja ebhitulwa no mwana munu.
Kila aina ya mnyama wa polini, ndege, kitambaacho na kiumbe cha baharini kinadhibitiwa na wanadamu.
8 nawe atalio mwana munu nolo umwi unu katula okulutangasha olulimi; nilunyamke lunu lutakuoyelao, lwijuye obhusungu bhwo kwita.
lakini hakuna mwanadamu hata mmoja ambaye anaweza kudhibiti ulimi; ni uovu usiotulia, umejaa sumu ya kufisha.
9 Kwo lulimi echimukuya Latabhugenyi na Lata weswe, na kwolwo echibhafumilisha abhanu bhanu bhamogelwe kwo lususo lwa Nyamuanga.
Kwa ulimi twamtukuza Bwana na Baba yetu, na kwa huo twawalaani watu ambao wameumbwa kwa mfano wa Mungu.
10 Okusoka mukanwa omwo omwo owaika amagambo ge chigongo na gofumilisha. Bhana bhasu amagambo ganu gateile kubha.
Katika kinywa hichohicho husema maneno ya baraka na laana. Ndugu zangu mambo haya hayapaswi kuwa.
11 Angu, lijibha limwi elitula okusosha amanji amanule na masaliji?
Je, kisima kimoja huweza kutoa maji matamu na machungu?
12 Bhana bhasu, Angu, liti lyo mutini elitula okutwasha amatwasho go mujaiituni, nolo omujabhibhu ogutwasha amatwasho go mutini? Nolo omugela gwa manji go munyu gutakusosha manji ganu gatana munyu.
Ndugu zangu, Je, mti wa mtini unaweza kuzaa matunda ya mzeituni, au mzabibu unazaa matunda ya mtini? Wala chemchemi ya maji chumvi haitoi maji yasio na chumvi.
13 Niga umwi mwimwe unu ali mwengeso no kusombokelwa? Omunu oyo oleshe obhulame bhwekisi mumilimu jae kwo kwikeya no bhwengeso.
Ni nani miongoni mwenu aliye na hekima na ufahamu? Hebu mtu huyo na aoneshe maisha mema katika kazi zake kwa unyenyekevu utokanao na hekima.
14 Nawe labha omulola olwiso lwamfu na intungwa yo kwisolola mumioyo jemwe, mtekuya no kwaika olubheyi mulema okwikilisha echimali.
Lakini kama mnao wivu mkali na nia ya ubinafsi mioyoni mwenu, msijivune na kusema uongo mkiupinga ukweli.
15 Bhunu tibhwengeso bhunu bhasokele ingulu, nawe bhunu ni bhwechalo, bhutali bhwa chinyamwoyo, ni bhwa masabhwa.
Hii siyo hekima ile ishukayo kutoka juu, lakini badala yake ni ya kidunia, si ya kiroho, na ni ya kipepo.
16 Kulwokubha anu luliolwiso no bhwisolole bhulio, ilio inyogele na bhuli bhikolwa bhinyamke.
Kwa kuwa palipo na wivu na ubinafsi upo, kuna vurugu na kila matendo maovu
17 Nawe obhwengeso bhunu obhusoka ingulu, okwamba niyakisi, eiya niyenda omulembe, obhwololo no bhufula, inu ijuye echigongo na matwasho gakisi, itakusolola bhanu bhalebhe, ne chimali.
Lakini hekima itokayo juu, kwanza ni safi, kisha kupenda amani, upole na ukarimu, yenye kujaa rehema na matunda mema, bila kupendelea watu fulani, na kweli.
18 Na litwasho lyo bhulengelesi eliyambhwa mu mulembe kubhanu abhakola amagambo go mulembe.
Na tunda la haki hupandwa katika amani kwa wale ambao wanatenda mambo ya amani.