< Abhaebrania 1 >
1 Omwanya gunu gwatulile Nyamuanga alomaga na bhajaji bheswe okulabhila kubhalagi mwanya mwamfu kwa njila nyamfu.
Nyakati zilizopita Mungu alizungumza na mababu zetu kupitia manabii mara nyingi na kwa njia nyingi.
2 Nawe kunsiku jinu chinajo, Nyamuanga kaloma neswe okulabhila ku Mwana, unu amuteewo kubha muli wo mwandu we bhinu bhyona, no kulabhila kumwene amogele echalo. (aiōn )
Lakini katika siku hizi tulizonazo, Mungu ameongea nasi kupitia Mwana, ambaye alimweka kuwa mrithi wa vitu vyote, na ambaye kupitia yeye pia aliumba ulimwengu. (aiōn )
3 Omwana wae ni bhwelu bhwa likushyo lyae, intugwa ya agali ya kasimukiye kaye, unu kagendelesha ebhinu bhyona kwa ligambo lya managa gae. Ejile akumisha echokwesha ebhibhibhi, enyanjile mukubhoko kwe bhulyo kwo bhuinga ingulu eyo.
Mwanawe ni nuru ya utukufu wake, tabia pekee ya asili yake, na anayeendeleza vitu vyote kwa neno la nguvu zake. Baada ya kukamilisha utakaso wa dhambi, aliketi chini mkono wa kulia wa enzi huko juu.
4 Abhee wa nsonga kukila bhamalaika, lwakutyo lwa lisina linu aliye omwandu lililyakisi okukila lisina lyebhwe.
Amekuwa bora kuliko malaika, kama vile jina alilolirithi lilivyo bora zaidi kuliko jina lao.
5 Kulwokubha ni kumalaika ki elabhile okwaikati, “Awe nawe omwana wani, lelo nabha esomwana? “Na lindi, Enibha esemwene kumwene, no mwene kabha mwana wani?”
Kwa maana ni kwa malaika gani aliwahi kusema, “Wewe ni mwanangu, leo nimekuwa baba yako?” Na tena, “Nitakuwa baba kwake, naye atakuwa mwana kwangu?”
6 Nalindi, omwanya gunu Nyamuanga amuletele omwibhulwa wo kwamba muchalo, kaikati,” Bhamalaika bhona bha Nyamuanga nibhusibhusi bhamwifukamile.”
Tena, wakati Mungu alipomleta mzaliwa wa kwanza ulimwenguni, husema, “Malaika wote wa Mungu lazima wamwabudu.”
7 Kubha malaika kaikati,”Omwene unu kakola bhamalaika bhae kubha myoyo, na bhafulubhendi bhae kubha mbesi jamulilo.”
Kuhusu malaika asema, “Yeye ambaye hufanya malaika zake kuwa roho, na watumishi wake kuwa ndimi za moto.”
8 Nawe ingulu yo Mwana kaikati,”Echitebhe chao echaing'oma, Nyamuanga, ni chakakajanende na kajanende. Insimbo yao yo bhukama ni nsimbo yo bhulengelesi. (aiōn )
Lakini kuhusu Mwana husema, “Kiti chako cha enzi, Mungu, ni cha milele na milele. Fimbo ya ufalme wako ni fimbo ya haki. (aiōn )
9 Owenda obhulengelesi no oubhiililwa no bhunyamusi bhwe bhilagilo, kulwejo Nyamuanga, Nyamuanga wao, amakubhambaga amafuta ga likondelewe okukila abhejanyu.”
Umependa haki na kuchukia uvunjaji wa sheria, kwa hiyo Mungu, Mungu wako, amekupaka mafuta ya furaha kuliko wenzako.”
10 Hao kubhwambilo, Latabhugenyi, ateewo omusingi gwe chalo. No lwile nimilimu ja mabhoko gawo.
Hapo mwanzo, Bwana, uliweka msingi wa dunia. Mbingu ni kazi za mikono yako.
11 Bhiliwao, nawe awe uligendelela. Jona jilikota lwa jingubho.
Zitatoweka, lakini wewe utaendelea. Zote zitachakaa kama vazi.
12 Ulijifunya funya lwa likoti, na jiliinduka lwe bhifwalo. Nawe awe ni uliya uliya, ne miyaka jao jitaliwao.”
Utazikunjakunja kama koti, nazo zitabadilika kama vazi. Lakini wewe ni yuleyule, na miaka yako haitakoma.”
13 Nawe ni kumalaika ki unu Nyamuanga aikile mwanya gwona gwona, “Inyanja mukubhoko kwani kwe bhulyo okukinga anu abhasoko bhao kubha chitebhe cha magulu gao”?
Lakini ni kwa malaika yupi Mungu alisema wakati wowote, “Keti mkono wangu wa kulia mpaka nitakapowafanya adui zako kuwa kiti cha miguu yako”?
14 Angu, bhamalaika bhona bhatali mioyo jinu jitumilwe okubhafulubhendela no kubhabhika bhanu bhalilya omwandu gwo kuchungulwa?
Je, malaika wote siyo roho zilizotumwa kuwahudumia na kuwatunza wale watakaourithi wokovu?