< Uromawa 16 >

1 Ma muta shi nan Fibi uhenu uru me una katuma kam kani anyimo udenge unigura ukankiriya.
Napenda kumtambulisha kwenu dada yetu Foibe, mtumishi katika kanisa la Kenkrea.
2 Kaba ni me in tari tirere barki Asere. Una anu tarsa Asere, benki ni me vat anyimo imum me sa ma nyara ahira ashi. Barki me ma benki anu gbardang upata umime.
Naomba mpokeeni katika Bwana ipasavyo watakatifu na kumpa msaada wowote atakaohitaji kutoka kwenu, kwa maana yeye amekuwa msaada kwa watu wengi, mimi nikiwa miongoni mwao.
3 Iso nin Briskila wan Akila, aroni akatuma kam anyimo Ayesu unu bura uru.
Wasalimuni Prisila na Akila, watumishi wenzangu katika Kristo Yesu.
4 Andesa wa nya iriba iweme barki mi daki mi mani cas, in gusa ankoi. Iso vat anu tarsa Asere.
Wao walihatarisha maisha yao kwa ajili yangu; wala si mimi tu ninayewashukuru bali pia makanisa yote ya watu wa Mataifa.
5 Iso anu tarsa Asere atikura ti we me, iso ni Abainitas, desa me mani ma tubi utarsa Asere anyimo ani pin nu Asiya.
Lisalimuni pia kanisa linalokutana nyumbani mwao. Msalimuni rafiki yangu mpendwa Epaineto, aliyekuwa mtu wa kwanza kumwamini Kristo huko Asia.
6 Iso ni Maryamu, desa ma wuzi shi katuma in iriba ka inde.
Msalimuni Maria, aliyefanya kazi kwa bidii kwa ajili yenu.
7 Iso nin Andaranikas nan Yuniyas, anuhenu um aroni sa atirin duru, andesa wa raa anyimo ani dura ni Yesu, har ma wu agizam ukaba Asere.
Wasalimuni Androniko na Yunia, jamaa zangu ambao wamekuwa gerezani pamoja nami. Wao ni maarufu miongoni mwa mitume, nao walikuwa katika Kristo kabla yangu.
8 Iso ni Amfiliyas, unu usum anyimo utarsa Asere.
Msalimuni Ampliato, yeye nimpendaye katika Bwana.
9 Isoni Urbanus uroni ukatuma anyimo utarsa Asere, nan unu su um Istakis.
Msalimuni Urbano, mtendakazi mwenzetu katika Kristo, pamoja na rafiki yangu mpendwa Stakisi.
10 Iso ni Abalis, desa ma hem ime anyimo utarsa Asere, iso ni anu Aristobulus.
Msalimuni Apele aliyejaribiwa na akaithibitisha imani yake katika Kristo. Wasalimuni wote walio nyumbani mwa Aristobulo.
11 Iso ni uhenu um Harudiyan, iso ni andesa wa tarsa Asere anyimo Narkisas.
Msalimuni ndugu yangu Herodioni. Wasalimuni wote walio nyumbani mwa Narkisi walio katika Bwana.
12 Iso ni Tarafina nan Tarafusa, ana akatuma kasere, iso ni Barsisa unu uso, desa ma wuzi katuma in kadure.
Wasalimuni Trifaina na Trifosa, wale wanawake wanaofanya kazi kwa bidii katika Bwana. Msalimuni rafiki yangu mpendwa Persisi, mwanamke mwingine aliyefanya kazi kwa bidii katika Bwana.
13 Iso ni Rufus, desa ma suso nice anyimo utarsa Asere, nan ka a'ino ameme cangi.
Msalimuni Rufo, mteule katika Bwana, pamoja na mama yake, ambaye amekuwa mama kwangu pia.
14 Iso ni Asinkiitas, nan Filiguna, nan Hamisa, nan Baturobas, nan Hamasa, nan nihenu sa wazi nan we.
Wasalimuni Asinkrito, Flegoni, Herme, Patroba, Herma na ndugu wote walio pamoja nao.
15 Iso ni Fililigusa, nan Yuliya, nan Niriyas, nan kuhenu me, nan Ulumfas, vat anu utarsa Asere an desa wazi nan we.
Wasalimuni Filologo, Yulia, Nerea na dada yake, na Olimpa na watakatifu wote walio pamoja nao.
16 Iso ni acece ashi in ni isi nihuma, vat anu tarsa Asere wa iso shi.
Salimianeni ninyi kwa ninyi kwa busu takatifu. Makanisa yote ya Kristo yanawasalimu.
17 Nihenu, ana me inzi unu igizo ushi, tarsa ni seke nan an desa wa hari shi ahira imum me sa ida dungura shi, w adi wu shi i pilliko. Wuna ni piit nan we.
Ndugu zangu, nawasihi mjihadhari na kujiepusha na wale watu waletao matengano na kuweka vikwazo mbele yenu dhidi ya mafundisho mliyojifunza.
18 Barki usasana anu agino me wada tarsa Asere in kadure ba, wa tarsa imum me sa wadi ati puru tiwe tini. Unu kunna tize tima cico ti we me bati wa gamirka ana muriba muhuma.
Kwa maana watu kama hao hawamtumikii Bwana Kristo, bali wanatumikia tamaa zao wenyewe. Kwa kutumia maneno laini na ya kubembeleza, hupotosha mioyo ya watu wajinga.
19 Abanga usheu ushi me, amara kode aba, i ne ini izin ina puru arum barki shi, in nyara shi iwu imumu ihuma iriba ishi me, i cukuno mei mashi ma da zoni anyimo imumu iburi.
Kila mtu amesikia juu ya utii wenu, nami nimejawa na furaha tele kwa ajili yenu. Lakini nataka mwe na hekima katika mambo mema na bila hatia katika mambo maovu.
20 Asere unu nyiza iriba irum madi patilka unu buri ugino me anyimo ati buna tishi me. Asere iriba isheu ma cukuno anyimo ashi me.
Mungu wa amani atamponda Shetani chini ya miguu yenu upesi. Neema ya Bwana wetu Yesu iwe nanyi. Amen.
21 Timoti uroni ukatuma kam, ma iso shi, ane ani Lukiyas nan Yason, nan Susibataras anu henu um.
Timotheo, mtendakazi mwenzangu anawasalimu. Vivyo hivyo Lukio, Yasoni, na Sosipatro, ndugu zangu.
22 Mi Tarfiyas unu nyettike ihori ige me, in iso shi barki Asere.
Mimi, Tertio, niliye mwandishi wa waraka huu, nawasalimu katika Bwana.
23 Gayus una kura am, nan vat anu tarsa Asere, wa iso shi, Arastas unu inso uturunga ti ni pin, nan nuhenu uru Kawartas wa iso shi.
Gayo, ambaye ni mwenyeji wangu na wa kanisa lote, anawasalimu. Erasto, mweka hazina wa mji huu, pamoja na Kwarto ndugu yetu pia wanawasalimu. [
24 Asere iriba isheu ma cukuno ahira ashi me vat. Icukuno ani me.
Neema ya Bwana wetu Yesu Kristo iwe pamoja nanyi nyote. Amen.]
25 Ana me ahira adesa ma bari ma wu shi itonno barki katuma ku boo tize tu Ugomo Asere sa izini, usuro ushe uni abuki imum me sa ya impi datti utuba. (aiōnios g166)
Sasa atukuzwe yeye awezaye kuwafanya ninyi imara kwa Injili yangu na kuhubiriwa kwa Yesu Kristo, kutokana na kufunuliwa siri zilizofichika tangu zamani za kale. (aiōnios g166)
26 Ana me sa a poko ta cukuno arusa tini, adi buu tini ahira anu zatu tarsa Asere, barki unyetike sa wa wuzi wanu dungurka wa Asere unu uzatu ibinani, barki anu zatu tarsa Aserebwa tarsi. (aiōnios g166)
Lakini sasa siri hiyo imefunuliwa na kujulikana kupitia maandiko ya kinabii kutokana na amri ya Mungu wa milele, ili mataifa yote yaweze kumwamini na kumtii (aiōnios g166)
27 Ninonzo ni cukuno ahira Asere sarki ibinani, i cukuno ani me. (aiōn g165)
Mungu aliye pekee, mwenye hekima, ambaye kwa njia ya Yesu Kristo utukufu ni wake milele na milele! Amen. (aiōn g165)

< Uromawa 16 >