< 1 Ukorontiyawa 1 >

1 Usuro me Bulus unige sa Ugomo Asere matiti me barki macukuno vana ukatuma ka Yeso bibe ba Asere nan ni kena uru satanis.
Paulo, niliyeitwa kwa mapenzi ya Mungu kuwa mtume wa Kristo Yesu, na Sosthene ndugu yetu.
2 Uhana anabu anu tarsa Asere sa warani, u korinti, we am de be saa inko we anyimo Yeso Ugomo Asere, anu zatu umadini nande be sa a titawe, vati nande be sa waraa ati hihira wazin biringara anyimo ani za nu Yeso Ugomo Asere uro Ugomo Asere uwe me, Ugomo Asere uro vat.
Kwa kanisa la Mungu lililoko Korintho, kwa wale waliotakaswa katika Kristo Yesu na walioitwa kuwa watakatifu, pamoja na wale wote ambao kila mahali wanaliitia Jina la Kristo Yesu Bwana wetu, aliye Bwana wao na wetu pia:
3 Imum irere nan iruba isheu ya sere ugomo uro Ugomo Asere Yeso bibe bi rere bi cukuno nigo nan shi.
Neema na amani itokayo kwa Mungu Baba yetu na kwa Bwana Yesu Kristo iwe nanyi.
4 In zin shi in ni ruba irom, barki imum irere be sa ma nya shi usuro Ugomo Asere Yeso.
Ninamshukuru Mungu siku zote kwa ajili yenu kwa sababu ya neema yake mliyopewa katika Kristo Yesu.
5 Ani mani atina sasas mawuna shi ukem watu uti ze nanu rusa vat.
Kwa kuwa katika Kristo mmetajirishwa kwa kila hali, katika kusema kwenu na katika maarifa yenu yote,
6 Kasi, sa abezi urusa uru amasaa abanga Ugomo Asere anyimo ashi me.
kwa sababu ushuhuda wetu kumhusu Kristo ulithibitishwa ndani yenu.
7 Baki ane ani daki yadiri ukem iri mum a hira Ugomo Asere irereba, uganiya sa i inso ajeh izinu ni nyarga nu ze u Yeso Ugomo Asere.
Kwa hiyo hamkupungukiwa na karama yoyote ya kiroho wakati mnangoja kwa shauku kudhihirishwa kwa Bwana wetu Yesu Kristo.
8 Ugomo Asere madi kuri manya shiui nikan nu uhana umazame, barki icukuno anuzati una dini aronome sa Ugomo Asere urome Yeso bibe bi rere sa madi zeh.
Atawafanya imara mpaka mwisho, ili msiwe na hatia siku ile ya Bwana wetu Yesu Kristo.
9 Asere unu myinca, memani matiti shi inatta acce nan vanah umeme nan vana umeme Yeso.
Mungu ambaye mmeitwa naye ili mwe na ushirika na Mwanawe Yesu Kristo, Bwana wetu ni mwaminifu.
10 Inzinu tire ushi tari nihenu barki rizani Ugomo Asere Yeso magu, cu tize shi me ti cukuno ti inde, kati iharzino ace-cecce, cu i ori acce ashi me ahira a ide, iruba ishi me inde ugamara utize tishi me u inde.
Nawasihi ndugu zangu, katika Jina la Bwana wetu Yesu Kristo, kwamba mpatane nia zenu ninyi kwa ninyi, ili pasiwepo na matengano katikati yenu na kwamba mwe na umoja kikamilifu katika nia na katika kusudi.
11 Barki anime nihenu, anakura a Kuluwi wabukum inuguna iziti kara acece ashi me.
Ndugu zangu, nimepata habari kutoka kwa baadhi ya watu wa nyumbani mwa Kloe kwamba kuna magomvi katikati yenu.
12 Imum besa ya wuna mabukashi ini me barki, a yeh ashime wazitize sasas unu gusa me ubulus mani, uye unu gusa wa Afollos mani, uye ma gusa me ukefas mani masi uye magusi me ugomo Asere.
Maana yangu ni kwamba: Mmoja wenu husema, “Mimi ni wa Paulo”; mwingine, “Mimi ni wa Apolo”; mwingine, “Mimi ni wa Kefa,” na mwingine, “Mimi ni wa Kristo.”
13 Antani a hara Ugomo Asere sasas nii? Bulus mani ma weé a kotiko me utiti barki shi? Nya azoro shi ini zan ni Bulus mani.
Je, Kristo amegawanyika? Je, Paulo ndiye alisulubishwa kwa ajili yenu? Je, mlibatizwa kwa jina la Paulo?
14 Ma wuna Ugomo Asere aburu arom barki daki ma soro uye anyimo ashi me, kiribus wan Gayus mani ma zoro ces.
Nashukuru kwamba sikumbatiza mtu yeyote isipokuwa Krispo na Gayo.
15 Barki ani mani uye madaki magu a azoro me in nizan num.
Kwa hiyo hakuna mtu yeyote anayeweza kusema kwamba alibatizwa kwa jina langu.
16 Maringi inu guna ana kura Istifanus ma zoro uce, daki makuri in zoro aye ba.
(Naam, niliwabatiza pia watu wa nyumbani mwa Stefana. Lakini zaidi ya hao sijui kama nilimbatiza mtu mwingine yeyote.)
17 Daki Yeso ma tumum guna agi in zorso anu ba magu in wuzi katuma kubezizi anabu tize to ronta indaki inu rosa unububa barki kati adiri urusa ugongo iwono u Yeso sa a kotiko azezere utiti.
Kwa maana Kristo hakunituma ili kubatiza bali kuhubiri Injili; sio kwa maneno ya hekima ya kibinadamu, ili msalaba wa Kristo usije ukakosa nguvu yake.
18 Kadura ku venke tize ti zenze tini ahiran de sa meki unaa iwono, ahira aru haru ande sa aburum duru usuro unaa uzenzeng, niguran ni rere ni bura uni.
Kwa maana ujumbe wa msalaba kwa wale wanaopotea ni upuzi, lakini kwetu sisi tunaookolewa ni nguvu ya Mungu.
19 Barki anyetike anyimo atize ta sere in di curi nigura na de sa wabezi urosa, indi kurzo ana jinjing ula a babba na.
Kwa maana imeandikwa: “Nitaiharibu hekima ya wenye hekima, na kubatilisha akili ya wenye akili.”
20 Anu urusa wara abani? anu bezi utize ti Musa wara bani? an de sa wa bassa uca rusa kodi nyani nan wa ra aba? Ugomo Asere ma bezi urusa wanu rusa ibabbana iniba? (aiōn g165)
Yuko wapi mwenye hekima? Yuko wapi msomi? Yuko wapi mwanafalsafa wa nyakati hizi? Je, Mungu hakufanya hekima ya ulimwengu huu kuwa upumbavu? (aiōn g165)
21 Usuro urusa Ugomo Asere anu uneē wa tāme Ugomo Asere anyimo uzati urusa uwome, usuro ani me, Asere mā zauka makuri ma buri an de sa wa kabi tize ti kudura a hira ameme usuro uguna utize ti me me ti ronta ti ge be sa ahiraa kasi ibabbana ini
Kwa kuwa katika hekima ya Mungu, ulimwengu kwa hekima yake haukumjua yeye, ilimpendeza Mungu kuwaokoa wale walioamini kwa upuzi wa lile neno lililohubiriwa.
22 A Yahudawa wa nyari wa iri iremum a helenawa wakure wa nyari urosa.
Wayahudi wanadai ishara za miujiza na Wayunani wanatafuta hekima.
23 Haru be tizinu bezezi tize ti Ugomo Asere sa ma wee a zesere utiti imum be sa imumu upulko ahira ma Yahudawa mumu ibabbana ini adebesa wa zo we ma yahudawa ba.
Lakini sisi tunamhubiri Kristo aliyesulubiwa: yeye kwa Wayahudi ni kikwazo na kwa Wayunani ni upuzi.
24 Me Ugomo Asere una nikara mani wunu urusa abanga ameme ahira ande sa a titi we, nani we Ayahudawa wani?
Lakini kwa wale ambao Mungu amewaita, Wayahudi na pia Wayunani, Kristo ndiye nguvu ya Mungu na pia hekima ya Mungu.
25 Barki sa Hira imum be sa Ugomo Asere ma wuza gusi ibabba ini, iyenne iteki urosa unobu, imumbesa a bassa nisizziki me nini na sere iteki vat nikara nu nubo.
Kwa maana upumbavu wa Mungu una hekima zaidi kuliko hekima ya wanadamu, nao udhaifu wa Mungu una nguvu kuliko nguvu ya wanadamu.
26 Nihenu rigin uganiya sa matiti shi angilin ini anyimo ashi me, anu wa cing wani wa inta makpanku ma dandang anyimo ashime anyimo awe me cingilin ini wazi ahana ara a dandang.
Ndugu zangu, kumbukeni mlivyokuwa mlipoitwa. Kwa kipimo cha kibinadamu, si wengi wenu mliokuwa na hekima. Si wengi mliokuwa na ushawishi, si wengi mliozaliwa katika jamaa zenye vyeo.
27 Ineni Ugomo Asere maka ma zanka imumbe sa anabu waka wahiri ini kasi ibabba na ini, barki manya anu urusa mu eh Asere ma zawa imum be anu une a wahiri kasi masiziki me ini, barki ma nya una nikara mu eh.
Lakini Mungu alivichagua vitu vipumbavu vya ulimwengu ili awaaibishe wenye hekima, Mungu alivichagua vitu dhaifu vya ulimwengu ili awaaibishe wenye nguvu.
28 Imumbesa unu wa cira izome imum irere ba nani izome ikatuma ba nyani izome iri mumbe sa izo me ikatuma nyani izo me imum izati u ira ine ini Asere ma hira ini irere ini ma busi imum besa wa hiri itekin unu gangang.
Alivichagua vitu vya chini na vinavyodharauliwa vya dunia hii, vitu ambavyo haviko, ili avibatilishe vile vilivyoko,
29 Asere awozi anime barki unobu mani kati magu matiki nikara na sere.
ili mtu yeyote asijisifu mbele zake.
30 Asere ani awu acukumo Ugomo Asere Yeso, Asere a wu bibe basere bicukuno duru unu rusa ahira ameme ani ta kem ukaba wanu ukpijo nan nu bura.
Bali kwa yeye ninyi mmepata kuwa katika Kristo Yesu, aliyefanyika kwetu hekima itokayo kwa Mungu, yaani haki, na utakatifu na ukombozi.
31 Barki ani me vat de be sa tira bigiri ini za nu Ugomo Asere, imum be sa izi cas.
Hivyo, kama ilivyoandikwa: “Yeye ajisifuye na ajisifu katika Bwana.”

< 1 Ukorontiyawa 1 >