< Proverbi 15 >

1 La risposta dolce acqueta il cruccio; Ma la parola molesta fa montar l'ira.
Jawabu la upole huondoa ghadhabu, bali neno la ukatili huchochea hasira.
2 La scienza adorna la lingua de' savi; Ma la bocca degli stolti sgorga follia.
Ulimi wa watu mwenye hekima husifu maarifa, bali kinywa cha wapumbavu humwaga upuuzi.
3 Gli occhi del Signore [sono] in ogni luogo; Riguardando i malvagi ed i buoni.
Macho ya Yehova yapo kila mahali, yakiwatazama juu ya waovu na wema.
4 La medicina della lingua [è] un albero di vita; Ma la sovversione [che avviene] per essa [è simile ad] un fracasso [fatto] dal vento.
Ulimi unaoponya ni mti wa uzima, bali ulimi wa udanganyifu huvunja moyo.
5 Lo stolto disdegna la correzion di suo padre; Ma chi osserva la riprensione diventerà avveduto.
Mpumbavu hudharau marudi ya baba yake, bali yeye anayejifunza kutokana na masahihisho ni mwenye hekima.
6 Nella casa del giusto [vi sono] di gran facoltà; Ma [vi è] dissipazione nell'entrate dell'empio.
Katika nyumba ya wale watendao haki kuna hazina kubwa, bali mapato ya watu waovu huwapa taabu.
7 Le labbra de' savi spandono scienza; Ma non [fa già] così il cuor degli stolti.
Midomo ya wenye hekima husambaza maarifa, bali mioyo ya wapumbavu haifanyi hivyo.
8 Il sacrificio degli empi [è] cosa abbominevole al Signore; Ma l'orazione degli [uomini] diritti gli [è] cosa grata.
Yehova anachukia sadaka za watu waovu, bali maombi ya watu waadilifu ndiyo furaha yake.
9 La via dell'empio [è] cosa abbominevole al Signore; Ma egli ama chi procaccia giustizia.
Yehova anachukia njia ya watu waovu, bali anampenda yule ambaye huandama haki.
10 La correzione [è] spiacevole a chi lascia la [diritta] via; Chi odia la riprensione morrà.
Marudi ya ukatili hungojea kwa yeyote ambaye huiacha njia na yule ambaye huchukia masahihisho atakufa.
11 L'inferno e il luogo della perdizione [son] davanti al Signore; Quanto più i cuori de' figliuoli degli uomini! (Sheol h7585)
Kuzimu na uharibifu vipo wazi mbele za Yehova; je si zaidi sana mioyo ya wana wa wanadamu? (Sheol h7585)
12 Lo schernitore non ama che altri lo riprenda, [E] non va a' savi.
Mwenye mzaha huchukia masahihisho; hatakwenda kwa wenye hekima.
13 Il cuore allegro abbellisce la faccia; Ma per lo cordoglio lo spirito è abbattuto.
Moyo wenye furaha husababisha uchangamfu wa uso, bali huzuni huvunja moyo.
14 Il cuor dell'[uomo] intendente cerca la scienza; Ma la bocca degli stolti si pasce di follia.
Moyo wa mwenye ufahamu hutafuta maarifa, bali kinywa cha wapumbavu hujilisha kwenye upuuzi.
15 Tutti i giorni dell'afflitto [son] cattivi; Ma chi è allegro di cuore [è come in] un convito perpetuo.
Siku zote za watu waliokandamizwa ni taabu, bali moyo wenye furaha unakaramu daima.
16 Meglio [vale] poco col timor del Signore, Che gran tesoro con turbamento.
Bora kitu kidogo pamoja na kumcha Mungu kuliko hazina kubwa pamoja na ghasia.
17 Meglio [vale] un pasto d'erbe, ove [sia] amore, Che di bue ingrassato, ove [sia] odio.
Bora mlo wenye mboga kukiwa na upendo kuliko kuandaliwa ndama aliyenona kwa chuki.
18 L'uomo iracondo muove contese; Ma chi è lento all'ira acqueta le risse.
Mtu mwenye hasira huchochea mabishano, bali mtu ambaye hukawia kukasirika hutuliza ugomvi.
19 La via del pigro [è] come una siepe di spine; Ma la via degli [uomini] diritti [è] elevata.
Mapito ya mtu goigoi ni kama sehemu yenye uwa wa miiba, bali mapito ya mtu mwadilifu ni njia kuu iliyojengwa imara.
20 Il figliuol savio rallegra il padre; Ma l'uomo stolto sprezza sua madre.
Mwana mwenye busara huleta furaha kwa baba yake, bali mtu mpumbavu humdharau mama yake.
21 La follia [è] allegrezza al[l'uomo] scemo di senno; Ma l'uomo intendente cammina dirittamente.
Upuuzi humfurahia mtu ambaye amepungukiwa akili, bali mwenye ufahamu hutembea katika njia nyofu.
22 I disegni son renduti vani dove non [è] consiglio; Ma sono stabili dove [è] moltitudine di consiglieri.
Mipango huharibika ambapo hakuna ushauri, bali washauri wengi wanafanikiwa.
23 L'uomo riceve allegrezza della risposta della sua bocca; E quant'[è] buona una parola [detta] al suo tempo!
Mtu anapata furaha wakati anapotoa jibu la kufaa; je ni zuri kiasi gani neno kwa wakati muafaka!
24 La via della vita [va] in su all'uomo intendente, Per ritrarsi dall'inferno [che è] a basso. (Sheol h7585)
Njia ya uzima huwapeleka juu watu wenye hekima, ili waondoke kutoka chini kuzimu. (Sheol h7585)
25 Il Signore spianta la casa de' superbi; Ma stabilisce il confine della vedova.
Yehova hurarua urithi wa mwenye kiburi, bali huzilinda mali za mjane.
26 I pensieri malvagi [son] cosa abbominevole al Signore; Ma i detti [che gli son] piacevoli [sono] i puri.
Yehova huyachukia mawazo ya watu waovu, bali maneno ya upole ni safi.
27 Chi è dato a cupidigia dissipa la sua casa; Ma chi odia i presenti viverà.
Mporaji huleta shida kwenye familia yake, bali yeye ambaye huchukia rushwa ataishi.
28 Il cuor del giusto medita [ciò che ha] da rispondere; Ma la bocca degli empi sgorga cose malvage.
Moyo wa yule atendaye haki hutafakari kabla ya kujibu, bali kinywa cha watu waovu humwanga ubaya wake wote.
29 Il Signore [è] lontano dagli empi; Ma egli esaudisce l'orazione de' giusti.
Yehova yupo mbali na watu waovu, bali husikia maombi ya wale watendao haki.
30 La luce degli occhi rallegra il cuore; La buona novella ingrassa le ossa.
Nuru ya macho huleta furaha moyoni na habari njema ni afya kwenye mwili.
31 L'orecchio che ascolta la riprensione della vita Dimorerà per mezzo i savi.
Kama utazingatia wakati mtu anapokurekebisha jinsi ya kuishi, utabaki miongoni mwa watu wenye busara.
32 Chi schifa la correzione disdegna l'anima sua; Ma chi ascolta la riprensione acquista senno.
Yeye anayekataa karipio hujidharau mwenyewe, bali yule asikilizaye masahihisho hujipatia ufahamu.
33 Il timor del Signore [è] ammaestramento di sapienza; E l'umiltà [va] davanti alla gloria.
Kumcha Yehova hufundisha hekima na unyenyekevu huja kabla ya heshima.

< Proverbi 15 >