< 1 Cronicas 5 >

1 Dagiti putot a lallaki ni Ruben nga inauna a putot a lalaki ni Israel—ita, ni Ruben ti inauna a putot a lalaki ni Israel, ngem naited ti kalinteganna a kas inauna a putot kadagiti putot a lallaki ni Jose a putot ni Israel gapu ta tinulawan ni Ruben ti papag a pagiddaan ni amana. Isu a saan isuna a nailista kas inauna nga anak.
Wana wa Reubeni mzaliwa wa kwanza wa Israeli (yeye alikuwa mzaliwa wa kwanza, lakini kwa kuwa alikinajisi kitanda cha baba yake, haki zake za mzaliwa wa kwanza walipewa wana wa Yosefu mwana wa Israeli. Hivyo hakuorodheshwa kwenye orodha ya ukoo wao kulingana na haki yake ya kuzaliwa.
2 Ni Juda ti kapipigsaan kadagiti kakabsatna a lallaki, ket mabalin nga agtaud kenkuana ti mangidaulo. Ngem ti kalintegan kas inauna nga anak ket kukua ni Jose—
Na ingawa Yuda alikuwa na nguvu zaidi ya ndugu zake wote, na mtawala alitoka kwake, haki za mzaliwa wa kwanza zilikuwa za Yosefu.)
3 dagiti putot a lallaki ni Ruben, ti inauna a putot ni Israel ket da Hanoc, Pallu, Heznon, ken Carmi.
Wana wa Reubeni mzaliwa wa kwanza wa Israeli walikuwa: Hanoki, Palu, Hesroni na Karmi.
4 Dagitoy dagiti kaputotan ni Joel: Ti putot a lalaki ni Joel ket ni Semaias. Ti putot a lalaki ni Semaias ket ni Gog.
Wazao wa Yoeli walikuwa: Shemaya mwanawe, Gogu mwanawe; Shimei mwanawe,
5 Ti putot a lalaki ni Gog ket ni Simei. Ti putot a lalaki ni Mica ket Reaias. Ti putot a lalaki ni Reaias ket ni Baal.
Mika mwanawe, Reaya mwanawe, Baali mwanawe,
6 Ti putot a lalaki ni Baal ket ni Beeras, nga intugot ni Tiglat Pileser nga ari ti Asiria a kas balud. Ni Beeras ti mangidadaulo iti tribu ni Ruben.
na Beera mwanawe, ambaye Tiglath-Pileseri mfalme wa Ashuru alimchukua kwenda uhamishoni. Beera alikuwa kiongozi wa Wareubeni.
7 Dagiti kakabagian ni Beeras babaen kadagiti pulida ket dagiti sumaganad, a naisurat kadagiti listaan dagiti pakasaritaan ti pamiliada: Ni Jeiel ti inauna, ni Zacarias, ken
Jamaa zao kulingana na koo zao, walioorodheshwa kwa kufuata koo zao kama ifuatavyo: Yeieli aliyekuwa mkuu wao, Zekaria,
8 ni Bela a putot a lalaki ni Azaz a putot a lalaki ni Sema a putot a lalaki ni Joel. Nagnaedda iti Aroer, agingga iti Nebo ken Baal Meon,
Bela mwana wa Azazi, mwana wa Shema, mwana wa Yoeli. Hao waliishi katika eneo kuanzia Aroeri mpaka Nebo na Baal-Meoni.
9 ken agturong iti daya a pangrugian ti let-ang a dumanun iti Karayan Eufrates. Gapu ta adu dagiti bakada iti daga ti Galaad.
Kwa upande wa mashariki walienea hadi pembeni mwa jangwa linaloenea mpaka kwenye Mto Frati, kwa sababu mifugo yao ilikuwa imeongezeka huko Gileadi.
10 Kadagiti al-aldaw ni Saul, rinaut ti tribu ni Ruben dagiti Hagrita ket pinarmekda ida. Nagnaedda kadagiti tolda dagiti Hagrita iti entero a daga iti daya ti Galaad.
Wakati wa utawala wa Mfalme Sauli, walipigana vita dhidi ya Wahagari, wakaanguka kwa mikono yao, kisha wakaishi katika mahema ya Wahagari katika eneo lote la mashariki ya Gileadi.
11 Nagnaed iti asidegda dagiti kamkameng iti tribu ti Gad, iti daga ti Basan agingga iti Saleca.
Wagadi waliishi jirani nao katika nchi ya Bashani, mpaka Saleka.
12 Dagiti mangidadaulo kadakuada ket ni Joel, a pangulo ti puli, ni Safam a pangulo ti sabali a puli, ken ni Janai ken ni Safat idiay Basan.
Yoeli ndiye alikuwa mkuu wao, Shafamu wa pili, na wakafuata Yanai na Shafati, huko Bashani.
13 Dagiti kakabagianda kadagiti familia dagiti ammada, ket da Micael, Mesullam, Seba, Jorai, Jocan, Zia, ken ni Eber—pitoda amin.
Ndugu zao kulingana na koo zao walikuwa saba: Mikaeli, Meshulamu, Sheba, Yorai, Yakani, Zia na Eberi.
14 Dagitoy a nagnagan dagiti tattao ket kaputotan ni Abihail, ket ni Abihail ket putot a lalaki ni Huri. Ni Huri ket putot a lalaki Jaroa. Ni Jaroa ket putot a lalaki ni Galaad. Ni Galaad ket putot a lalaki ni Micael. Ni Micael ket putot a lalaki ni Jesisai. Ni Jesisai ket putot a lalaki ni Jado. Ni Jado ket putot a lalaki ni Buz.
Hawa walikuwa ndio wana wa Abihaili mwana wa Huri, mwana wa Yaroa, mwana wa Gileadi, mwana wa Mikaeli, mwana wa Yeshishai, mwana wa Yahdo, mwana wa Buzi.
15 Ni Ahi ket putot a lalaki ni Abdiel a putot a lalaki ni Guni, ti ulo dagiti pamilia dagiti ammada.
Ahi mwana wa Abdieli, mwana wa Guni, alikuwa ndiye kiongozi wa jamaa yao.
16 Nagnaedda iti Galaad, idiay Basan, kadagiti ilina, ken kadagiti amin a pagpaaraban idiay Saron agingga kadagiti beddengna.
Wagadi waliishi Gileadi, huko Bashani pamoja na vijiji vilivyoizunguka, pia katika nchi yote ya malisho ya Sharoni kote walikoenea.
17 Amin dagitoy ket naisurat kadagiti pakasaritaan ti pamiliada kadagiti al-aldaw ni Jotam nga ari ti Juda ken ni Jeroboam nga ari ti Israel.
Yote haya yaliwekwa katika kumbukumbu za ukoo wao wakati wa utawala wa Yothamu, mfalme wa Yuda na Yeroboamu mfalme wa Israeli.
18 Dagiti Rubenita, dagiti Gadita, ken dagiti kaguddua a tribu ti Manases ket addaan iti uppat a pulo ket uppat a ribu a soldado a nasanay a makigubat, nga agaw-awit kadagiti kalasag, ken kampilan, ken agibiat iti pana.
Wareubeni, Wagadi na nusu ya kabila la Manase walikuwa na watu mashujaa 44,760 waliokuwa wameandaliwa kwa ajili ya vita: watu wenye nguvu, hodari wa kutumia ngao na upanga, mashujaa wa kutumia upinde, waliokuwa tayari kwa ajili ya kazi hiyo.
19 Rinautda dagiti Hagrita, Jetur, Nafis ken Nodab.
Walipigana vita dhidi ya Wahagari, Yeturi, Nafishi na Nodabu.
20 Inawatda ti nasantoan a tulong a maibusor kadakuada. Iti kastoy a wagas, naparmekda dagiti Hagrita ken dagiti amin a kakadduada. Gapu ta immawag dagiti Israelita iti Dios iti paggugubatan, ket sinungbatanna ida, gapu ta nagtalekda kenkuana.
Walisaidiwa katika kupigana nao, Mungu akawatia Wahagari pamoja na wote walioungana nao mikononi mwao, kwa sababu walimlilia Mungu wakati wa vita. Alijibu maombi yao, kwa sababu walimtegemea.
21 Tiniliwda dagiti ayupda, agraman dagiti limapulo a ribu a kamelio, 250, 000 a karnero, dua ribu nga asno, ken 100, 000 a lallaki.
Walitwaa mifugo ya Wahagari: ngamia 50,000, kondoo 250,000, punda 2,000. Pia wakateka watu 100,000,
22 Gapu ta ti Dios ti nakiranget para kadakuada, adu kadagiti kabusorda ti pinapatayda. Nagnaedda iti dagada agingga iti pannakatiliwda a kas balud.
na wengine wengi waliuawa kwa sababu vita vilikuwa ni vya Mungu. Nao waliendelea kuikalia nchi hiyo mpaka wakati wa uhamisho.
23 Nagnaed iti daga ti Basan dagiti kaguddua iti tribu ti Manases agingga iti Baal Hermon ken Senir (isu ti, Bantay Hermon).
Idadi ya nusu ya kabila la Manase walikuwa wengi sana, Wakakaa kuanzia Bashani hadi Baal-Hermoni, yaani mpaka Seniri na mlima Hermoni.
24 Dagitoy dagiti mangidadaulo kadagiti familiada: da Efer, Isi, Eliel, Azriel, Jeremias, Hodavias, ken Jadiel. Napipigsa ken natuturedda a lallaki, nalalatak a lallaki a mangidadaulo kadagiti pamiliada.
Hawa ndio waliokuwa viongozi wa jamaa za kabila hilo: Eferi, Ishi, Elieli, Azrieli, Yeremia, Hodavia na Yahdieli. Walikuwa askari shujaa watu maarufu, viongozi wa jamaa zao.
25 Ngem saanda a napudno iti Dios dagiti kapuonanda. Ngem ketdi nagdaydayawda, kadagiti didiosen dagiti tattao iti daga, a dinadael ti Dios iti sangoananda.
Lakini hawakuwa waaminifu kwa Mungu wa baba zao, nao wakafanya ukahaba kwa miungu ya mataifa, ambayo Mungu alikuwa ameyaangamiza mbele yao.
26 Pinagpungtot ti Dios ti Israel ni Pul nga ari ti Asiria (a maawagan met iti Tiglat Pileser, ari ti Assiria). Innalana a kas balud dagiti Rubenita, Gadita ken ti kaguddua a tribu ti Manases. Impanna ida idiay Hala, Habor, Hara, ken idiay karayan iti Gozan, a nagtalinaedanda agingga iti daytoy nga aldaw.
Kwa hiyo Mungu wa Israeli akaiamsha roho ya Pulu, mfalme wa Ashuru (ambaye pia alijulikana kama Tiglath-Pileseri), ambaye aliwachukua Wareubeni, Wagadi na nusu ya kabila la Manase kwenda uhamishoni. Akawapeleka huko Hala, Habori, Hara na mto Gozani, ambako wamekaa mpaka leo.

< 1 Cronicas 5 >