< 1 Cronicas 4 >

1 Dagiti kaputotan ni Juda ket da Perez, Hezron, Carmi, Hur, ken Sobal.
Wana wa Yuda walikuwa: Peresi, Hesroni, Karmi, Huri na Shobali.
2 Ni Sobal ti ama ni Reayas, Ni Reayas ti ama ni Jahat. Ni Jahat ti ama da Ahumai ken Lahad. Dagitoy dagiti nagtaudan dagiti puli ti Zora.
Reaya mwana wa Shobali akamzaa Yahathi, Yahathi akawazaa Ahumai na Lahadi. Hizi ndizo zilizokuwa koo za Wasorathi.
3 Dagitoy dagiti nagtaudan dagiti puli idiay siudad ti Etam: Ni Jezreel, Isma, ken Idbas. Ti nagan ti kabsatda a babai ket Hazzelelponi.
Hawa ndio waliokuwa wana wa Etamu: Yezreeli, Ishma na Idbashi. Dada yao aliitwa Haselelponi.
4 Ni Penuel ti nagtaudan dagiti puli iti siudad ti Gedor. Ni Ezer ti nagtaudan dagiti puli iti Husa. Dagitoy dagiti kaputotan ni Hur, ti inauna nga anak ni Efrata ken iti nagtaudan ti Betlehem.
Penueli akamzaa Gedori, naye Ezeri akamzaa Husha. Hawa walikuwa wazao wa Huri, mzaliwa wa kwanza wa Efrathi, na baba yake Bethlehemu.
5 Addaan iti dua nga assawa ni Asur nga ama ni Tekoa, isuda Hela ken ni Naara.
Ashuri baba yake Tekoa alikuwa na wake wawili, Hela na Naara.
6 Impasngay ni Naara da Ahuzzam, Heper, Temeni, ken ni Haahastari. Dagitoy dagiti annak a lallaki ni Naara.
Hawa walikuwa wazao wa Naara: Ahuzamu, Heferi, Temeni na Haahashtari.
7 Dagiti annak a lallaki ni Hela ket da Zeret, Izhar, Etnan,
Wana wa Hela walikuwa: Serethi, Sohari, Ethnani,
8 ken Koz, nga ama da Anub ken Zobeba, ken dagiti puli a nagtaud kenni Aharhel a putot a lalaki ni Harum.
na Kosi ambaye aliwazaa Anubi, Sobeba na jamaa zote za Aharheli mwana wa Harumu.
9 Ni Jabez ket ad-adda a mararaem ngem kadagiti kakabsatna. Pinanaganan isuna ti inana iti Jabez. Kinunana, “Gapu ta impasngayko isuna iti kinasaem”
Yabesi aliheshimiwa kuliko ndugu zake. Mama yake alimwita Yabesi, akisema, “Nilimzaa kwa huzuni.”
10 Immawag ni Jabez iti Dios ti Israel ket kinunana, “No laeng koma bendisionannak ken ilawlawam ti masakupak. Ti imam koma iti adda kaniak; iyadayonak iti pakadangrak tapno saanak koma nga agsagaba iti ut-ut!” Ket impaay ti Dios kenkuana ti kararagna.
Yabesi akamlilia Mungu wa Israeli akisema, “Ee Mungu, laiti ungenibariki kweli kweli na kuipanua mipaka yangu! Mkono wako na uwe pamoja nami, uniepushe na uovu ili nisidhurike!” Naye Mungu akamjalia hayo aliyoyaomba.
11 Ni Kelub a kabsat a lalaki ni Sua ti akin-putot kenni Mehir, nga ama ni Eston.
Kelubu, nduguye Shuha, akamzaa Mehiri, naye Mehiri akamzaa Eshtoni.
12 Ni Eston ti ama da Bet Rafa, Paseas, ken Tehinna, a nangirugi iti siudad ti Nahas. Dagitoy dagiti lallaki a nagnanaed idiay Reca.
Eshtoni akawazaa Beth-Rafa, Pasea na Tehina. Tehina alikuwa baba wa Iri-Nahashi. Hawa ndio waliokuwa wazao wa Reka.
13 Dagiti putot a lallaki ni Kenaz ket da Otniel, ken Seraias. Dagiti putot a lallaki ni Otniel ket da Hatat ken Meonotai.
Wana wa Kenazi walikuwa: Othnieli na Seraya. Wana wa Othnieli walikuwa: Hathathi na Meonathai.
14 Ni Meonotai ti ama ni Opras, ket ni Seraias ti ama ni Joab, ti nagtaudan ti Ge Harasim, a dagiti tattaona ket kumikitikit.
Meonathai akamzaa Ofra. Seraya akamzaa Yoabu, baba wa Ge-Harashimu. Liliitwa hivyo kwa sababu watu walioishi humo walikuwa mafundi.
15 Dagiti putot a lallaki ni Caleb a putot ni Jefonne ket da Iru, Ela, ken Naam. Ti putot a lalaki ni Ela ket ni Kenaz.
Kalebu mwana wa Yefune alikuwa na wana watatu: Iru, Ela na Naamu. Naye mwana wa Ela alikuwa: Kenazi.
16 Dagiti putot a lallaki ni Jehallel ket da Zif, Zifa, Tiria, ken Asarel.
Wana wa Yahaleleli walikuwa: Zifu, Zifa, Tiria na Asareli.
Wana wa Ezra walikuwa: Yetheri, Meredi, Eferi na Yaloni. Mmojawapo wa wake zake Meredi aliwazaa: Miriamu, Shamai na Ishba aliyekuwa baba yake Eshtemoa.
18 Dagiti putot a lallaki ni Ezra ket da Jeter, Mered, Efer, ken Jalon. Ti asawa ni Mered a taga Egipto ket impasngayna da Miriam, Sammai, ken ni Isba, nga akin putot kenni Estimoa. Dagitoy dagiti annak a lallaki ni Bitias, a putot a babai ti Faraon nga inasawa ni Mered. Ti Judio nga asawa ni Mered ket impasngayna ni Jered, nga ama ni Gedor; ni Heber, nga ama da Soco; ken ni Jekutiel, nga ama ni Zanoas.
Meredi alikuwa na mke mwingine Myahudi ambaye aliwazaa: Yeredi baba wa Gedori, Heberi baba wa Soko na Yekuthieli baba wa Zanoa. Hawa walikuwa watoto wa Bithia binti Farao, ambaye Meredi alikuwa amemwoa.
19 Kadagiti dua nga annak a lallaki ti asawa ni Hodias, a kabsat a babai ni Naham, ti maysa ti akin-putot kenni Keila a Garmeta. Ti maysa pay ket ni Estemoa a Maacatita.
Wana wa mke wa Hodia aliyekuwa dada yake Nahamu walikuwa: baba yake Keila, Mgarmi na Eshtemoa, Mmaakathi.
20 Dagiti putot a lallaki ni Simon ket da Amnon, Rinna, Ben Hanan, ken Tilon. Dagiti putot a lallaki ni Isi ket da Zohet, ken ni Ben Zohet.
Wana wa Shimoni walikuwa: Amnoni, Rina, Ben-Hanani na Tiloni. Wazao wa Ishi walikuwa: Zohethi na Ben-Zohethi.
21 Dagiti kaputotan ni Sela, a putot a lalaki ni Juda, ket da Er nga ama ni Leca, ni Laadan nga ama ni Maresas ken nagtaudan dagiti puli dagiti agar-aramid kadagiti lino idiay Bet Asbea,
Wana wa Shela, mwana wa Yuda, walikuwa: Eri baba yake Leka, Laada baba yake Maresha na jamaa za wafumaji nguo za kitani safi waliokuwa wakiishi huko Beth-Ashbea,
22 Ni Jokim, dagiti lallaki ti Cozeba, ken da Joas ken Saraf, nga addaan kadagiti sanikua idiay Moab, ngem nagsublida idiay Betlehem. (Daytoy a pakaammo ket manipud kadagiti kadaanan a nakaisuratan.)
Yokimu, watu walioishi Kozeba, Yoashi na Sarafi waliotawala huko Moabu na Yashubi-Lehemu. (Taarifa hizi ni za zamani sana.)
23 Dagiti dadduma kadagitoy a tattao ket isuda dagiti agdamdamili nga agnanaed idiay Netaim ken Gedera ken nagtrabahoda a para iti ari.
Hawa walikuwa wafinyanzi walioishi Netaimu na Gedera; waliishi huko wakimtumikia mfalme.
24 Dagiti kaputotan ni Simeon ket da Nemuel, Jamin, Jarib, Zera, ken Saul.
Wazao wa Simeoni walikuwa: Nemueli, Yamini, Yaribu, Zera na Shauli.
25 Ni Sallum ti putot a lalaki ni Saul, Ni Midsam ti putot a lalaki ni Sallum, ken ni Misma ti putot a lalaki ni Mibsam.
Mwana wa Shauli alikuwa Shalumu, Shalumu akamzaa Mibsamu, na Mibsamu akamzaa Mishma.
26 Dagiti kaputotan ni Misma ket ni Hammuel a putotna a lalaki, ni Zaccur nga apokona, kenni Simei nga apokona iti tumeng.
Wazao wa Mishma walikuwa: Hamueli aliyemzaa Zakuri, Zakuri akamzaa Shimei.
27 Addaan iti sangapulo ket innem a putot a lallaki ni Semei ken innem a putot a babbai. Awan iti adu a putot dagiti kakabsatna a lallaki, isu a saan nga immadu iti kasta unay dagiti pulida a kas kadagiti tattao ti Juda.
Shimei alikuwa na wana kumi na sita, na binti sita, lakini ndugu zake hawakuwa na watoto wengi, hivyo ukoo wao wote haukuwa na watu wengi kama ukoo wa Yuda.
28 Nagnaedda idiay Beerseba, Molada, ken idiay Hazar Sual.
Waliishi Beer-Sheba, Molada, Hasar-Shuali,
29 Nagnaedda met idiay Bilha, Ezem, Tolad,
Bilha, Esemu, Toladi,
30 Betuel, Horma, Ziklag,
Bethueli, Horma, Siklagi,
31 Bet Marcabot, Hazar Susim, Bet Biri, ken Saaraim. Dagitoy dagiti siudadda agingga iti panagturay ni David.
Beth-Markabothi, Hasar-Susimu, Beth-Biri na Shaaraimu. Hii ilikuwa miji yao mpaka wakati wa utawala wa Daudi.
32 Dagiti lima a purpurokda ket ti Etam, Ain, Rimmon, Tocen, ken Asan,
Vijiji vilivyoizunguka vilikuwa Etamu, Aini, Rimoni, Tokeni na Ashani; jumla miji mitano:
33 agraman dagiti adda iti ruar dagiti purpurok agingga iti Baal. Dagitoy dagiti nagnanaedanda, ket indulinda dagiti listaan dagiti kapuonanda.
pamoja na vijiji vyote kuizunguka hii miji hadi huko Baali. Haya yalikuwa makao yao, nao waliweka kumbukumbu ya ukoo wao.
34 Dagiti mangidadaulo ti pulida ket da Mesobab, Jamlec, ni Josas a putot a lalaki ni Amazias,
Meshobabu, Yamleki, Yosha mwana wa Amazia,
35 ni Joel, ni Jehu a putot a lalaki ni Josibias a putot a lalaki ni Seraias a putot a lalaki ni Asiel,
Yoeli, Yehu mwana wa Yoshibia, mwana wa Seraya, mwana wa Asieli.
36 ni Elioenai, Jaakobas, Jeshohaias, Asaias, Adiel, Jesimiel, Benaias,
Pia Elioenai, Yaakoba, Yeshohaya, Asaya, Adieli, Yesimieli, Benaya,
37 ken ni Zisa a putot a lalaki ni Sifi a putot a lalaki ni Allon a putot a lalaki ni Jedaias a putot a lalaki ni Simri a putot a lalaki ni Semaias.
Ziza mwana wa Shifi, mwana wa Aloni, mwana wa Yedaya, mwana wa Shimri, mwana wa Shemaya.
38 Dagitoy a nadakamat a nagnagan ket isuda dagiti mangidadaulo kadagiti pulida, ket immadu iti kasta unay dagiti pulida.
Watu hawa walioorodheshwa hapa juu kwa majina walikuwa viongozi wa koo zao. Jamaa zao ziliongezeka sana,
39 Nagturongda iti asideg ti Gedor, iti daya a paset ti tanap, tapno agsapulda iti pagpaarabanda kadagiti arbanda.
wakaenea mpaka kwenye viunga vya Gedori kuelekea mashariki mwa bonde wakitafuta malisho kwa ajili ya mifugo yao.
40 Nakasarakda iti nawadwad ken nasayaat a pagpaaraban. Nalawa, naulimek, ken natalna ti daga. Dagiti Hamita ti immun-una a nagnaed sadiay.
Huko walipata malisho mengi mazuri, nayo nchi ilikuwa na nafasi kubwa, yenye amani na utulivu. Baadhi ya Wahamu waliishi huko zamani.
41 Dagitoy a nailista iti naganda ket immay kadagiti al-aldaw ni Hezekias nga ari ti Juda, ket rinautda ti pagnanaedan dagiti Hamita ken dagiti Meunita, nga adda met sadiay. Dinadaelda ida a naan-anay ket nagnaedda sadiay gapu ta nakasarakda ti pagpaaraban kadagiti arbanda.
Watu walioorodheshwa majina walikuja katika nchi hiyo wakati wa Hezekia mfalme wa Yuda. Akawashambulia Wahamu katika makao yao pamoja na Wameuni ambao walikuwako huko nao wakawaangamiza kabisa, kama ilivyo dhahiri hadi leo. Kisha wakafanya makazi yao huko kwa sababu kulikuwa na malisho mazuri kwa ajili ya mifugo yao.
42 Napan iti Bantay Seir dagiti limagasut a lallaki manipud iti tribu ni Simeon a kadduada dagiti panguloda, a da Pelatias, Nearias, Refaias, ken Uzzel, dagiti putot a lallaki ni Isi.
Watu wa kabila la wa Simeoni wapatao mia tano, wakiongozwa na Pelatia, Nearia, Refaya na Uzieli wana wa Ishi, wakavamia nchi ya vilima ya Seiri.
43 Pinarmekda dagiti nabatbati pay a nakalibas nga Amalekita, ket agnaedda sadiay agingga iti daytoy nga aldaw.
Wakawaua Waamaleki waliobaki, waliokuwa wamenusurika, nao wanaishi huko hadi leo.

< 1 Cronicas 4 >