< Jób 35 >

1 S megszólalt Elíhú és mondta:
Aidha, Elihu aliendelea kusema,
2 Ezt gondolod-e jognak, erről mondod-e: igazságom Isten előtt,
“Je unadhani hii ni sawa unaposema, 'Haki yangu mbele ya Mungu?
3 hogy azt mondod, mi hasznod van, mit érek el többet, mint vétkemmel?
Kwa kuwa unauliza, 'Inafaa nini kwangu' na 'Ingekuwa nzuri kwangu kama ningekuwa nimetenda dhambi?'
4 Én válaszolok neked szavakkal s barátaidnak veled együtt.
Nitakujibu, wewe pamoja na marafiki zako.
5 Tekints az égre s láss, s nézd a fellegeket, melyek magasabbak nálad!
Tazama juu angani, na ulione; angalia anga, ambalo liko juu sana kuliko wewe.
6 Ha vétkeztél, mit mivelsz ellene, s ha sok a bűntetted, mit teszel neki;
Kama umetenda dhambi, ni madhara gani huwa unayafanya kwa Mungu? Ikiwa makosa yako yameongezeka zaidi, je huwa unafanya nini kwake?
7 ha igazad van, mit adsz neki, vagy mit fogad el kezedből?
Kama wewe ni mwenye haki, unaweza kumpa nini? Je atapokea nini mkononi mwako?
8 A magadféle férfit illeti gonoszságod, és ember fiát igazságod.
Uovu wako waweza kuwaumiza mtu, kama ulivyo wewe ni mtu, na haki yako yaweza kumnufaisha mwana mwingine wa mtu.
9 A sok zsarolás miatt kiáltanak, panaszkodnak sokaknak a karja miatt;
Watu wanalia kwasababu ya matendo mengi ya unyanyasaji; wanaomba msaada katika mikono ya watu wenye nguvu.
10 de nem mondják, hol van Isten, teremtőm, a ki adja, hogy énekre keljek éjjel,
Lakini hakuna hata mmoja asemaye, ' Mungu Muumba wangu yuko wapi, ambaye hutoa nyimbo wakati wa usiku,
11 a ki oktat minket a föld barmai által, s az ég madarai által bölcsekké tesz.
ambaye hutufundisha sisi zaidi anavyowafundisha wanyama wa dunia, na ambaye hutufanya sisi kuwa wenye hekima kuliko ndege wa angani?
12 Akkor kiáltanak, de nem felel, a rosszak gőgje miatt.
Huko wanalia, lakini Mungu hawajibu kwasababu ya kibriu ya watu waovu.
13 Bizony, hamisságot nem hall az Isten, s a Mindenható nem látja meg;
Kwa hakika Mungu hatasikia kilio cha kipumbavu; Mwenye nguvu wala hatajali.
14 hát még midőn mondod, hogy nem látod Őt, előtte van az ügy és to vársz reá.
Ni kwa namna gani atakujibu ikiwa unasema haumwoni, na ya kwamba hoja yako iko mbele yake, na ya kuwa unamngojea yeye!
15 És most azzal, hogy: semmiért büntetett haragja és nem nagyon tudott bűntettről –
Ni kwa jinsi gani atakujibu kama unasema kwamba hamwadhibu yeyote kwa hasira, na ya kwamba hajishughulishi na kiburi cha watu.
16 Jób hiábavalóságra nyitja meg a száját, tudás nélkül szaporít szavakat.
Basi Ayubu hufumbua kinywa chake tu ili kusema upumbavu; huongeza maneno bila maarifa.”

< Jób 35 >