< एज्रा 2 >
1 इस प्रदेश के लोग, जो बाबेल के राजा नबूकदनेज्ज़र द्वारा बंधुआई में ले जाए गए थे और जो बंधुआई से यहूदिया और येरूशलेम, अपने-अपने नगर को लौट आए थे, वे इस प्रकार है
Hawa ndio watu katika jimbo waliochukuliwa mateka na kwenda na mfalme Nebukadneza, yeye aliwachukua utumwani Babeli, watu wakarudi katika miji yao ya Yerusalem na Yuda.
2 ये वे हैं, जो ज़ेरुब्बाबेल के साथ आए थे: येशुआ, नेहेमियाह, सेराइयाह, रीलाइयाह, मोरदकय, बिलषान, मिसपार, बिगवाई, रेहुम और बाअनाह. इस्राएली प्रजा के पुरुषों की संख्या अपने-अपने कुलों के अनुसार निम्न लिखित है:
Walikuja pamoja na Zerubabeli, Yoshua, Nehemia, Seraya, Reelaya, Mordekai, Bilshani, Mispari., Bigwai, Rehumu, na Baana. Hii ndio idadi ya wanaume ya watu wa Israeli.
6 पाहाथ-मोआब के वंशजों में से येशुआ एवं योआब के वंशज 2,812
Wana wa Path-Moabu, kupitia Yeshua na Yoabu: 2, 812.
16 हिज़किय्याह की ओर से अतेर के वंशज 98
Wana wa Ateri kupitia Hezekiah: tisini na nane.
Wanaume wa Gibeoni: Tisini na tano.
21 बेथलेहेम के निवासी 123
Wanaume wa Bethlehemu: 123.
Wanaume wa Netofa: Hamsini na sita.
Wanaume wa Anathothi: 128.
Wanaume wa Beth-Azmawethi: Arobaini na mbili.
25 किरयथ-यआरीम के कफीराह तथा बएरोथ के निवासी 743
Wanaume wa Kiriath-Yearimu, na Kefira, na Beerothi: Mia saba arobaini na tatu.
26 रामाह तथा गेबा के निवासी 621
Wanaume wa Rama na Geba: 621.
Wanaume wa Mikmashi: 122.
28 बेथेल तथा अय के निवासी 223
Wanaume wa Betheli, na Ai: 223.
Wanaume wa Nebo: Hamsini na mbili.
Wanaume wa Magbishi: 156.
31 उस अन्य एलाम के वंशज 1,254
Wanaume wengine wa Elamu: 1, 254.
nne. Wanaume wa Harimu: 320.
Wanaume wa Lodi, na Hadidi, na Ono: 725.
Wanaume wa Senaa: 3, 630.
36 पुरोहित: येशुआ के परिवार से येदाइयाह के वंशज 973
Wana wa Yedaya kuhani wa nyumba ya Yoshua: 973.
40 लेवी: होदवियाह के वंशजों में से कदमिएल तथा येशुआ, होदवियाह के वंशज 74
Walawi: Wana wa Yeshua, na Kadmieli, wana wa Hodavia: Sabini na
nne. Waimbaji hekaluni wana wa Asafu: 128.
42 द्वारपाल: शल्लूम, अतेर, तालमोन, अक्कूब, हतिता और शेबाई 139
Walinzi: wana wa Shalumu, Ateri na, Talmoni, Akubu, Hatita na Shobai: 139 jumla.
43 मंदिर सेवक इनके वंशज थे: ज़ीहा, हासुफ़ा, तब्बओथ,
Wale walichaguliwa kuhudumu ndani ya Hekalu: wana wa Siha, Hasufa, Tabaothi:
45 लेबानाह, हागाबाह, अक्कूब,
Lebana, Hagaba, Akubu,
47 गिद्देल, गाहर, रेआइयाह,
Wana wa Gideli, Gahari, Reaya,
48 रेज़िन, नेकोदा, गज्ज़ाम,
Resini, Nekoda, Gazamu,
50 आसनाह, मिऊनी, नेफिसिम,
Asna, Meunimu, Nefusimu:
Wana wa Bakbuki, Hakufa, Harhuri:
52 बाज़लुथ, मेहिदा, हरषा,
Basluthi, Mehida, Barsha:
55 शलोमोन के सेवकों के वंशज: हसोफेरेथ, पेरुदा, सोताई,
Wana wa watumishi wa Selemani: Wana wa Sotai, Soferethi, Peruda,
56 याला, दारकोन, गिद्देल,
Yaala, Darkoni, Gideli,
57 शेपाथियाह, हत्तील, पोचेरेथ-हज्ज़ेबाइम, आमि.
Shefatia, Hatili, Pokereth-Sebaimu, Amoni,
58 मंदिर के सेवक और शलोमोन के सेवकों की कुल गिनती: 392
Walikuwa jumla ya watumishi mia tatu tisini na mbili waliochaguliwa kutumika katika Hekalu pamoja na wana wa watumishi wa Selemani.
59 ये वे हैं, जो तेल-मेलाह, तेल-हरषा, करूब, अद्दान तथा इम्मर से आए, तथा इनके पास अपनी वंशावली के सबूत नहीं थे, कि वे इस्राएल के वंशज थे भी या नहीं:
Wale ambao walitoka Tel-mela, Tel-harsha, Kerubu, Adani, na Imeri, Lakini hawakuweza kuthibitisha kizazi chao kilitoka Israeli-
60 देलाइयाह के वंशज, तोबियाह के वंशज तथा नेकोदा के वंशज 652
pamoja na mia sita hamsini na mbili wana wa Delaya, Tobia na Nekoda.
61 पुरोहितों में: होबाइयाह के वंशज, हक्कोज़ के वंशज तथा बारज़िल्लाई, जिसने गिलआदवासी बारज़िल्लाई की पुत्रियों में से एक के साथ विवाह किया था और उसने उन्हीं का नाम रख लिया.
Vilevile, kutoka kwa wana wa kuhani: Wana wa Habaya, Hakosi, Barzilai (ambaye alipata mke kutoka kwa binti ya Barzilai, Mgileadi na akaitwa kwa jina lao)
62 इन्होंने अपने पुरखों के पंजीकरण की खोज की, किंतु इन्हें सच्चाई मालूम न हो सकी; तब इन्हें सांस्कृतिक रूप से अपवित्र माना गया तथा इन्हें पुरोहित जवाबदारी से दूर रखा गया.
Walitafuta kumbukumbu ya kizazi chao, lakini haikupatikana, hivyo wakaondolewa kwenye ukuhani kama wasiosafi.
63 अधिपति ने उन्हें आदेश दिया कि वे उस समय तक अति पवित्र भोजन न खाएं, जब तक वहां कोई ऐसा पुरोहित न हो, जो उरीम तथा थुम्मिन से सलाह न ले लें.
Hivyo kiongozi akawakataza wasile kitu chochote kitakatifu kilichotakaswa mpaka kuhani mwenye Urimu na Thumimu athibitishe.
64 सारी सभा की पूरी संख्या हुई 42,360.
Jumla ya kundi 42, 360,
65 इनके अलावा 7,337 दास-दासियां तथा 200 गायक-गायिकाएं भी थी.
ukiondoa watumishi na wasaidizi (wao walikuwa 7, 337) waimbaji Hekaluni wanaume na wanawake (mia mbili)
66 उनके 736 घोड़े, 245 खच्चर,
Farasi wao: 736, Nyumbu wao: 245.
67 435 ऊंट तथा 6,720 गधे थे.
Ngamia wao: 435. Punda wao: 6, 720.
68 कुलों के कुछ प्रधान जब येरूशलेम में याहवेह के भवन में पहुंचे, उन्होंने अपनी इच्छा के अनुसार परमेश्वर के भवन को उसी नींव पर दोबारा बनाने के लिए दान दिया.
Walipokwenda kwenye nyumba ya Yahwe Yerusalem, wakuu wa mababa walijitoa kwa hiari kujenga nyumba.
69 उन्होंने अपनी-अपनी क्षमता के अनुसार इस काम के लिए 61,000 सोने के सिक्के, 5,000 चांदी के सिक्के तथा 100 पुरोहित वस्त्र खजाने में जमा करा दिए.
Walitoa kadiri ya uwezo wao katika kufadhili kazi: Dhahabu za darkoni sitini na moja elfu, mane za fedha elfi tano na mavazi mia moja ya makuhani.
70 इस समय पुरोहित, लेवी, द्वारपाल, गायक, कुछ सामान्य प्रजाजन, मंदिर के सेवक, जो सभी इस्राएल वंशज ही थे, अपने-अपने नगरों में रहने लगे. पूरा इस्राएल अपने-अपने नगर में बस चुका था.
Basi makuhani na walawi, watu, waimbaji hekaluni, na walinzi wa getini, na wale waliochaguliwa kutumika katika Hekalu walikaa katika miji yao. Watu wote katika Israel walikuwa katika miji yao.