< एज्रा 2 >
1 इस प्रदेश के लोग, जो बाबेल के राजा नबूकदनेज्ज़र द्वारा बंधुआई में ले जाए गए थे और जो बंधुआई से यहूदिया और येरूशलेम, अपने-अपने नगर को लौट आए थे, वे इस प्रकार है
Basi hawa ndio watu wa jimbo waliotoka uhamishoni, ambao Nebukadneza mfalme wa Babeli alikuwa amewachukua mateka hadi Babeli (walirudi Yerusalemu na Yuda, kila mmoja kwenye mji wake,
2 ये वे हैं, जो ज़ेरुब्बाबेल के साथ आए थे: येशुआ, नेहेमियाह, सेराइयाह, रीलाइयाह, मोरदकय, बिलषान, मिसपार, बिगवाई, रेहुम और बाअनाह. इस्राएली प्रजा के पुरुषों की संख्या अपने-अपने कुलों के अनुसार निम्न लिखित है:
wakiwa wamefuatana na Zerubabeli, Yeshua, Nehemia, Seraya, Reelaya, Mordekai, Bilshani, Mispari, Bigwai, Rehumu na Baana): Orodha ya wanaume kati ya watu wa Israeli ilikuwa:
6 पाहाथ-मोआब के वंशजों में से येशुआ एवं योआब के वंशज 2,812
wazao wa Pahath-Moabu (wa jamaa ya Yeshua na Yoabu) 2,812
16 हिज़किय्याह की ओर से अतेर के वंशज 98
wazao wa Ateri (kupitia Hezekia) 98
21 बेथलेहेम के निवासी 123
watu wa Bethlehemu 123
25 किरयथ-यआरीम के कफीराह तथा बएरोथ के निवासी 743
wazao wa Kiriath-Yearimu, Kefira na Beerothi 743
26 रामाह तथा गेबा के निवासी 621
wazao wa Rama na Geba 621
28 बेथेल तथा अय के निवासी 223
watu wa Betheli na Ai 223
31 उस अन्य एलाम के वंशज 1,254
wazao wa Elamu ile ingine 1,254
wazao wa Lodi, Hadidi na Ono 725
36 पुरोहित: येशुआ के परिवार से येदाइयाह के वंशज 973
Makuhani: wazao wa Yedaya (kwa jamaa ya Yeshua) 973
40 लेवी: होदवियाह के वंशजों में से कदमिएल तथा येशुआ, होदवियाह के वंशज 74
Walawi: wazao wa Yeshua na Kadmieli (kupitia jamaa ya Hodavia) 74
Waimbaji: wazao wa Asafu 128
42 द्वारपाल: शल्लूम, अतेर, तालमोन, अक्कूब, हतिता और शेबाई 139
Mabawabu wa lango la Hekalu: wazao wa Shalumu, Ateri, Talmoni, Akubu, Hatita na Shobai 139
43 मंदिर सेवक इनके वंशज थे: ज़ीहा, हासुफ़ा, तब्बओथ,
Watumishi wa Hekalu: wazao wa Siha, Hasufa, Tabaothi,
wazao wa Kerosi, Siaha, Padoni,
45 लेबानाह, हागाबाह, अक्कूब,
wazao wa Lebana, Hagaba, Akubu,
wazao wa Hagabu, Shalmai, Hanani,
47 गिद्देल, गाहर, रेआइयाह,
wazao wa Gideli, Gahari, Reaya,
48 रेज़िन, नेकोदा, गज्ज़ाम,
wazao wa Resini, Nekoda, Gazamu,
wazao wa Uza, Pasea, Besai,
50 आसनाह, मिऊनी, नेफिसिम,
wazao wa Asna, Meunimu, Nefusimu,
wazao wa Bakbuki, Hakufa, Harhuri,
52 बाज़लुथ, मेहिदा, हरषा,
wazao wa Basluthi, Mehida, Harsha,
wazao wa Barkosi, Sisera, Tema,
wazao wa Nesia na Hatifa.
55 शलोमोन के सेवकों के वंशज: हसोफेरेथ, पेरुदा, सोताई,
Wazao wa watumishi wa Solomoni: wazao wa Sotai, Hasaferethi, Peruda,
56 याला, दारकोन, गिद्देल,
wazao wa Yaala, Darkoni, Gideli,
57 शेपाथियाह, हत्तील, पोचेरेथ-हज्ज़ेबाइम, आमि.
wazao wa Shefatia, Hatili, Pokereth-Hasebaimu na Ami.
58 मंदिर के सेवक और शलोमोन के सेवकों की कुल गिनती: 392
Watumishi wa Hekalu wote na wazao wa watumishi wa Solomoni 392
59 ये वे हैं, जो तेल-मेलाह, तेल-हरषा, करूब, अद्दान तथा इम्मर से आए, तथा इनके पास अपनी वंशावली के सबूत नहीं थे, कि वे इस्राएल के वंशज थे भी या नहीं:
Wafuatao walikuja kutoka miji ya Tel-Mela, Tel-Harsha, Kerubu, Adoni na Imeri, lakini hawakuweza kuthibitisha kwamba jamaa zao zilikuwa uzao wa Israeli:
60 देलाइयाह के वंशज, तोबियाह के वंशज तथा नेकोदा के वंशज 652
wazao wa Delaya, Tobia na Nekoda 652
61 पुरोहितों में: होबाइयाह के वंशज, हक्कोज़ के वंशज तथा बारज़िल्लाई, जिसने गिलआदवासी बारज़िल्लाई की पुत्रियों में से एक के साथ विवाह किया था और उसने उन्हीं का नाम रख लिया.
Kutoka miongoni mwa makuhani: Wazao wa Hobaya, Hakosi, Barzilai (mtu aliyekuwa amemwoa binti wa Barzilai, Mgileadi, naye akaitwa kwa jina hilo).
62 इन्होंने अपने पुरखों के पंजीकरण की खोज की, किंतु इन्हें सच्चाई मालूम न हो सकी; तब इन्हें सांस्कृतिक रूप से अपवित्र माना गया तथा इन्हें पुरोहित जवाबदारी से दूर रखा गया.
Hawa walitafuta orodha za jamaa zao, lakini hawakuonekana humo, kwa hiyo waliondolewa kutoka kundi la makuhani kwa kuwa walihesabiwa kuwa najisi.
63 अधिपति ने उन्हें आदेश दिया कि वे उस समय तक अति पवित्र भोजन न खाएं, जब तक वहां कोई ऐसा पुरोहित न हो, जो उरीम तथा थुम्मिन से सलाह न ले लें.
Mtawala aliagiza kuwa wasile chochote miongoni mwa vyakula vitakatifu hadi kuwe kuhani atakayehudumu kwa Urimu na Thumimu.
64 सारी सभा की पूरी संख्या हुई 42,360.
Jumla ya watu wote waliorudi walikuwa 42,360;
65 इनके अलावा 7,337 दास-दासियां तथा 200 गायक-गायिकाएं भी थी.
tena zaidi ya hao walikuwepo watumishi wa kiume na wa kike 7,337; pia walikuwamo waimbaji wanaume na wanawake 200.
66 उनके 736 घोड़े, 245 खच्चर,
Walikuwa na farasi 736, nyumbu 245,
67 435 ऊंट तथा 6,720 गधे थे.
ngamia 435 na punda 6,720.
68 कुलों के कुछ प्रधान जब येरूशलेम में याहवेह के भवन में पहुंचे, उन्होंने अपनी इच्छा के अनुसार परमेश्वर के भवन को उसी नींव पर दोबारा बनाने के लिए दान दिया.
Walipofika kwenye nyumba ya Bwana huko Yerusalemu, baadhi ya viongozi wa jamaa walitoa sadaka za hiari kwa ajili ya kujenga upya nyumba ya Mungu katika eneo lake.
69 उन्होंने अपनी-अपनी क्षमता के अनुसार इस काम के लिए 61,000 सोने के सिक्के, 5,000 चांदी के सिक्के तथा 100 पुरोहित वस्त्र खजाने में जमा करा दिए.
Wakatoa kwa kadiri ya uwezo wao na kutia katika hazina darkoni 61,000 za dhahabu, mane 5,000 za fedha, na mavazi 100 ya ukuhani kwa ajili ya kazi hiyo.
70 इस समय पुरोहित, लेवी, द्वारपाल, गायक, कुछ सामान्य प्रजाजन, मंदिर के सेवक, जो सभी इस्राएल वंशज ही थे, अपने-अपने नगरों में रहने लगे. पूरा इस्राएल अपने-अपने नगर में बस चुका था.
Makuhani, Walawi, waimbaji, mabawabu, na watumishi wa Hekalu waliishi katika miji yao wenyewe, pamoja na baadhi ya watu wengine, nao Waisraeli waliosalia waliishi katika miji yao.