< Jérémie 47 >

1 Parole du Seigneur qui fut adressée à Jérémie, le prophète, contre les Philistins, avant que Pharaon attaquât Gaza.
Hili ndilo neno la Bwana lililomjia nabii Yeremia kuhusu Wafilisti, kabla Farao hajaishambulia Gaza:
2 Voici ce que dit le Seigneur: Voilà que les eaux montent de l’aquilon, et qu’elles seront comme un torrent qui inonde, et qu’elles couvriront la terre et sa plénitude, et la ville et ses habitants; les hommes crieront, et tous les habitants de la terre pousseront des hurlements,
Hili ndilo asemalo Bwana: “Tazama jinsi maji yanavyoinuka huko kaskazini, yatakuwa mafuriko yenye nguvu sana. Yataifurikia nchi na vitu vyote vilivyomo ndani yake, miji na wale waishio ndani yake. Watu watapiga kelele; wote waishio katika nchi wataomboleza
3 À cause du bruit pompeux de ses armes et de ses hommes de guerre, à cause de l’ébranlement de ses quadriges et de la multitude de ses roues. Les pères n’ont pas regardé les fils, leurs mains s’étant affaiblies
kwa sauti ya kwato za farasi waendao mbio, kwa sauti ya magari ya adui na mngurumo wa magurudumu yake. Baba hawatageuka kuwasaidia watoto wao, mikono yao italegea.
4 À la venue du jour auquel tous les Philistins seront dévastés, Tyr et Sidon seront dissipées avec tout ce qui est resté de leur secours; car le Seigneur a ravagé les Philistins et les restes de l’île de Cappadoce.
Kwa maana siku imewadia kuwaangamiza Wafilisti wote na kuwakatilia mbali walionusurika wote ambao wangeweza kusaidia Tiro na Sidoni. Bwana anakaribia kuwaangamiza Wafilisti, mabaki toka pwani za Kaftori.
5 Gaza est devenue chauve, Ascalon s’est tué, ainsi que les restes de leur vallée; jusques à quand te feras-tu des incisions?
Gaza atanyoa kichwa chake katika kuomboleza, Ashkeloni atanyamazishwa. Enyi mabaki kwenye tambarare, mtajikatakata wenyewe mpaka lini?
6 Ô épée du Seigneur, jusques à quand ne te reposeras-tu point? Rentre en ton fourreau, refroidis-toi, et reste tranquille.
“Mnalia, ‘Aa, upanga wa Bwana, utaendelea mpaka lini ndipo upumzike? Rudi ndani ya ala yako; acha na utulie.’
7 Comment se reposera-t-elle, puisque le Seigneur lui a donné ses ordres contre Ascalon, et contre les régions maritimes, et qu’il lui a assigné ces lieux?
Lakini upanga utatuliaje wakati Bwana ameuamuru, wakati ameuagiza kuishambulia Ashkeloni pamoja na pwani yake?”

< Jérémie 47 >