< Job 17 >

1 Mon souffle se perd; mes jours s'éteignent; le tombeau m'attend!
Roho yangu imemezwa, na siku zangu zimekwisha; kaburi lipo tayari kwa ajili yangu mimi.
2 Certes, je suis entouré de railleurs, et mon œil veille toute la nuit au milieu de leurs insultes.
Hakika kuna wenye mzaha pamoja nami; ni lazima daima jicho langu litazame kukasirisha kwao.
3 Dépose un gage, sois ma caution auprès de toi-même; car qui voudrait répondre pour moi?
Nipe sasa ahadi, uwe uthibitisho kwangu mimi pamoja na wewe mwenyewe; nani mwingine yuko pale ambaye atanisaidia mimi?
4 Tu as fermé leur cœur à l'intelligence; c'est pourquoi tu ne les feras pas triompher.
Kwa kuwa wewe Mungu umemeitunza mioyo yao kutoka katika ufahamu; kwa hiyo, wewe hautawaheshimisha wao juu yangu mimi.
5 Tel livre ses amis au pillage, dont les enfants auront les yeux consumés.
Yeye ambaye huwapinga rafiki zake hadharani, kwa ajili ya tuzo, macho ya watoto wake yatashindwa kuona.
6 On a fait de moi la fable des peuples, un être à qui l'on crache au visage.
Lakini amenifanya mimi kuwa neno la kuzungumziwa na watu; wao wananitemea mate katika uso wangu mimi.
7 Et mon œil s'est consumé de chagrin, et tous mes membres sont comme une ombre.
Jicho langu pia halioni vizuri kwa sababu ya huzuni; sehemu zangu zote za mwili ni nyembamba kama vivuli.
8 Les hommes droits en sont consternés, et l'innocent est irrité contre l'impie.
Watu wanyoofu watapendezwa na hiki; mtu asiye na hatia atajitia yeye mwenyewe juu ya kushindana dhidi ya watu wasiomcha Mungu.
9 Le juste néanmoins persévère dans sa voie, et celui dont les mains sont pures redouble de constance.
Mtu mwenye haki ataendelea katika njia yake; yeye ambaye ana mikono iliyo safi ataendelea kuwa mwenye nguvu zaidi na zaidi.
10 Mais, pour vous tous, allons, recommencez! Je ne trouverai pas un sage parmi vous.
Lakini kama ilivyo kwenu ninyi nyote, njooni sasa; Mimi sitampata mtu mwenye hekima miongoni mwenu ninyi.
11 Mes jours sont passés; mes desseins, chers à mon cœur, sont renversés.
Siku zangu zimepita; mipango yangu imenyamazishwa na hivyo ni matumaini ya moyo wangu.
12 Ils changent la nuit en jour; ils disent la lumière proche, en face des ténèbres!
Watu hawa, wenye kukejeli, badili usiku kuwa mchana; mchana uko karibu kuwa giza.
13 Quand je n'attends plus pour demeure que le Sépulcre, quand j'étends ma couche dans les ténèbres, (Sheol h7585)
Tangu mimi nitazame katika Kuzimu kama nyumbani kwangu; tangu Mimi nimetandaza kiti changu katika giza; (Sheol h7585)
14 Quand je crie au tombeau: Tu es mon père! et aux vers: Vous êtes ma mère et ma sœur!
tangu Mimi nimesema na shimo 'Wewe ni baba yangu,' na kwa funza, 'Wewe ni mama yangu au dada yangu;
15 Où est donc mon espérance? Et mon espérance, qui pourrait la voir?
liko wapi tena tumaini langu? Kama kwa tumaini langu, nani awezaye kuona chochote?
16 Elle descendra aux portes du Sépulcre, quand nous irons en-semble reposer dans la poussière! (Sheol h7585)
Tumaini litakwenda pamoja na mimi katika milango ya Kuzimu wakati sisi tutakapokwenda katika mavumbi? (Sheol h7585)

< Job 17 >