< Néhémie 6 >

1 Or, lorsque Sanaballat, Tobias, l'Arabe Gésam et le reste de nos ennemis, ouïrent que j'avais relevé le mur, ils en perdirent le souffle; cependant, alors, je n'avais pas encore mis les battants des portes.
Wakati Sanbalati, Tobia, Geshemu Mwarabu na adui zetu wengine waliposikia kwamba nilijenga upya ukuta na kwamba hakuna sehemu yoyote iliyoachwa ya wazi, ingawa sijawaweka milango katika malango,
2 Et Sanaballat et Gésam m'envoyèrent des messagers, disant: Viens, et rencontrons-nous tous ensemble dans l'un des bourgs de la plaine d'Ono. Mais, ils pensaient à me faire du mal.
Sanbalati na Geshemu akatuma wajumbe akasema, “Njoni, tukutane pamoja mahali fulani katika tambarare ya Ono.” Lakini walitaka kunidhuru.
3 Je leur envoyai des messagers, disant: Je suis à faire une grande œuvre, et je ne pourrai descendre vers vous, de peur qu'elle ne soit suspendue; je descendrai dès qu'elle sera finie.
Niliwatuma wajumbe kwao, nikasema, “Ninafanya kazi kubwa na siwezi kushuka. Kwa nini kazi isimame wakati nitakapoondoka na kuja kwako?”
4 Ils me firent dire derechef ces paroles, et je leur répondis comme la première fois.
Walituma ujumbe huo huo mara nne, na mimi niliwajibu vile vile kila wakati.
5 Et Sanaballat m'envoya son serviteur, avec une lettre ouverte qu'il tenait à la main.
Sanbalati alimtuma mtumishi wake kwangu kwa njia ile ile mara ya tano, na barua iliyo wazi mkononi mwake.
6 Et il y était écrit: On a oui dire, parmi les nations, que toi et les Juifs pensez à vous révolter; et que, pour cela, tu édifies le rempart, et que tu seras leur roi.
Imeandikwa, “Inaripotiwa kati ya mataifa, na Geshemu pia anasema, kwamba wewe na Wayahudi mna mpango wa kuasi, kwa sababu hiyo ndio mnajenga ukuta. Kutokana na taarifa hizi, unakaribia kuwa mfalme wao.
7 Et, outre cela, tu as aposté pour toi des prophètes, afin que tu sièges à Jérusalem, comme roi de Juda. Or, maintenant, ces choses vont être rapportées au roi; viens donc, et tenons conseil ensemble.
Nawe umewachagua manabii kutangaza habari zako juu ya Yerusalemu, wakisema, “Kuna mfalme huko Yuda!” Unaweza kuwa na hakika mfalme atasikia ripoti hizi. Basi, hebu njoo tuzungumze.
8 Et je lui envoyai encore des messagers, disant: Cela n'est pas arrivé selon les paroles que tu dis, car tu les as feintes en ton cœur.
Kisha nikamtuma neno nikisema, “mambo kama hayo hayajafanyika kama unavyosema, kwa maana ndani ya moyo wako umeyabuni.”
9 Ils voulaient tous ainsi nous effrayer, et ils disaient: Leurs mains en seront énervées; quant à ce travail, il ne sera pas achevé; mais moi, je fortifiai mes mains.
Kwa maana wote walitaka kututisha, wakifikiri, “Wataacha mikono yao kufanya kazi hiyo, na haitafanyika.” Lakini sasa, Mungu, tafadhali imarisha mikono yangu.
10 Et j'entrai en la demeure de Sémei, fils de Daishi, fils de Métabéhel, et il y était enfermé, et il me dit: Réunissons-nous dans le temple de Dieu, et nous en clorons les portes; car cette nuit ils viendront pour te tuer.
Nikaenda nyumbani kwa Shemaya mwana wa Delaya, mwana wa Mehetabeli, aliyefungwa nyumbani mwake. Akasema, “Hebu tukutane pamoja katika nyumba ya Mungu, ndani ya hekalu, na tufunge milango ya hekalu, kwa maana wanakuja kukuua. Usiku wanakuja kukuua.”
11 Et je répondis: Quel est l'homme qui entrera dans le temple, et pourra vivre?
Nikajibu, “Je! Mtu kama mimi ninaweza kukimbia? Na mtu kama mimi ninaweza kuingia hekaluni ili nipate kuishi? Sitaingia.”
12 Et j'observai, et voilà que Dieu ne me l'avait pas envoyé; car sa prophétie était une fable inventée contre moi. En effet, Sanaballat et Tobias avaient salarié
Niligundua kwamba sio Mungu aliyemtuma, lakini alikuwa amefanya unabii dhidi yangu. Tobia na Sanbalati walimwajiri.
13 Contre moi une multitude de gens, afin que j'eusse peur, que je fisse ce qu'il conseillait, que je tombasse dans le péché, que j'eusse parmi eux un mauvais renom, et qu'ils m'outrageassent.
Walimpa kazi kunifanya niwe na hofu, ili nifanye kile alichosema na kutenda dhambi, hivyo wangeweza kunipa jina baya ili kuniaibisha.
14 Souvenez-vous, ô mon Dieu, de Tobias et de Sanaballat, selon leurs actions, et de Noadias le prophète, et des autres prophètes qui tentèrent de m'alarmer.
Mungu wangu, wakumbuke Tobia na Sanbalati, na yote waliyofanya. Pia mkumbuke nabii Noadia na manabii wengine ambao walijaribu kunifanya niogope.
15 Et le mur fut achevé en cinquante-deux jours, le vingt-cinq du mois d'étal.
Kwa hiyo ukuta ukamalizika siku ya ishirini na tano ya mwezi wa Eluli, baada ya siku hamsini na mbili.
16 Et il advint, quand nos ennemis l'ouïrent, que toutes les nations d'alentour furent épouvantées, et qu'une grande frayeur tomba sur eux, et qu'ils connurent que l'achèvement de cette œuvre était de notre Dieu.
Adui zetu wote waliposikia hayo, mataifa yote yaliyotuzunguka, waliogopa na wakakata tamaa sana machoni pao wenyewe. Kwa maana walijua kazi hiyo ilifanyika kwa msaada wa Mungu wetu.
17 Et, en ces jours-là, des lettres de plusieurs nobles de Juda arrivaient à Tobias, et celles de Tobias leur arrivaient.
Wakati huu wakuu wa Yuda walituma barua nyingi kwa Tobia, na barua za Tobia zikawajia.
18 Car plusieurs en Juda s'étaient engagés avec lui par serment, parce qu'il était gendre de Sechénias, fils d'Héraé; et que Jonan, son fils, avait épousé la fille de Mesulam, fils de Barachias.
Kwa maana walikuwa wengi huko Yuda waliofungwa kwa kiapo chake, kwa sababu alikuwa mkwewe Shekania, mwana wa Ara. Mwanawe Yehohanani alikuwa amekuwa mkewe Meshulamu mwana wa Berekia.
19 Et ils me rapportaient ses paroles, et ils lui répétaient les miennes, et Tobias écrivait des lettres pour m'effrayer.
Pia walizungumza nami kuhusu matendo yake mema na kumwambia maneno yangu. Barua zililetwa kwangu kutoka kwa Tobia kunitisha.

< Néhémie 6 >