< Psaumes 36 >

1 Au chef des chantres. Par le serviteur de l’Eternel, par David. Au fond de mon cœur je sens ce que le Péché insinue au méchant: "Qu’il n’ait nulle crainte de Dieu devant les yeux!"
Dhambi hunena kama unabii katika moyo wa mwovu; machoni mwake hamna hofu ya Mungu.
2 Oui, il lui adresse des regards séducteurs, de façon à provoquer son iniquité, qu’il faudrait haïr.
Kwa maana yeye hujifariji mwenyewe, akifikiria kuwa dhambi zake hazitagundulika na kuchukiwa.
3 Les paroles de sa bouche ne sont que fausseté et perfidie, il renonce à être sage, à bien agir.
Maneno yake ni yenye dhambi na udanganyifu; hataki kuwa mwenye hekima na kutenda mema.
4 Sur sa couche il machine la fraude; il s’engage sur un chemin qui n’est pas bon, il n’a pas l’horreur du mal.
Alalapo kitandani, hupanga namna ya kutenda dhambi; yeye hukaa nje kwenye nja ya uovu; yeye hakatai uovu.
5 Eternel, ta grâce atteint jusqu’aux cieux, ta fidélité jusqu’aux nues.
Uaminifu wa agano lako, Yahwe, unafika mbinguni; uaminifu wako unafika mawinguni.
6 Ta justice est comme les montagnes puissantes, tes arrêts sont comme l’immense abîme: aux hommes et aux bêtes, tu es secourable, Eternel!
Haki yako ni kama milima ya Mungu; hukumu yako ni kama kina kirefu. Yahwe, wewe huwahifadhi wote wanadamu na wanyama.
7 Combien précieuse est ta grâce, ô Dieu! Les fils de l’homme s’abritent à l’ombre de tes ailes.
Ni jinsi gani uaminifu wa aganao lako ni wa thamani, Mungu! Watu hukimbilia usalama chini ya uvuli wa mbawa zako.
8 Ils sont rassasiés de l’abondance de ta maison; tu les abreuves du fleuve de tes délices.
Nao watatoshelezwa tele na utajiri wa chakula nyumbani mwako; utawafanya wanywe kutoka katika mto wa baraka zako za thamani.
9 Car près de toi est la source de vie; à ta lumière nous voyons le jour.
Kwa kuwa mna chemichemi ya uzima; na katika mwanga wako tutaiona nuru.
10 Etends ta bonté sur ceux qui te connaissent, et ta bienveillance sur les cœurs droits.
Uupanue uaminifu wa agano lako kikamilifu kwa wale wanao kujua wewe, ulinzi wako uwe juu ya wanyoofu wa moyo.
11 Que le pied de l’orgueil ne m’atteigne point; que la main des méchants ne me mette point en fuite!
Usiuache mguu wa mwenye kiburi unisogelee. Usiiache mkono wa mwovu unitoweshe.
12 Au contraire, qu’ils tombent, les malfaiteurs; qu’ils soient renversés sans pouvoir se relever!
Kule wafanyao maovu wameanguka; wameharibiwa hawawezi kuinuka.

< Psaumes 36 >