< 2 Chroniques 23 >

1 Et la septième année, Jehoïada se fortifia, et fit un pacte avec les chefs de centaines, Azaria, fils de Jerokham, et Ismaël, fils de Jokhanan, et Azaria, fils d’Obed, et Maascéïa, fils d’Adaïa, et Élishaphat, fils de Zicri.
Katika mwaka wa sa saba, Yehoyada alionesha nguvu zake na akaingia katika agano na maakida wa mamia, Azaria mwana wa Yerohamu, Ishmaeli mwana wa Yehohanani, Azaria mwana wa Obedi, Maaseya mwana wa Adaya, na Elishafati mwana wa Zikri.
2 Et ils firent le tour de Juda, et assemblèrent les lévites de toutes les villes de Juda, et les chefs des pères d’Israël; et ils vinrent à Jérusalem.
Wakaenda katika Yuda na kuwakusanya Walawi kutoka miji yote ya Yuda, vile vile na wakuu wa nyumba za mababu wa Israeli, na wakaja hadi Yerusalemu.
3 Et toute la congrégation fit alliance avec le roi dans la maison de Dieu; et [Jehoïada] leur dit: Voici, le fils du roi régnera, selon ce que l’Éternel a dit touchant les fils de David.
Kusanyiko lote wakafanya aganao na mfalme katika nyumba ya Mungu. Yehoyada akawaambia, “Ona, mwana wa mfalme atatawala, kama Yahwe alivyosema kuhusu uzao wa Daudi.
4 C’est ici ce que vous ferez: un tiers d’entre vous qui entrez le [jour du] sabbat, sacrificateurs et lévites, sera chargé de la garde des seuils;
Hivi ndivyo mtakavyo fanya: theluthi yenu makuhani na Walawi ambao huja kuhudumu siku ya Sabato, mtakuwa walinzi katika milango.
5 et un tiers sera dans la maison du roi; et un tiers à la porte de Jesod; et tout le peuple sera dans les parvis de la maison de l’Éternel.
Theluthi nyingine mtakuwa katika nyumba ya mfalme, na theluthi nyingine mtakuwa katika Msingi wa Lango. Watu wote watakuwa katika uwanja wa nyumba ya Yahwe.
6 Et que personne n’entre dans la maison de l’Éternel, sauf les sacrificateurs et les lévites qui feront le service: eux, ils entreront, car ils sont saints; et tout le peuple fera l’acquit de la charge de l’Éternel.
Msimruhusu yeyote kuingia kwenye nyumba ya Yahwe, isipokuwa makuhani na Walawi wanaoatumika. Wao wanaweza kuingia kwa sababu inawahusu.
7 Et les lévites entoureront le roi de tous côtés, chacun ses armes à la main; et celui qui entrera dans la maison sera mis à mort; et soyez avec le roi quand il entrera et quand il sortira.
Lakini watu wengine wote lazima mtii amri ya Yahwe. Walawi lazima wamzunguke mfalme pande zote, kila mtu na silaha zake mkononi mwake. Yeyote atakayeingia katika nyumba, atauawa. Kaeni na mfalme aingiapo ndani na atokapo nje.”
8 Et les lévites et tout Juda firent selon tout ce que Jehoïada, le sacrificateur, avait commandé; et ils prirent chacun ses hommes, ceux qui entraient le [jour du] sabbat et ceux qui sortaient le [jour du] sabbat; car Jehoïada, le sacrificateur, n’avait pas renvoyé les classes.
Kwa hiyo Walawi na Yuda wote walitumika kwa kila njia kama katika namna ambayo Yehoyada kuhani aliwaamuru. Kila mmoja alichukua watu wake, wale waliotakiwa kuja ndani kuhudumu katika Sabato, na wale watakaoondoka siku ya Sabato, kwa maana
9 Et Jehoïada, le sacrificateur, donna aux chefs de centaines les lances, et les écus, et les boucliers, qui avaient appartenu au roi David, et qui étaient dans la maison de Dieu.
Yehoyada, kuhani, hakuwa amezuilia mojawapo ya zamu zao. Kisha Yeliyadaya, kuhani, akaleta kwa maakida mikuki na ngao ndogo na kubwa zilizokuwa za mfalme Daudi ambazo zilikuwa katika nyumba ya Mungu.
10 Et il fit tenir là tout le peuple, chacun sa javeline à la main, depuis le côté droit de la maison jusqu’au côté gauche de la maison, vers l’autel et vers la maison, auprès du roi, tout autour.
Yehoyada akawaleta wanajeshi wote, kila mtu na mkuki wake katika mkono wake, upande wa kulia wa hekalu hadi upande wa kushoto wa hekalu, pembeni mwa madhabahu na hekalu, wakimzunguka mfalme.
11 Et ils firent sortir le fils du roi, et mirent sur lui la couronne et le témoignage; et ils le firent roi; et Jehoïada et ses fils l’oignirent, et dirent: Vive le roi!
Kisha wakamleta nje mwana wa mfalme, wakaiweka taji juu yake, na kumpa agano la sheria. Kisha wakamfanya mfalme, na Yehoyda na wanaye wakampaka mafuta. Kisha wakasema, “Aishi maisha marefu mfalme.”
12 Et Athalie entendit le cri du peuple qui courait et acclamait le roi, et elle entra vers le peuple dans la maison de l’Éternel.
Athalia aliposikia kele za watu wakikimbia na kumsifu mfalme, akatoka ili awaone watu katika nyumba ya Yahwe.
13 Et elle regarda, et voici, le roi se tenait sur son estrade, à l’entrée, et les chefs et les trompettes étaient auprès du roi, et tout le peuple du pays se réjouissait et sonnait des trompettes, et les chantres [étaient là] avec des instruments de musique, et ceux qui enseignaient à louer [Dieu]. Et Athalie déchira ses vêtements, et dit: Conspiration! Conspiration!
na akaangalia, na, tazama, mfamle alikuwa amesimama karibu na nguzo yake katika lango la, kuingilia na maakida na wapuliza tarumbeta walikuwa karibu na mfame. Watu wote wa nchi walikuwa wakifurahia na kupuliza tarumbeta na waimbaji walikuwa wakipiga vyombo vya muziki na kuongoza nyimbo za kusifu. Kisha Athalia akayararua mavazi yake na kupiga kelele. “Fitina! Fitina!”
14 Et Jehoïada, le sacrificateur, fit sortir les chefs de centaines qui étaient préposés sur l’armée, et leur dit: Faites-la sortir en dehors des rangs, et que celui qui la suivra soit mis à mort par l’épée; car le sacrificateur dit: Ne la mettez pas à mort dans la maison de l’Éternel.
Kisha Yehoyada, kuhani, akawaleta nje maakida wa mamia waliokuwa juu ya jeshi na kusema, “Mleteni nje kati ya safu, yeyote atakayemfuata, auwawe kwa upanga.” kwa maana kuhani alikwishasema, “Msimuue katika nyumba ya Yahwe.”
15 Et ils lui firent place; et elle alla par l’entrée de la porte des chevaux dans la maison du roi, et là ils la mirent à mort.
Kwa hiyo wakafanya njia kw ajili yake, na akaenda kwenye nyumba ya mfalme kupita njia ya Lango la Farasi, na huko wakamuuwa.
16 Et Jehoïada fit une alliance entre lui et tout le peuple et le roi, qu’ils seraient le peuple de l’Éternel.
kisha Yehoyada alifanya agano kati yake mwenyewe, watu wote, na mfalme, kwamba watakuwa watu wa Yahwe.
17 Et tout le peuple entra dans la maison de Baal, et ils la démolirent; et ils brisèrent ses autels et ses images, et tuèrent devant les autels Matthan, sacrificateur de Baal.
Kwa hiyo watu wote wakaenda kwenye nyumba ya Baali na kuiangusha chini. wakazivunja vipande vipande madhabahu za Baali na sanamu zake, na wakamuua Matani, kuhani wa Baali, mbele ya madhabahu hizo.
18 Et Jehoïada mit les charges de la maison de l’Éternel entre les mains des sacrificateurs lévites, que David avait établis par classes sur la maison de l’Éternel pour offrir les holocaustes à l’Éternel, comme il est écrit dans la loi de Moïse, avec joie et avec des cantiques, selon les directions de David.
Yehoyada akateua wakuu kwa ajili ya nyumba ya Yahwe chini ya mkono wa makuhani, ambao walikuwa Walawi, ambao Daudi alikuwa amewapanga kwenye nyumba ya Yahwe, ili wamtolee Yahwe sadaka za kuteketezwa, kama ilivyoandikwa katika sheria ya Musa, pamoja na kushangilia na kuimba, kama alivyotoa maelekezo Daudi.
19 Et il plaça les portiers aux portes de la maison de l’Éternel, afin qu’il n’y entre aucune personne impure en quoi que ce soit.
Yehoyada akaweka walinzi katika malango ya nyumba ya Yahwe, ili kwamba kwa namna yoyote ile asiingie mtu asiyesafi.
20 Et il prit les chefs de centaines, et les nobles, et ceux qui avaient autorité sur le peuple, et tout le peuple du pays, et il fit descendre le roi de la maison de l’Éternel, et ils entrèrent dans la maison du roi par la porte supérieure; et ils firent asseoir le roi sur le trône du royaume.
Yehoyada akachukua pamoja naye maakida wa mamia, watu wakubwa, watawala wa watu, na watu wote wa nchi. Akamleta chini mfalme kutoka kwenye nyumba ya Yahwe; watu wakaja kwenye nyumba ya mfalme kupitia Lango la juu na kumkalisha mfalme juu ya kiti cha enzi cha ufalme. (Baadhi ya maandiko ya ya kisasa yanasema, “wakamshusha chini mfalme”)
21 Et tout le peuple du pays se réjouit, et la ville fut tranquille: et ils avaient mis à mort Athalie par l’épée.
Kwa hiyo watu wote wa nchi wakafurahia, na mji wote ulikuwa kimya. Kuhusu Asa walikuwa wamemuua kwa upanga.

< 2 Chroniques 23 >