< Psalms 142 >
1 The lernyng of Dauid; `his preier, `whanne he was in the denne. With my vois Y criede to the Lord; with my vois Y preiede hertli to the Lord.
Kwa sauti yangu namlilia Yahwe anisaidie; kwa sauti yangu naomba kwa ajili ya neema ya Yahwe.
2 I schede out my preier in his siyt; and Y pronounce my tribulacioun bifor him.
Namwaga malalamiko yangu mbele zake; ninamwambia shida zangu.
3 While my spirit failith of me; and thou hast knowe my pathis. In this weie in which Y yede; proude men hidden a snare to me.
Roho yangu inapokuwa dhaifu ndani yangu, wewe unajua mapito yangu. Kwenye njia niipitayo wamenifichia mtego.
4 I bihelde to the riyt side, and Y siy; and noon was that knew me. Fliyt perischide fro me; and noon is that sekith my soule.
Natazama kulia kwangu na sioni yeyote anayenijali. Sina pa kukimbilia; hakuna anayejali kuhusu uhai wangu.
5 Lord, Y criede to thee, Y seide, Thou art myn hope; my part in the lond of lyueris.
Nilikuita wewe, Yahwe; nikasema, “Wewe ni kimbilio langu, fungu langu katika nchi ya walio hai.
6 Yyue thou tent to my biseching; for Y am maad low ful greetli. Delyuere thou me fro hem that pursuen me; for thei ben coumfortid on me.
Sikia kuita kwangu, maana nimeshushwa chini sana; uniokoe dhidi ya watesi wangu, maana wana nguvu kuliko mimi.
7 Lede my soule out of keping to knouleche to thi name; iust men abiden me, til thou yelde to me.
Uitoe nafsi yangu kifungoni ili niweze kulishukuru jina lako. Wenye haki watakusanyika karibu nami kwa sababu umekuwa mwema kwangu.”