< Habakkuk 1 >
1 The message that Habakkuk the prophet received,
Ujumbe ambao habakuki nabii alipokea,
2 “Yahweh, how long will I cry for help, and you will not hear? I cry out to you, 'Violence!' but you will not save.
Yahwe, kwa muda gani nitalilia msaada, na hutasikia? Nimekulilia wewe katika kitisho, 'vurugu' lakini hutaniokoa.
3 Why do you make me see iniquity and look upon wrongdoing? Destruction and violence are before me; there is strife, and contention rises up.
Kwanini unanifanya nione mabaya na kuangalia matendo mabaya. Uharibifu na vurugu uko mbele yangu; kuna mapambano, na ushindani unainuka.
4 Therefore the law is weakened, and justice does not last for any time. For the wicked surround the righteous; therefore false justice goes out.”
Walakini sheria ni dhaifu, na haki haiishi kwa wakati wowote. Sababu uovu umezunguka haki; walakini haki ya uongo inatoweka. “Yahwe” anamjibu habakuki
5 “Look at the nations and examine them; be amazed and astonished! For I am surely about to do something in your days that you will not believe when it is reported to you.
“Angalia mataifa na uwajaribu; stajaabishwa na shangazwa! Sababu nina uhakika kuhusu kufanya kitu katika siku zako kwamba hutaamini itakapotaarifiwa kwenu.
6 For look! I am about to raise up the Chaldeans—that fierce and impetuous nation— they are marching throughout the breadth of the land to seize homes that were not their own.
Sababu angalia! nakaribia kuwainua Wakaldayo - taifa katili na lenye kishindo - wanatembea kupitia upana wa nchi kuteka nyumba zisizo za kwao.
7 They are terrifying and fearsome; their judgment and splendor proceed from themselves.
Wanahofu na kuogopa; hukumu yao na uzuri kutoka kwao unaendelea.
8 Their horses also are swifter than leopards, quicker than the evening wolves. So their horses stamp, and their horsemen come from a great distance—they fly like an eagle hurrying to eat.
Farasi wao pia wanambio sana kuliko chui, wepesi sana kuliko mbwa mwitu wa jioni. Farasi wao huwaseta, na wapanda farasi wao wanakuja kutoka mbali - wanapaa kama tai anayewahi kula.
9 They all come for violence; their multitudes go like the desert wind, and they gather captives like sand.
Wote wanakuja kwa vurugu; makundi yao yanakwenda kama upepo wa jangwani, na wanakusanya mateka kama mchanga.
10 So they mock kings, and rulers are only a mockery for them. They laugh at every stronghold, for they heap up earth and take them.
Wanawadhihaki wafalme, na viongozi ni dhihaka kwaajili yao. Huicheka kila ngome, maana hurundika mavumbi na kuyaondoa.
11 Then the wind will rush on; it will move past—guilty men, those whose might is their god.”
Ndipo upepo utapita; itaendelea kupita - watu wenye hatia, ambao uwezo wao ni katika mungu.” Habakuki anamuuliza Yahwe swali lingine
12 “Are you not from ancient times, Yahweh my God, my Holy One? We will not die. Yahweh has ordained them for judgment, and you, Rock, have established them for correction.
“Wewe si wa tangu nyakati za zamani, Yahwe Mungu wangu, uliye Mtakatifu? Sisi hatutakufa. Yahwe aliwatenga kwaajili ya hukumu, na ninyi, Mwamba, mmeimarisha kwaajili ya kusahihisha.
13 Your eyes are too pure to gaze upon evil, and you are not able to look on wrongdoing with favor; why then have you looked favorably on those who betray? Why are you silent while the wicked swallow up those more righteous than they are?
Macho yenu ni safi kuangaza juu ya uovu, lakini hamuwezi kuangalia matendo mabaya kwa fadhila; kwa nini mnaangalia kwa upendeleo hivyo juu ambao wanasaliti? Kwanini kunyamaza wakati uovu unameza sana wenye haki zaidi yao?
14 You make men like fish in the sea, like creeping things without a ruler over them.
unawafanya watu kama samaki baharini, kama vitu vitambaavyo bila kiongozi juu yao.
15 He brings all of them up with a fishhook; he drags men away in his fishnet; he gathers them together in his dragnet; so he rejoices and he is glad.
Wao wanawaleta wote kwa ndoano; wanawakokota watu kutoka kwenye nyavu za samaki na kuwakusanya kwenye wavu wao. Hii ndiyo sababu wanafurahi na kupiga kelele kwa uchangamfu sana.
16 Therefore he sacrifices to his net and burns incense to his dragnet, for by his net he lives in luxury, and his food is the richest kind.
Walakini wanatoa sadaka kwenye nyavu zao za kuvulia na kuchoma ubani kwenye nyavu zao, sababu wanyama wanene ni sehemu yao, na nyama iliyonona ni chakula chao.
17 Will he therefore keep emptying his net, and will he continually slaughter the nations without mercy?”
Kwa sababu hiyo watamaliza nyavu zao za kuvulia na kuendelea kuchicha mataifa, bila kuhisi huruma”?