< Psalms 46 >

1 “For the leader of the music. Of, or for, the sons of Korah. To be sung in the manner, or with the voice, of virgins.” God is our refuge and strength; An ever present help in trouble.
Mungu kwetu ni kimbilio la usalama na nguvu, upatikanao tele wakati wa mateso.
2 Therefore will we not fear, though the earth be changed; Though the mountains tremble in the heart of the sea;
Hivyo hatutaogopa, hata kama dunia italazimika kubadilika, hata kama milima italazimika kutetemeka na kuangukia kwenye mtima wa bahari, hata kama maji yatavuma kwa kishindo kikuu,
3 Though its waters roar and be troubled, And the mountains shake with the swelling thereof. (Pause)
hata kama milima itatetemeka kwa vurugu ya maji. (Selah)
4 A river with its streams shall make glad the city of God, The holy dwelling-place of the Most High.
Kuna mto, mikondo yake huufanya mji wa Mungu kufurahi, mahali patakatifu pa hema ya Aliye Juu.
5 God is the midst of her; she shall not be moved; God will help her, and that full early.
Mungu yuko katikati yake; naye hatasogezwa; Mungu atamsaidia, naye atafanya hivyo asubuhi na mapema.
6 The nations raged; kingdoms were moved; He uttered his voice, the earth melted.
Mataifa yalikasirika na falme zikataharuki; yeye alipaza sauti yake, na nchi ikayeyuka.
7 The LORD of hosts is with us; The God of Jacob is our refuge. (Pause)
Yahwe wa majeshi yuko pamoja nasi; Mungu wa Yakobo ni kimbilio letu la usalama. (Selah)
8 Come, behold the doings of the LORD; What desolations he hath made in the earth!
Njoni, mtazame matendo ya Yahwe, uharibifu alioufanya juu ya nchi.
9 He causeth wars to cease to the end of the earth; He hath broken the bow, and snapped the spear asunder, And burned the chariots in fire.
Anaisitisha vita kwenye nchi; yeye anauvunja upinde na kuikata vipande vipande mishale; anazichoma ngao.
10 “Desist, and know that I am God; I will be exalted among the nations, I will be exalted throughout the earth!”
Mkae kimya na mjue kuwa mimi ni Mungu; nitainuliwa juu ya nchi.
11 The LORD of hosts is with us; The God of Jacob is our refuge.
Mungu wa majeshi yuko pamoja nasi; Mungu wa Yakobo ni kimbilio letu la usalama. Serah

< Psalms 46 >