< Psalms 124 >

1 If it had not been that the Lord was with us, let Israel now say:
Wimbo wa kwenda juu. Wa Daudi. Kama Bwana asingalikuwa upande wetu; Israeli na aseme sasa:
2 If it had not been that the Lord was with us, When men rose up against us,
kama Bwana asingalikuwa upande wetu, wakati watu walipotushambulia,
3 Perhaps they had swallowed us up alive. When their fury was enkindled against us,
wakati hasira yao ilipowaka dhidi yetu, wangalitumeza tungali hai,
4 Perhaps the waters had swallowed us up.
mafuriko yangalitugharikisha, maji mengi yangalitufunika,
5 Our soul hath passed through a torrent: perhaps our soul had passed through a water insupportable.
maji yaendayo kasi yangalituchukua.
6 Blessed be the Lord, who hath not given us to be a prey to their teeth.
Bwana asifiwe, yeye ambaye hakuruhusu turaruliwe kwa meno yao.
7 Our soul hath been delivered as a sparrow out of the snare of the followers. The snare is broken, and we are delivered.
Tumeponyoka kama ndege kutoka mtego wa mwindaji; mtego umevunjika, nasi tukaokoka.
8 Our help is in the name of the Lord, who made heaven and earth.
Msaada wetu ni katika jina la Bwana, Muumba wa mbingu na dunia.

< Psalms 124 >