< Salme 48 >
1 En Sang, en Psalme af Koras Børn.
Wimbo. Zaburi ya wana wa Kora. Bwana ni mkuu, anayestahili kusifiwa sana, katika mji wa Mungu wetu, mlima wake mtakatifu.
2 Herren er stor og saare priselig, i vor Guds Stad, paa hans hellige Bjerg.
Ni mzuri katika kuinuka kwake juu sana, furaha ya dunia yote. Kama vilele vya juu sana vya Safoni ni Mlima Sayuni, mji wa Mfalme Mkuu.
3 Zions Bjerg hæver sig smukt, er det ganske Lands Glæde, yderst imod Nord, den store Konges Stad.
Mungu yuko katika ngome zake; amejionyesha mwenyewe kuwa ngome yake.
4 Gud i dens Paladser er kendt som en fast Borg.
Wakati wafalme walipounganisha nguvu, waliposonga mbele pamoja,
5 Thi se, Kongerne havde samlet sig; de forsvandt til Hobe.
walimwona nao wakashangaa, wakakimbia kwa hofu.
6 De saa, straks forundrede de sig; de forfærdedes, de hastede bort.
Kutetemeka kuliwashika huko, maumivu kama ya mwanamke mwenye utungu wa kuzaa.
7 Bævelse betog dem der, Angest som en Kvindes, der føder.
Uliwaangamiza kama meli za Tarshishi zilizovunjwa na upepo wa mashariki.
8 Ved Østenvejr sønderbryder du Tharsis's Skibe.
Kama tulivyokuwa tumesikia, ndivyo tulivyoona katika mji wa Bwana Mwenye Nguvu Zote, katika mji wa Mungu wetu: Mungu ataufanya uwe salama milele.
9 Ligesom vi havde hørt, saaledes saa vi det i den Herre Zebaoths Stad, i vor Guds Stad; Gud befæster den indtil evig Tid. (Sela)
Ee Mungu, hekaluni mwako tunatafakari upendo wako usiokoma.
10 O Gud! vi tænke paa din Miskundhed midt i dit Tempel.
Ee Mungu, kama jina lako lilivyo, sifa zako zinafika hadi miisho ya dunia, mkono wako wa kuume umejazwa na haki.
11 O Gud! som dit Navn er, saa er din Pris indtil Jordens Ender; din højre Haand er fuld af Retfærdighed.
Mlima Sayuni unashangilia, vijiji vya Yuda vinafurahi kwa sababu ya hukumu zako.
12 Zions Bjerg glæder sig, Judas Døtre fryde sig for dine Dommes Skyld.
Tembeeni katika Sayuni, uzungukeni mji, hesabuni minara yake;
13 Gaar omkring Zion, rundt omkring den, tæller dens Taarne!
yatafakarini vyema maboma yake, angalieni ngome zake, ili mpate kusimulia habari zake kwa kizazi kijacho.
14 Lægger Mærke til dens Mur, betragter nøje dens Paladser, at I kunne fortælle det for den Slægt, som kommer. Thi her er Gud, vor Gud, evindelig og altid, han skal ledsage os til evige Tider.
Kwa kuwa huyu Mungu ni Mungu wetu milele na milele; atakuwa kiongozi wetu hata mwisho.