< Žalmy 150 >

1 Halelujah. Chvalte Boha silného pro svatost jeho, chvalte jej pro rozšíření síly jeho.
Msifuni Bwana. Msifuni Mungu katika patakatifu pake, msifuni katika mbingu zake kuu.
2 Chvalte jej ze všelijaké moci jeho, chvalte jej podlé veliké důstojnosti jeho.
Msifuni kwa matendo yake makuu, msifuni kwa kadiri ya wingi wa ukuu wake.
3 Chvalte jej zvukem trouby, chvalte jej na loutnu a citaru.
Msifuni kwa mvumo wa tarumbeta, msifuni kwa kinubi na zeze,
4 Chvalte jej na buben a píšťalu, chvalte jej na husle a varhany.
msifuni kwa matari na kucheza, msifuni kwa kinanda cha nyuzi na filimbi,
5 Chvalte jej na cymbály hlasité, chvalte jej na cymbály zvučné.
msifuni kwa matoazi yaliayo, msifuni kwa matoazi yavumayo sana.
6 Všeliký duch chval Hospodina. Halelujah.
Kila chenye pumzi na kimsifu Bwana. Msifuni Bwana!

< Žalmy 150 >