< Psalmi 1 >
1 Blago čovjeku koji ne slijedi savjeta opakih, ne staje na putu grešničkom i ne sjeda u zbor podrugljivaca,
Amebarikiwa mtu yule asiye enenda katika ushauri wa waovu, au kusimama katika njia ya wenye dhambi, au kukaa katika kusanyiko la wenye mizaha.
2 već uživa u Zakonu Jahvinu, o Zakonu njegovu misli dan i noć.
Bali yeye huifurahia sheria ya Yahwe, na huitafakari sheria yake mchana na usiku.
3 On je k'o stablo zasađeno pokraj voda tekućica što u svoje vrijeme plod donosi; lišće mu nikad ne vene, sve što radi dobrim urodi.
Atakuwa kama mti uliopandwa karibu na mkondo wa maji ambao huzaa matunda yake kwa majira yake, ambao majani yake hayakauki; lolote afanyalo litafanikiwa.
4 Nisu takvi opaki, ne, nisu takvi! Oni su k'o pljeva što je vjetar raznosi.
Waovu hawako hivyo, wao badala yake ni kama makapi yapeperushwayo na upepo.
5 Stoga se opaki neće održati na sudu, ni grešnici u zajednici pravednih.
Kwa hivyo waovu hawatasimama katika hukumu, wala wenye dhambi katika kusanyiko la wenye haki.
6 Jer Jahve zna put pravednih, a propast će put opakih.
Kwa kuwa Yahweh huikubali njia ya wenye haki, njia ya waovu itaangamizwa.