< Job 42 >

1 A Job ovako odgovori Jahvi:
Kisha Ayubu akamjibu Yahweh na kusema,
2 “Ja znadem, moć je tvoja bezgranična: što god naumiš, to izvesti možeš.
“Ninajua kwamba unaweza kufanya mambo yote, ya kuwa hakuna kusudi lako linaweza kuzuiliwa.
3 Tko je taj koji riječima bezumnim zamračuje božanski promisao? Govorah stoga, ali ne razumjeh, o čudesima meni neshvatljivim.
Ni nani huyo ambaye pasipo maarifa huificha mipango? Kwa kweli nilisema mambo ambayo sikuyaelewa, mambo magumu kwangu kuyafahamu, ambayo juu yake sikujua chochote.
4 O, poslušaj me, pusti me da zborim: ja ću te pitat', a ti me pouči.
Uliniambia, 'Sikiliza sasa, nami nitasema; nitakuuliza mambo, nawe utaniambia.'
5 Po čuvenju tek poznavah te dosad, ali sada te oči moje vidješe.
Nimekuwa nikikusikia kwa usikivu wa sikio langu, lakini sasa jicho langu linakuona wewe.
6 Sve riječi svoje zato ja poričem i kajem se u prahu i pepelu.”
Basi ninajidharau mwenyewe; ninatubu kwa mavumbi na majivu.”
7 Kada Jahve izgovori Jobu ove riječi, reče on Elifazu Temancu: “Ti i tvoja dva prijatelja raspalili ste gnjev moj jer niste o meni onako pravo govorili kao moj sluga Job.
Ilitokea baada ya kuwa amekwisha kusema maneno hata kwa Ayubu, Yahweh alimwambia Elifazi Mtemani, “Ghadhabu yangu imewaka dhidi yako na dhidi ya marafiki zako wawili kwa kuwa hamkusema maneno ya haki juu yangu kama alivyofanya mtumishi wangu Ayubu.
8 Zato uzmite sada sedam junaca i sedam ovnova i pođite k mome sluzi Jobu, pa prinesite za sebe paljenicu, a sluga moj Job molit će se za vas. Imat ću obzira prema njemu i neću vam učiniti ništa nažao zato što niste o meni onako pravo govorili kao moj sluga Job.”
Sasa basi, jitwalieni mafahari saba na mabeberu saba, kisha mmwendee mtumishi wangu Ayubu na mtoe sadaka ya kuteketezwa kwa ajili yenu. Ndipo Mtumishi wangu Ayubu atawaombea ninyi, nami nitayapokea maombi yake, ili kwamba nisiwashughulikie sawasawa na upumbavu wenu. Maana hamkusema mambo ya haki juu yangu, kama alivyofanya mtumishi wangu Ayubu.”
9 Tada odoše Elifaz iz Temana, Bildad iz Šuaha i Sofar iz Naamata i učiniše kako im je Jahve zapovjedio. I Jahve se obazre na Joba.
Basi Elifazi Mtemani, Bildadi Mshuhi na Zofari Mnaamathi walienda na kufanya kama vile Yahweh alivyowaamuru, na Mungu alimtakabali Ayubu.
10 I Jahve vrati Joba u prijašnje stanje jer se založio za svoje prijatelje, pa mu još udvostruči ono što je posjedovao.
Na wakati Ayubu alimpowaombea rafiki zake, Yahweh alirejeza bahati yake. Yahweh alimjalia mara mbili ya kile alichokimiliki hapo awali.
11 Tad se vratiše Jobu sva njegova braća, i sve njegove sestre, i svi prijašnji znanci te su jeli s njim kruh u njegovoj kući, žaleći ga i tješeći zbog svih nevolja što ih Jahve bijaše na nj poslao. Svaki mu darova po jedan srebrnik i po jedan zlatan prsten.
Ndipo ndugu zake na Ayubu, na wale jamaa zake wote walikuwa wanajuana naye hapo mwanzo, walikuja hapo kwake na kula chakula pamoja naye katika nyumba yake. Waliomboleza pamoja naye na walimfariji kwa ajili majanga yote ambayo Yahweh alikuwa ameyaleta juu yake. Kila mtu alimpa Ayubu kipande cha fedha na pete ya dhahabu.
12 Jahve blagoslovi novo Jobovo stanje još više negoli prijašnje. Blago mu je brojilo četrnaest tisuća ovaca, šest tisuća deva, tisuću jarmova volova i tisuću magarica.
Yahweh aliubarikiwa mwisho wa maisha ya Ayubu kuliko mwanzo wake; alikuwa na kondoo kumi na nne elfu, ngamia elfu sita, jozi elfu moja, na punda jike elfu moja.
13 Imao je sedam sinova i tri kćeri.
Pia alikuwa na wana saba na mabinti watatu.
14 Prvoj nadjenu ime Jemima, drugoj Kasija, a trećoj Keren-Hapuk.
Binti wa kwanza alimwita Yemima, na wa pili Kezia, na wa tatu Kerenihapuki.
15 U svem onom kraju ne bijaše žena tako lijepih kao Jobove kćeri. I otac im dade jednaku baštinu kao i njihovoj braći.
Katika nchi yote hawakupatikana wanawake wazuri kama mabinti wa Ayubu. Baba yao aliwapa urithi miongoni mwa kaka zao.
16 Poslije toga Job doživje dob od sto četrdeset godina i vidje djecu svoju i djecu svoje djece do četvrtog koljena.
Baada ya haya, Ayubu aliishi miaka 140; aliwaona wana wake na wana wa wanawe, hata kizazi cha nne.
17 Potom umrije Job, star, nauživši se života.
Basi Ayubu alifariki, akiwa mzee na akijawa na siku nyingi.

< Job 42 >