< Psalmi 83 >

1 Pjesma. Psalam. Asafov. Ne šuti, Jahve, ne budi nijem i nemoj mirovati, Bože!
Ee Mungu, usikae kimya! usitupuuze na kustarehe, Ee Mungu.
2 Jer evo: dušmani tvoji buče, i mrzitelji tvoji glave podižu.
Tazama, adui zako wanafanya vurugu, na wale wakuchukiao wameinua vichwa vyao.
3 Protiv naroda se tvoga rote i svjetuju se protiv štićenika tvojih.
Wanafanya hila juu ya watu wako na kwa pamoja kupanga njama dhidi ya wale uwalindao. Wamesema,
4 Govore: “Dođite, zatrimo ih da ne budu narod, nek' se ime Izrael više ne spominje!”
“Njoni na tuwaangamize wao kama taifa. Kisha jina la Israeli halitakumbukwa.”
5 Zaista, jednodušno se svjetuju i protiv tebe savez sklopiše:
Wamepanga njama pamoja wakiwa na mkakati mmoja; wamefanya muungano dhidi yako.
6 šatori edomski i Jišmaelci, Moapci i Hagrijci,
Hii inajumuisha hema za Edomu na Waishmaeli, na watu wa Moabu na Wahagari, ambao wamepanga njama pamoja nao
7 Gebal i Amon i Amalek, Filisteja sa stanovnicima Tira.
Gebal, Amoni, Amaleki; pia inajumuisha Filisti na wenyeji wa Tiro.
8 I Asirci se s njima udružiše, pružiše ruke potomcima Lotovim.
Ashuri pia ameshirikina nao; wanawasaidia wana wa Lutu. Serah
9 Učini njima k'o Midjancima, k'o Siseri i Jabinu na potoku Kišonu:
Ufanye kwao kama ulivyofanya kwa Midiani, kama ulivyofanya kwa Sisera na kwa Yabini kwenye Mto Kishoni.
10 koji padoše blizu En-Dora i postaše gnojivo njivi.
Waliangamizwa kule Endori na wakawa kama mbolea juu ya chi.
11 K'o Oreb i Zeb neka budu knezovi njihovi, kao Zebah i Salmuna nek' budu sve vođe njihove
Uvifanye vyeo vyao kama Oreb na Zeeb, na wakuu wao wote kama Zeba na Zalmuna.
12 koji jednodušno vikahu: “Osvojimo krajeve Božje!”
Wao walisema, natujimilikishe malisho ya Mungu.”
13 Daj, o Bože, da budu kao kovitlac, kao pljeva koju nosi vjetar.
Ee Mungu wangu, uwafanye kama mavumbi ya kisulisuli, kama makapi mbele ya upepo,
14 Kao što oganj proždire šumu, kao što plamen sažiže bregove,
Kama moto uteketezao msitu, na kama miali ya moto iwakayo milimani.
15 tako ih goni olujom svojom, prestravi ih svojom žestinom!
Uwafuatie kwa tufani yako, na kuwafadhaisha kwa dhoruba yako.
16 Pokrij im lice sramotom, da traže tvoje ime, Jahve!
Uwajaze nyuso zao kwa aibu ili kwamba waweze kulitafuta jina lako, Yahwe.
17 Neka se stide i plaše navijek, neka se posrame i neka izginu!
Nao waaibishwe na kufadhaishwa milele; waangamizwe katika aibu.
18 Nek' znaju: ti si komu je ime Jahve, jedini Višnji nada svom zemljom.
Kisha watajua kwamba ni wewe pekee, Yahwe, Uliye Juu ya nchi yote.

< Psalmi 83 >