< Psalmi 52 >

1 Zborovođi. Poučna pjesma. Davidova. Kad je Edomac Doeg Šaulu javio: “David je ušao u kuću Abimelekovu. Što se to hvališ pakošću, silniče nesmiljeni?
Kwa nini wewe unajivunia kufanya uovu, wewe mtu mwenye nguvu? Uaminifu wa agano la Mungu huja kila siku.
2 Neprestano snuješ o propasti, jezik ti je britva nabrušena, spletkaru!
Ulimi wako hupanga uharibifu kama wembe mkali, na kufanya udanganyifu.
3 Zlo voliš više nego dobro, i laž više nego pravednost!
Wewe unapenda uovu kuliko wema na udanganifu kuliko kuongea haki. (Selah)
4 Mili su ti pogubni govori, lažljivi jeziče!
Wewe hupenda maneno ambayo huwaumiza wengine, wewe ulimi mdanganyifu.
5 Bog će te zato satrti, zauvijek te ukloniti; iščupat će te iz tvog šatora, iskorijeniti iz zemlje živih.
Vivyo hivyo Mungu atakuadhibu wewe milele; yeye atakuchukua na kukuondoa katika hema yako na kukung'oa katika ardhi ya uhai. (Selah)
6 Pravednici će gledati s užasom i njemu se smijati:
Wenye haki pia wataona na kuogopa; watamcheka na kusema,
7 “Gle čovjeka koji ne uze Boga za svoju zaštitu, već se uzdao u veliko bogatstvo i osilio u svojim zločinima!”
“Tazama, huyu ni mtu ambaye hakumfanya Mungu kuwa kimbilio lake la usalama, bali aliamini katika wingi wa mali zake, naye alikuwa na nguvu alipowaharibu wengine.”
8 A ja, k'o zelena maslina u Domu Božjem, uzdam se u Božju dobrotu dovijeka.
Lakini kwangu mimi, niko kama mti bora wa mzeituni katika nyumba ya Mungu; Nami nitaamini uaminifu wa agano la Mungu milele na milele.
9 Hvalit ću te svagda što si to učinio i slavit ću tvoje ime, jer je dobrostivo, pred licem tvojih pobožnika.
Nitakushukuru wewe daima kwa uliyo tenda. Nitalisubiri jina lako, kwa sababu ni zuri, uweponi mwa wantu wako wa kimungu.

< Psalmi 52 >