< Psalmi 142 >

1 Poučna pjesma. Davidova. Kad bijaše u spilji. Molitva. Iz svega glasa vapijem Jahvi, iz svega glasa Jahvu zaklinjem.
Utenzi wa Daudi. Alipokuwa pangoni. Maombi. Namlilia Bwana kwa sauti, nainua sauti yangu kwa Bwana anihurumie.
2 Pred njim svoju izlijevam tužaljku, tjeskobu svoju pred njim razastirem.
Namimina malalamiko yangu mbele zake, mbele zake naeleza shida zangu.
3 Ako duh moj i klone u meni, ti put moj poznaješ. Na putu kojim prolazim potajnu mi zamku staviše.
Wakati roho yangu inapozimia ndani yangu, wewe ndiwe unajua njia zangu. Katika njia ninayopita watu wameniwekea mtego.
4 Obazrem li se nadesno i pogledam: nitko ne zna za mene. Nemam kamo pobjeći, nitko za život moj ne mari.
Tazama kuume kwangu na uone, hakuna hata mmoja anayejihusisha nami. Sina kimbilio, hakuna anayejali maisha yangu.
5 K tebi, Jahve, vapijem; govorim: ti si mi utočište, ti si dio moj u zemlji živih.
Ee Bwana, nakulilia wewe, nasema, “Wewe ni kimbilio langu, fungu langu katika nchi ya walio hai.”
6 Poslušaj moje vapaje jer sam veoma nevoljan. Izbavi me od gonitelja mojih jer od mene oni su moćniji.
Sikiliza kilio changu, kwa sababu mimi ni mhitaji sana; niokoe na wale wanaonifuatilia, kwa kuwa wamenizidi nguvu.
7 Izvedi iz tamnice dušu moju da zahvaljujem imenu tvojemu. Oko mene će se okupiti pravednici zbog dobra što si ga iskazao meni.
Nifungue kutoka kifungo changu, ili niweze kulisifu jina lako. Ndipo wenye haki watanizunguka, kwa sababu ya wema wako kwangu.

< Psalmi 142 >