< Brojevi 33 >
1 Ovo su postaje Izraelaca što ih prijeđoše kad iziđoše iz zemlje egipatske u svojim četama pod vodstvom Mojsijevim i Aronovim.
Hizi ndizo safari za wana wa Israeli hapo walipotoka katika nchi ya Misri pamoja na makundi yao ya kijeshi chini ya uongozi wa Musa na Haruni.
2 Na zapovijed Jahvinu Mojsije je bilježio polazne točke njihova putovanja. Ovo su njihove postaje prema njihovim polaznim točkama.
Musa aliandika maeneo yote tangu walipoondoka mpaka walipofika, kama alivyoamuriwa na BWANA. Hizi ndizo safari zao kama kutoka kwao kulivyokuwa kwa kila walipotoka.
3 Iz Ramsesa krenuše u prvome mjesecu. Bio je petnaesti dan prvoga mjeseca - sutradan poslije Pashe - kad se Izraelci zaputiše uzdignutih pesnica i naočigled sviju Egipćana,
Mwezi wa kwanza walisafiri kutoka Ramesi, waliondoka siku ya kumi na tano. Asubuhi siku iliyofuata baada ya Pasaka, Wana wa Israeli waliondoka wazi wazi, mbele ya machoya Wamisri wote.
4 dok su Egipćani pokopavali one koje je Jahve između njih pobio, to jest sve prvorođence, i tako nad njihovim božanstvima izvršio pravdu.
Hii ilitokea wakati Wamisiri walipokuwa wakizika wazaliwa wao wa kwanza, ambao BWANA alikuwa amewaua miongoni mwao, kwa kuwa pia alikuwa ameiadhibu miungu yao.
5 Krenu dakle Izraelci iz Ramsesa i utabore se u Sukotu.
Wana wa Israeli walisafiri kutoka Ramesi na kuweka kambi
6 Zatim odu iz Sukota i utabore se u Etamu, baš na rubu pustinje.
Sukothi. Walisafiri toka Sukothi na kuweka kambi Ethamu, mwisho wa nyika.
7 Pođu iz Etama, a onda okrenu prema Pi Hahirotu, koji se nalazi nasuprot Baal Sefona. Tabore postave pred Migdolom.
Wakasafiri kutoka Ethamu wakarudi mpaka Pi-Hahirothi, ambayo inaikabili Baali Zephoni, ambapo waliweka kambi kuikabili Migidoli
8 Krenu od Pi Hahirota i prijeđu posred mora u pustinju. Išli su tri dana pustinjom Etanom, a onda se utabore u Mari.
Kisha wakasafiri toka mkabala wa Pi-Hairothi na kupita katikati ya bahari kuelekea nyikani. Wakasafiri safari ya siku tatu katika nyika ya Ethamu na kuweka kambi Mara.
9 Zatim odu iz Mare i stignu u Elim. U Elimu je bilo dvanaest izvor-voda i sedamdeset palma. Tu su se utaborili.
Wakasafiri kutoka Mara kufika Elimu. Pale Elimu kulikuwa na chemichemi kumi na mbili za maji na miti sabini ya mitende. hapo ndipo walipoweka kambi.
10 Potom krenu iz Elima te se utabore uz Crveno more.
Walisafiri kutoka Elimu na kuweka kambi karibu na Bahari ya Shamu.
11 A otišavši od Crvenog mora, utabore se u pustinji Sinu.
Walisafiri kutoka Bahari ya Shamu na kuweka kambi katika nyika ya Sini.
12 Potom odu iz pustinje Sina i postave tabore u Dofki.
Walisafiri kutoka nyika ya Sini na kuweka kambi Dofka.
13 Otišavši iz Dofke, utabore se u Alušu.
Wakasafiri kutoka Dofka na kuweka kambi Alushi.
14 Krenu iz Aluša i utabore se u Refidimu. Tu narod nije imao vode da pije.
Wakasafiri kutoka Alushi na kuweka kambi Refidimu, ambapo watu walikosa maji ya kunywa.
15 Odu iz Refidima te se utabore u Sinajskoj pustinji.
Walisafiri kutoka Refidimu na kuweka kambi kwenye nyika ya Sinai.
16 Krenu iz Sinajske pustinje te se utabore u Kibrot Hataavi.
Walisafiri kutoka nyika ya Sinai na kuweka kambi Kibrothi Hataava.
17 Odu iz Kibrot Hataave te se utabore u Haserotu.
Walisafiri kutoka Kibrothi Hataava na kuweka kambi Hazerothi.
18 Onda odu iz Haserota i utabore se u Ritmi.
Walisafiri kutoka Hazerothi na kuweka kambi Rithima.
19 Krenu iz Ritme i utabore se u Rimon Peresu.
Walisafiri kutoka Rithima na kuweka kambi Rimoni Perezi.
20 Odu iz Rimon Peresa i utabore se u Libni.
Walisafiri kutoka Rimoni Perezi na kuweka kambi Libna.
21 Iz Libne odu i utabore se u Risi.
Walisafiri kutoka Libna na kuweka kambi Risa.
22 Odu iz Rise te se utabore u Kehelati.
Walisafiri kutoka Risa na kuweka kambi Kehelatha.
23 Odu iz Kehelate i utabore se na brdu Šeferu.
Walisafiri kutoka Kehelatha na kuweka kambi kwenye Mlima Sheferi.
24 Odu s brda Šefera i utabore se u Haradi.
Walisafiri kutoka Mlima Sheferi na kuweka kambi Harada.
25 Odu iz Harade i utabore se u Makhelotu.
Walisafiri kutoka Harada na kuweka kambi Makelothi.
26 Odu iz Makhelota te se utabore u Tahatu.
Walisafiri kutoka Makelothi na kuweka kambi Tahathi.
27 Odu iz Tahata i utabore se u Tarahu.
Walisafiri kutoka Ttahalathi na kuweka kambi Tera.
28 Iz Taraha odu i utabore se u Mitki.
Walisafiri kutokaTera na kuweka kambi Mithika.
29 Odu iz Mitke i utabore se u Hašmoni.
Walisafiri kutoka Mithika na kuweka kambi Hashimona.
30 Iz Hašmone odu i utabore se u Moserotu.
Walisafiri kutoka Hashimona na kuweka kambi Moserothi.
31 Odu iz Moserota i utabore se u Bene Jaakanu.
Walisafiri kutoka Moserothi na kuweka kambi Bene Jaakani.
32 Odu iz Bene Jaakana i utabore se u Hor Gidgadu.
Walisafiri kutoka Bene Jaakani na kuweka kambi Hori Hagidigadi.
33 Odu iz Hor Gidgada i utabore se u Jotbati.
Walisafiri kutoka Hori Hagidigadi na kuweka kambi Jotibatha.
34 Odu iz Jotbate i utabore se u Abroni.
Walisafiri kutoka Jotibatha na kuweka kambi Abrona.
35 Iz Abrone odu i utabore se u Esion Geberu.
Walisafiri kutoka Abrona na kuweka kambi Ezioni Geberi.
36 Iz Esion Gebera odu i utabore se u pustinji Sinu, to jest u Kadešu.
Walisafiri toka Ezioini Geberi na kuweka kambi katika nyika ya Sini kule Kadeshi.
37 Iz Kadeša krenu te se utabore na brdu Horu, na granici zemlje edomske.
Walisafiri kutoka Kadeshi na kuweka kambi Mlima Hori, Pembezoni mwa nchi ya Edomu.
38 Na zapovijed Jahvinu svećenik se Aron pope na brdo Hor i tu umre na prvi dan petoga mjeseca, u četrdesetoj godini nakon izlaska Izraelaca iz egipatske zemlje.
Hapo ndipo Haruni kuhani alipoenda kwenye Mlima Hori kwa amri ya BWANA na kufa kule mwaka wa arobaini bada ya Wisraeli kutoka katika nchi ya Misri, katika siku ya kwanza ya mwezi wa tano.
39 Aronu je bilo stotinu dvadeset i tri godine kad je preminuo na brdu Horu.
Haruni alikuwa na umri wa mika 123 alipokufa pale juu ya Mlima Hori.
40 Aradski kralj, Kanaanac, koji je živio u kanaanskom kraju Negebu, čuo je o dolasku Izraelaca.
Wakanaani, mfalme wa Aradi, ambao waliishi kusini mwa nyika katika nchi ya Kanaani, walisikia juu ya ujio wa wana wa Israeli.
41 S brda Hora odu te se utabore u Salmoni.
Walisafiri kutika Mlima Hori n a kuweka kambi Zalimona.
42 Odu iz Salmone i utabore se u Punonu.
Walisafiri kutoka Zalimona na kuweka kambi Punoni.
43 Odu iz Punona i utabore se u Obotu.
Walisafiri kutoka Punoni na kuweka kambi Obothi.
44 Odu iz Obota i utabore se na moapskom području u Ije-Abarimu.
Walisafiri kutoka Obothi na kuweka kambi Abarimu, katika mpaka wa Moabu.
45 Odu iz Ije-Abarima i utabore se u Dibon Gadu.
Walisafiri kutoka Abarimu na kuweka kambi Diboni Gadi.
46 Iz Dibon Gada odu i utabore se u Almon Diblatajimu.
Walisafiri kutoka Diboni Gadi na kuweka kambi Alimoni Diblathaimu.
47 Iz Almon Diblatajima odu i utabore se na Abarimskim bregovima, pred Nebom.
Walisafiri kutoka Alimoni Diblathaimu na kuweka kambi kwenye milima ya Abarimu mkabala na Nebo.
48 Odu s Abarimskih bregova i utabore se na Moapskim poljanama, uz Jordan, nasuprot Jerihonu;
Walisafiri kutoka mlima wa Abarimuna kuweka kambi kwenye nyanda za Moabu karibu na Yorodani huko Yeriko.
49 taborovali su uz Jordan od Bet Haješimota sve do Abel Hašitima na Moapskim poljanama.
Waliweka kambi karibu na Yorodani, kutoka Bethi Jeshimothi mpaka Abeli Shitimu katika nyanda za Moabu.
50 Na Moapskim poljanama uz Jordan, nasuprot Jerihonu, Jahve reče Mojsiju:
Hapo BWANA alinenana Musa katika nyanda za Moabu karibu na Yorodani kule Yeriko akasema,
51 “Ovako reci Izraelcima: 'Kad prijeđete preko Jordana u zemlju kanaansku,
“Nena na wana wa Israeli uwaambie. 'Mtakapovuka mto Yorodani kuingia Kanaani,
52 potjerajte ispred sebe sve stanovnike te zemlje, uništite sve njihove slike; uništite sve njihove salivene kumire i sve njihove uzvišice porušite.
ndipo mtakapowafukuza wenyeji wote mbele yenu. Mtaziharibu sanamu zote za kuchongwa. Mtaziharibu sanamu zao za kusubu na kuharibu mahali pao pote palipoinuka.
53 Onda zaposjednite zemlju i u njoj se nastanite, jer sam vam je predao da je zaposjednete.
Mtachukua hiyo ardhi iwe mali yenu na muishi ndani yake, kwa sababu nimewapeni hiyo nchi iwe mali yenu.
54 Zemlju razdijelite kockom među svoje rodove. Brojnijem povećajte dio, a manjem smanjite. Gdje god kocka padne, bilo za koga, neka je to njegovo, a prema otačkim plemenima dijelite im baštinu.
Mtairithi hiyo nchi kwa kupiga kura, kwa kufuata kila ukoo. Kwa zile koo kubwa kubwa mtawapa sehemu kubwa ya ardhi, na kwa zile koo ndogo ndogo mtawapa sehemu ndogo ya ardhi. Kura itakapoanguka kwenye kila ukoo, hiyo ardhi itakuwa mali yake. Mtairithi ardhi kufuata ukoo wa kabilla la jamaa zenu.
55 Ako stanovnike zemlje ispred sebe ne potjerate, onda će oni koje od njih na životu ostavite biti trnje u vašim očima i bodljike u vašim bokovima; dosađivat će vam u zemlji u kojoj budete živjeli
Lakini kama hamtawafukuza wenyeji wa nchi hiyo watoke mbele yenu, ndipo wale watu mtakaowaruhusu wakae nanyi watakapokuwa kama sindano machoni mwenu na miiba katika mbavu zenu. Watayafanya maisha yenu yawe magumu katika nchi mnayoishi.
56 i postupit ću s vama kako sam mislio postupiti s njima.'”
Ndipo itakapotokea kuwa kile ambacho Mimi ninakusudia kufanya kwa wale watu, Nitawafanyia pia ninyi'”