< Brojevi 13 >
Kisha BWANA akanena na Musa, akamwambia, “tuma watu waende kuipeleleza nchi ya Kanani, ambayo nimewapa wana wa Israeli.
2 “Pošalji ljude, po jednoga čovjeka iz pojedinog pradjedovskog plemena, da izvide kanaansku zemlju, koju dajem Izraelcima. Pošaljite sve njihove glavare!”
Tuma mwanamume mmoja kutoka kila jamaa ya kabila. Kila mwanamume awe kiongozi katika kabila lake.”
3 Na Jahvinu zapovijed Mojsije ih posla iz pustinje Parana. Svi ti ljudi bijahu glavari Izraelaca.
Musa akawatuma kutoka jangwa la Parani, ili watii amri ya BWANA. Watu wote hao walikuwa viongozi wa watu wa Israeli.
4 A ovo su njihova imena: Šamua, sin Zakurov, od plemena Rubenova;
Majina yao yalikuwa haya yafuatayo: kutoka kabila la Reubeni, Shamua mwana wa Zakuri;
5 Šafat, sin Horijev, od plemena Šimunova;
Kutoka kabila la Simeoni, Shafati mwana wa Hori;
6 Kaleb, sin Jefuneov, od plemena Judina;
Kutoka kabila la Yuda, Kalebu mwana wa Yefune;
7 Jigal, sin Josipov, od plemena Jisakarova;
Kutoka kabila la Isakari, Igali mwana wa Yusufu,
8 Hošea, sin Nunov, od plemena Efrajimova;
Kutoka kabila la Efraimu, Hoshea mwana wa Nuni;
9 Palti, sin Rafuov, od plemena Benjaminova;
Kutoka kabila la Benjamini, Paliti mwana wa Rafu;
10 Gadiel, sin Sodijev, od plemena Zebulunova;
kutoka kabila ya Zabuloni, Gadieli mwana wa Sodi;
11 Gadi, sin Susijev, od plemena Josipova, od plemena Manašeova;
kutoka kabila la Yusufu (hiyo inamaanisha kutoka kabila la Manase), Gadi mwana wa Susi;
12 Amiel, sin Gemalijev, od plemena Danova;
kutoka kabila la Dani, Amieli mwana wa Gemalili;
13 Setur, sin Mikaelov, od plemena Ašerova;
kutoka kabila Asheri, Setu mwana wa Mikaili;
14 Nahbi, sin Vofsijev, od plemena Naftalijeva;
kutoka kabila la Naftali, Nabi mwana wa Vofisi;
15 Geuel, sin Makijev, od plemena Gadova.
kutoka kabila la Gadi, Geuli mwana wa Machi.
16 To su imena ljudi koje je Mojsije poslao da izvide zemlju. A Hošeu, sina Nunova, Mojsije prozva Jošuom.
Haya ndiyo majina ya wanaume ambao Musa aliwatuma kwenda kuipelelza ile nchi. Musa akamwita Hoshea mwana wa Nuni kwa jina la Joshua.
17 Posla ih Mojsije da izvide kanaansku zemlju pa im reče: “Idite gore u Negeb, onda se popnite na brdo.
Musa akawatuma kwenda kuipeleleza ile nchi ya Kanani. Naye akawaambia, “Mkaanzie Negebu hadi mahali pa milima.
18 Razgledajte zemlju kakva je. Je li narod koji u njoj živi jak ili slab, malobrojan ili mnogobrojan?
Kaipelelezeni nchi kujua ni nchi ya namna gani. Wachunguzeni watu wake, kama ni watu wenye nguvu au dhaifu, kama ni wachache au ni wengi.
19 Kakva je zemlja u kojoj živi: dobra ili rđava? Kakvi su gradovi u kojima borave: otvoreni ili utvrđeni?
Chunguzeni nchi hiyo wanayoishi ni nchi ya namna gani. Ni nzuri au mbaya? Miji yao ikoje? Je iko kama kambi au ni miji yenye ngome?
20 Kakvo je tlo: plodno ili mršavo? Ima li po njemu drveća ili nema? Odvažni budite i ponesite plodova te zemlje.” Bilo je upravo vrijeme ranog grožđa.
Chunguzeni ni nchi ya namna gani, kama ni njema kwa mazao au la kama kuna miti au hapana. Mwe hodari mkalete sampuli za mazao ya nchi,” Sasa ni muda wa msimu wa malimbuko ya mizabibu.
21 Odu oni gore da izvide zemlju od pustinje Sina do Rehoba, koji je na ulazu u Hamat.
Kwa hiyo wale wanaume wakaenda kuipeleleza ile nchi kutoka jangwa la Sini mpaka Rehobi, karibu na Lebo Hamati.
22 Popnu se u Negeb i dođu do Hebrona, gdje su se nalazili Ahiman, Šešaj i Talmaj, Anakovi potomci. - Hebron je osnovan sedam godina prije nego Soan u Egiptu. -
Walienda kutoka Negebu nao wakafika Hebroni. Ahimani, Sheshai, na Talmai, Uzao wa Anaki nao walikuweko, Sasa Hebroni ilikuwa imejengwa miaka saba iliyokuwa imepita kabla ya Zoani wa Misri.
23 Kada stigoše u Dolinu Eškol, odrezaše ondje lozu s grozdom i ponesoše ga, udvoje, na motki; ponesoše i mogranja i smokava.
Nao walipofika katika bonde la Eshikoli, walikata matawi ya mizabibu lenye kishada cha zabibu. Na makundi mawili ya wapelelezi wakakibeba kwenye mti. Pia wakaleta makomamanga na mtini.
24 Ono se mjesto prozva Dolina Eškol zbog grozda koji su ondje Izraelci odrezali.
Mahali pale paliitwa Eshikoli, kwa sababu ya kishada cha mizabibu ambacho wana wa Israeli walikata kule.
25 Nakon četrdeset dana vrate se iz zemlje koju su izviđali.
Baada ya siku arobaini, wakarudi kutoka kuipeleleza nchi.
26 Odu k Mojsiju i Aronu i svoj izraelskoj zajednici u Kadeš, u Paranskoj pustinji. Podnesu njima i svoj zajednici izvještaj, a onda im pokažu plodove zemlje.
Wakaja kwa Musa, Haruni na kwa watu wote wa Israeli katka jangwa la Parani, kule Kadeshi. Wakaleta taarifa kwao na kwa Waisraeli wote, na kuwaonyesha matunda ya nchi ile.
27 Izvijeste ga oni: “Išli smo u zemlju u koju si nas poslao. Zaista njome teče med i mlijeko. Evo njezinih plodova.
Wakamwambia Musa, “Tulifika katika ile nchi uliyotutuma. Kwa hakika ni nchi ya kutiririka maziwa na asali. Na baadhi ya matunda yake ni haya hapa.
28 Ali je jak narod koji u onoj zemlji živi, gradovi su utvrđeni i vrlo veliki. A vidjesmo ondje i potomke Anakove.
Hata hivyo, watu wanaoishi huko ni wenye nguvu. Miji yao ni mikubwa tena ina maboma. Pia tuliwaona wana wa Anaki huko.
29 Amalečani borave u negepskom kraju: Hetiti, Jebusejci i Amorejci žive u brdu; a Kanaanci se nalaze uz more i duž Jordana.”
Waamaleki wanaishi Negebu. Wahiti, Wayebusi, na Waamori nao wanaishi katika milima ya hiyo nchi. Wakanaani wanaishi kando ya bahari na mto Yorodani.”
30 Kaleb ušutka narod oko Mojsija i progovori: “Krenimo ne oklijevajući i zauzmimo je, jer je možemo nadvladati!”
Kisha Kalebu akawatuliza watu waliokuwa mbele ya Musa, akasema, “Twendeni tukaiteke nyara hiyo nchi, kwa kuwa tuna uhakika wa kuikamata.”
31 Ali ljudi što su s njim išli odvratiše: “Ne možemo ići na onaj narod jer je jači od nas.”
Lakini wale watu waliokuwa wameenda naye walisema, “Hatutaweza kuwashinda hao watu kwa kuwa wao ni hodari kuliko sisi.”
32 I počnu ozloglašivati Izraelcima zemlju koju su izviđali: “Zemlja kroz koju smo prošli da je izvidimo zemlja je što proždire svoje stanovništvo. Sav narod što ga u njoj vidjesmo ljudi su krupna stasa.
Kwa hiyo wakasambaza taarifa za kukatisha tamaa kwa Wana wa Israeli juu ya nchi ile waliyoipeleleza. Walisema, “Ile nchi tuliyoiona ni nchi inayowala watu wake. Watu wote tuliowaona ni watu warefu.
33 Vidjesmo ondje i divove - Anakovo potomstvo od divova. Činilo nam se da smo prema njima kao skakavci. Takvi bijasmo i njima.”
Kule tuliiona majitu, wana wa uzao wa Anaki, ambao nii uzao wa majitu. Sisi tulionekana kama panzi machoni mwao tulipojilingsnisha nao, hivyo ndivyo tulivyoonekana machoni mwao pia.”